Maajabu ya Serikali! Watumishi wanyang'anywa ongezeko la Mshahara!!

Maajabu ya Serikali! Watumishi wanyang'anywa ongezeko la Mshahara!!

H

Unaongezewa mshahala Kwa ajili Gani . Ukiongewa akikisha umeongeza uzalishaji
Unaelewa maana ya watumishi wa umma?
Unataka daktari aongeze uzalishaji wa nini katika huduma yake anayoitoa..!?!
 
Acha ujinga, siyo kila anayesemea maslahi ya watumishi wa umma ni mtumishi, au ni mwalimu!!
Watumishi wa umma wakiguswa kwenye maslahi yao hata wasio wa watumishi wanaumia!
Yamkini yawezekana hata wewe ni mtumishi wa umma upo nyuma ya keyboard huko unaugulia maumivu pia!
Yupo kwa shemeji huyo kula kulala ndo maana pinchi ya maisha haioni kwa sababu hana majukumu Fala huyo.
 
Kodi hamlipi, Hamzalishi chochote, kila kukicha mnataka NYONGEZA za mishahara, mlipwe kutoka wapi?

Mkiona wao wana kula wanakula hicho kidogo wanachokimbizana na kukabana koo na wafanya biashara, na misaada kutoka huko nchi za watu, nyie muwe na subira, zamu yenu itafika mkifika pale walipo huko juu.
 
Kodi hamlipi, Hamzalishi chochote, kila kukicha mnataka NYONGEZA za mishahara, mlipwe kutoka wapi?

Mkiona wao wana kula wanakula hicho kidogo wanachokimbizana na kukabana koo na wafanya biashara, na misaada kutoka huko nchi za watu, nyie muwe na subira, zamu yenu itafika mkifika pale walipo huko juu.
Angalia na wewe ulivyo juha!
Watumishi wa umma hawalipi kodi??
Kuna mtu anayelipa kodi nyingi kama mtumishi? PAYE anayokatwa ni kitu gani?
Akinununua bidhaa kwa mfanyabiashara ile 18% na kodi nyingine wafanyabiashara wanazolipa zinatoka wapi…??
Ficha upumbavu wako japo kidogo!
 
Kwa kweli, hiki ni kitu ambacho hakijawahi kutokea!
Mishahara ya watumishi imetoka, maajabu ni kuwa kuna waliopata annual increament mwezi uliopita(wa nane) na wengine hawakupata wakitarajia wangepata hilo ongezeko kama alivyoahidi Kiongozi wa nchi!
Cha ajabu ni kwamba, kwa mishahara ya mwezi wa tisa iliyotoka wale walioongezewa mwezi uliopita wamenyang’anyw lile ongezeko na hata wale ambao hawakuongezewa hawajaongezewa chochote pia!!!
Vyama vya wafanyakazi, TUCTA, TUGHE, CWT n.k wajitokeze wawaeleze wafanyakazi ambao ni wanachama wao nini kimejiri!
Lakini pia ikumbukwe mnamo Mei Mosi mwaka huu Arusha kwenye sherehe ya wawafanyakazi Makamu wa Rais ambayevalimuwakilisha Rais alisema mbele ya umma kuwa Rais angesema kitu kuhusu mishahara ya wafanyakazi, jambo ambalo imekuwa kimya.!
Huyo rais wenu huyo!
 
Mkajiajiri.

Kwanza huko mashuleni mnawafundisha watoto ujinga tu.

Mwalimu gani anaandika chakuRa badala ya CHAKULA .... ole wenu niwe Rais nitawafuta kwenye ramani ya Tanganyika.

Mwakani nakuwa mkuu wa mkoa wa Dar... mjipange kweli kweli. Sitaki mwalimu kilaza.

Cc: FaizaFoxy
Jina lako bana Bichwa Komwe.
Ni noma aiseee!
 
Back
Top Bottom