Maajabu ya siasa Mimi ccm hata wamuweke Nani hapo juu automatically namuona ni tatizo.

Maajabu ya siasa Mimi ccm hata wamuweke Nani hapo juu automatically namuona ni tatizo.

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Binafsi hiki chama ninakichukia kutoka uvunguni mwa moywan

I'm 23yrs ila Ccm nimetokea kuichukia tangu nasoma primary Uganda hadi secondary Lake view mpaka namaliza chuo University of dsm 2018 hii.

Nilichogundua Mapenzi hayalazimishwi yankj automatically.

Na huu ndo ukweli.


"Hakika kunguru muhoga uishi miaka mingi"
 
Alama hizi (,.), ni muhimu sana katika uandishi.
ungebaki bongo tu, ukasoma huku kayumba mufti.
MUHOGA
 
Ushaanza kujua nini maana ya kuwa na kipato? Maana unachokifanya ni mapenzi ya simba na yanga.

Simba hata ifaulu vipi yanga hawatoipenda.
 
Binafsi hiki chama ninakichukia kutoka uvunguni mwa moywan

I'm 23yrs ila Ccm nimetokea kuichukia tangu nasoma primary Uganda hadi secondary Lake view mpaka namaliza chuo University of dsm 2018 hii.

Nilichogundua Mapenzi hayalazimishwi yankj automatically.

Na huu ndo ukweli.


"Hakika kunguru muhoga uishi miaka mingi"
Haituhusu hiyo sioni hata sababu ya kuiandika hapa.
 
Back
Top Bottom