Maajabu ya RC Chalamila kushupalia ulevi kinyume na sheria

Maajabu ya RC Chalamila kushupalia ulevi kinyume na sheria

Sidhani kama kuna mtu atapa stress ya jambo kama hili. Tatizo la viongozi kama hawa ni kuwa hawana msimamo. Na dunia hii ogopa sana sana mtu asiye na msimamo hasa kama ni kiongozi. BTW alilosema ni kweli kabisa ila kukosa kwake msimamo ndiyo tatizo.
Mkuu siasa za kiafrika bila unafiki huwezi fika mbali, kwani chanzo ni watawala wanapenda sana kuabudiwa!!
 
Kinacho mwogopesha Pccb ndiomaana anajipendekeza
 
Safi aana acha wana mwanza wanywe bia....balimi na zingine tumpe muda mwanza ipae akishindwa atapumzika
 
Yupo sahii Sana ,unamkamia mtu kwamba hakuna kupiga mvinyo kuanzia mda flani, ali hali mtu Hana majukum ya kutekeleza KWA mjibu wa ratiba zake,haikua sawa


Mtu atafute pesa KWA shida then unamuwekea masharti ya mda wa kuzitumia , isiwe Mwanza tu nchi nzima ilo katazo la mwendazake liondolewe maana lilisababisha biashara za baa kufa, watu kukosa au kupunguzwa kwenye ajira,
 
Mama kasema jamaa ni PETROL na amepelekewa kiberiti. Ata yeye Chalamila alibaki anacheka sana kusikia yeye ni petrol
 
Mama kaisha zinguliwa hapo, akizubaa atademshwa au ataleweshwa na yeye.
 
Niliwahi andika humu iko siku tusipojiangalia "MAMLAKA ZA TEUZI ZITATULETEA MTU FYUZI KABISA NGAZI YA JUU" hizi ni rasharasha... huyu ameruhusu muziki wa sauti kubwa upigwe kinyume cha sheria źa mazingira sasa anaruhusu pombe... angemalizia na makahaba wasifukuzwe wala kukamatwa na polisi maana miili ni yao!!!
Daaah haya majanga tuliyoachiwa...
 
Acha watu wanywe bia na wachangie uchumi mkuu wa taifa 👍👍
Iko nchi jirani yetu wao hunywa bia badala ya chai basi wangekuwa wanaongoza kiuchumi na wasingekuwa wakiiba shaba ya DiaraSii kama bia ingekuwa chanzo kikuu cha uchumi...
Huyu amesogezwa mlango wa kutokea... na huenda aibu kubwa iko njiani ambayo haitamuaibisha yeye tu bali waliopendekeza apelekwe Mwanza...
Pombe, uzinzi na uzembe havijawahi kumuacha mtu salama...
 
Iko nchi jirani yetu wao hunywa bia badala ya chai basi wangekuwa wanaongoza kiuchumi na wasingekuwa wakiiba shaba ya DiaraSii kama bia ingekuwa chanzo kikuu cha uchumi...
Huyu amesogezwa mlango wa kutokea... na huenda aibu kubwa iko njiani ambayo haitamuaibisha yeye tu bali waliopendekeza apelekwe Mwanza...
Pombe, uzinzi na uzembe havijawahi kumuacha mtu salama...
Kusema kasogezwa mlango wa kutokea ni kujipa matumaini fulani ambayo ni hewa.

Kama wewe hunywi pombe haimaanishi wale wanaokunywa ni watenda dhambi wasioweza kusamehewa na Mungu.

Mchango wa wazalishaji wa bia kwenye uchumi mkuu ni mkubwa sana, nenda TRA uwaulize na watakupa takwimu za uhakika.
 
Kusema kasogezwa mlango wa kutokea ni kujipa matumaini fulani ambayo ni hewa.

Kama wewe hunywi pombe haimaanishi wale wanaokunywa ni watenda dhambi wasioweza kusamehewa na Mungu.

Mchango wa wazalishaji wa bia kwenye uchumi mkuu ni mkubwa sana, nenda TRA uwaulize na watakupa takwimu za uhakika.
Kunywa kwa raha zako Mkuu na usitutapikie ama kututapakaza kinyesi cha starehe zako... samahani lakini "...ni wapumbavu pekee ambao hutarajia mapato makubwa ya taifa yatokane na sigara au pombe"
 
Kunywa kwa raha zako Mkuu na usitutapikie ama kututapakaza kinyesi cha starehe zako... samahani lakini "...ni wapumbavu pekee ambao hutarajia mapato makubwa ya taifa yatokane na sigara au pombe"
Wenye akili wanakunywa pombe siku zote. Maprofesa wa vyuo vikuu wanakunywa pombe. Profesa Shaba aliyeutunza mwili wa Hayati Sokoine pale Karimjee mwaka 1984 ni mnywaji mzuri wa pombe, alipenda sana kunywa pale Chinese Restaurant, Kilimanjaro Hotel, IFM na bar zote za katikati ya jiji.
 
Back
Top Bottom