Maajabu ya Serikali! Watumishi wanyang'anywa ongezeko la Mshahara!!

Maajabu ya Serikali! Watumishi wanyang'anywa ongezeko la Mshahara!!

Kwa kweli, hiki ni kitu ambacho hakijawahi kutokea!
Mishahara ya watumishi imetoka, maajabu ni kuwa kuna waliopata annual increament mwezi uliopita(wa nane) na wengine hawakupata wakitarajia wangepata hilo ongezeko kama alivyoahidi Kiongozi wa nchi!
Cha ajabu ni kwamba, kwa mishahara ya mwezi wa tisa iliyotoka wale walioongezewa mwezi uliopita wamenyang’anyw lile ongezeko na hata wale ambao hawakuongezewa hawajaongezewa chochote pia!!!
Vyama vya wafanyakazi, TUCTA, TUGHE, CWT n.k wajitokeze wawaeleze wafanyakazi ambao ni wanachama wao nini kimejiri!
Lakini pia ikumbukwe mnamo Mei Mosi mwaka huu Arusha kwenye sherehe ya wawafanyakazi Makamu wa Rais ambayevalimuwakilisha Rais alisema mbele ya umma kuwa Rais angesema kitu kuhusu mishahara ya wafanyakazi, jambo ambalo imekuwa kimya.!
Mtakula mnakopelekaga mboga
 
Kwa kweli, hiki ni kitu ambacho hakijawahi kutokea!
Mishahara ya watumishi imetoka, maajabu ni kuwa kuna waliopata annual increament mwezi uliopita(wa nane) na wengine hawakupata wakitarajia wangepata hilo ongezeko kama alivyoahidi Kiongozi wa nchi!
Cha ajabu ni kwamba, kwa mishahara ya mwezi wa tisa iliyotoka wale walioongezewa mwezi uliopita wamenyang’anyw lile ongezeko na hata wale ambao hawakuongezewa hawajaongezewa chochote pia!!!
Vyama vya wafanyakazi, TUCTA, TUGHE, CWT n.k wajitokeze wawaeleze wafanyakazi ambao ni wanachama wao nini kimejiri!
Lakini pia ikumbukwe mnamo Mei Mosi mwaka huu Arusha kwenye sherehe ya wawafanyakazi Makamu wa Rais ambayevalimuwakilisha Rais alisema mbele ya umma kuwa Rais angesema kitu kuhusu mishahara ya wafanyakazi, jambo ambalo imekuwa kimya.!
Kumekuwa na usemi Rais apewe muda na hili pia apewe muda.
 
Safi sana ni vizur sana hivyo walivyo fanya ikibidi wasiwalipe kabisa

Sisi tukiwa tunaandama kudai khaki huwa mnatuona kama hatuna akili vizur

Utasikia ooh ivi nyie mnaondama huwa hamna kazi za kufanya

Sasa pambanen na hali zenu
Na bado mpaka maji muite mmaa

Ova
Mtakula mnakopelekaga mboga
Kama utumishi wa umma unagusa na polisi, na TISS ata mshahara ungeshushwa hakuna tatizo maana hawana wanachokifanya zaidi yakutetea chama.
Unafiki wa Bavicha, mlitaka nani aandamane badala yenu? Mngeanza ninyi kumuunga mkono Mbowe alafu ndio uje umlaumu mwingine badala ya kukaani na kuwatusi wengine.
 
Unafiki wa Bavicha, mlitaka nani aandamane badala yenu? Mngeanza ninyi kumuunga mkono Mbowe alafu ndio uje umlaumu mwingine badala ya kukaani na kuwatusi wengine.
Maji mtayaita mma
Acha mkomeshwe tu

Ova
 
Kwa kweli, hiki ni kitu ambacho hakijawahi kutokea!
Mishahara ya watumishi imetoka, maajabu ni kuwa kuna waliopata annual increament mwezi uliopita(wa nane) na wengine hawakupata wakitarajia wangepata hilo ongezeko kama alivyoahidi Kiongozi wa nchi!
Cha ajabu ni kwamba, kwa mishahara ya mwezi wa tisa iliyotoka wale walioongezewa mwezi uliopita wamenyang’anyw lile ongezeko na hata wale ambao hawakuongezewa hawajaongezewa chochote pia!!!
Vyama vya wafanyakazi, TUCTA, TUGHE, CWT n.k wajitokeze wawaeleze wafanyakazi ambao ni wanachama wao nini kimejiri!
Lakini pia ikumbukwe mnamo Mei Mosi mwaka huu Arusha kwenye sherehe ya wawafanyakazi Makamu wa Rais ambayevalimuwakilisha Rais alisema mbele ya umma kuwa Rais angesema kitu kuhusu mishahara ya wafanyakazi, jambo ambalo imekuwa kimya.!
Fanya kazi subur posho za kuhuisha daftar la wapiga kura
 
