Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Inaendelea;
18.Mwanamke ndio kiumbe pekee kinachoweza kucheka kicheko Cha huzuni na kulia machozi ya furaha.
19.Mwanamke akisema " ndio" atakuwa amemaanisha " hapana" na akisema " hapana" atakuwa amemaanisha " ndio"
20.Mwanamke akichepuka Ni hatari kuliko mwanaume akichepuka.Namaanisha mwanamke akipata mchepuko huko nje anaingia Mazima na akili zake zote na kumsahau/ kupunguza mapenzi kwa mumewe tofauti na mwanaume ambaye anaweza akapata mchepuko na bado akaendelea kumpenda mkewe.
18.Mwanamke ndio kiumbe pekee kinachoweza kucheka kicheko Cha huzuni na kulia machozi ya furaha.
19.Mwanamke akisema " ndio" atakuwa amemaanisha " hapana" na akisema " hapana" atakuwa amemaanisha " ndio"
20.Mwanamke akichepuka Ni hatari kuliko mwanaume akichepuka.Namaanisha mwanamke akipata mchepuko huko nje anaingia Mazima na akili zake zote na kumsahau/ kupunguza mapenzi kwa mumewe tofauti na mwanaume ambaye anaweza akapata mchepuko na bado akaendelea kumpenda mkewe.