H
Kwa kweli, hiki ni kitu ambacho hakijawahi kutokea!
Mishahara ya watumishi imetoka, maajabu ni kuwa kuna waliopata annual increament mwezi uliopita(wa nane) na wengine hawakupata wakitarajia wangepata hilo ongezeko kama alivyoahidi Kiongozi wa nchi!
Cha ajabu ni kwamba, kwa mishahara ya mwezi wa tisa iliyotoka wale walioongezewa mwezi uliopita wamenyang’anyw lile ongezeko na hata wale ambao hawakuongezewa hawajaongezewa chochote pia!!!
Vyama vya wafanyakazi, TUCTA, TUGHE, CWT n.k wajitokeze wawaeleze wafanyakazi ambao ni wanachama wao nini kimejiri!
Lakini pia ikumbukwe mnamo Mei Mosi mwaka huu Arusha kwenye sherehe ya wawafanyakazi Makamu wa Rais ambayevalimuwakilisha Rais alisema mbele ya umma kuwa Rais angesema kitu kuhusu mishahara ya wafanyakazi, jambo ambalo imekuwa kimya.!
Unaongezewa mshahala Kwa ajili Gani . Ukiongewa akikisha umeongeza uzalishaji
 
Acha ujinga, siyo kila anayesemea maslahi ya watumishi wa umma ni mtumishi, au ni mwalimu!!
Watumishi wa umma wakiguswa kwenye maslahi yao hata wasio wa watumishi wanaumia!
Yamkini yawezekana hata wewe ni mtumishi wa umma upo nyuma ya keyboard huko unaugulia maumivu pia!
Ungeandamana jana ukaandika bango kubwa kuhusu hii issue Dunia nzima ingefaham
 
Kwa kweli, hiki ni kitu ambacho hakijawahi kutokea!
Mishahara ya watumishi imetoka, maajabu ni kuwa kuna waliopata annual increament mwezi uliopita(wa nane) na wengine hawakupata wakitarajia wangepata hilo ongezeko kama alivyoahidi Kiongozi wa nchi!
Cha ajabu ni kwamba, kwa mishahara ya mwezi wa tisa iliyotoka wale walioongezewa mwezi uliopita wamenyang’anyw lile ongezeko na hata wale ambao hawakuongezewa hawajaongezewa chochote pia!!!
Vyama vya wafanyakazi, TUCTA, TUGHE, CWT n.k wajitokeze wawaeleze wafanyakazi ambao ni wanachama wao nini kimejiri!
Lakini pia ikumbukwe mnamo Mei Mosi mwaka huu Arusha kwenye sherehe ya wawafanyakazi Makamu wa Rais ambayevalimuwakilisha Rais alisema mbele ya umma kuwa Rais angesema kitu kuhusu mishahara ya wafanyakazi, jambo ambalo imekuwa kimya.!
SOOOOOOMA HIYOOOOO
 
Kwa kweli, hiki ni kitu ambacho hakijawahi kutokea!
Mishahara ya watumishi imetoka, maajabu ni kuwa kuna waliopata annual increament mwezi uliopita(wa nane) na wengine hawakupata wakitarajia wangepata hilo ongezeko kama alivyoahidi Kiongozi wa nchi!
Cha ajabu ni kwamba, kwa mishahara ya mwezi wa tisa iliyotoka wale walioongezewa mwezi uliopita wamenyang’anyw lile ongezeko na hata wale ambao hawakuongezewa hawajaongezewa chochote pia!!!
Vyama vya wafanyakazi, TUCTA, TUGHE, CWT n.k wajitokeze wawaeleze wafanyakazi ambao ni wanachama wao nini kimejiri!
Lakini pia ikumbukwe mnamo Mei Mosi mwaka huu Arusha kwenye sherehe ya wawafanyakazi Makamu wa Rais ambayevalimuwakilisha Rais alisema mbele ya umma kuwa Rais angesema kitu kuhusu mishahara ya wafanyakazi, jambo ambalo imekuwa kimya.!
Fanyeni maridhiano na serkali.
 
Back
Top Bottom