Maajabu ya siasa Mimi ccm hata wamuweke Nani hapo juu automatically namuona ni tatizo.

Maajabu ya siasa Mimi ccm hata wamuweke Nani hapo juu automatically namuona ni tatizo.

Binafsi hiki chama ninakichukia kutoka uvunguni mwa moywan

I'm 23yrs ila Ccm nimetokea kuichukia tangu nasoma primary Uganda hadi secondary Lake view mpaka namaliza chuo University of dsm 2018 hii.

Nilichogundua Mapenzi hayalazimishwi yankj automatically.

Na huu ndo ukweli.


"Hakika kunguru muhoga uishi miaka mingi"
Mie sikomenti chochote ila hapo ulipomalizia kwenye neno linaloanza na "kunguru....."
Kwa mwandiko huo kwenye hiyo sentesi napata mashaka na elimu yako ya Chuo au labda uliishia darasa la nne primary halafu ukaenda kusoma chuo cha kijiji cha ufundi cherehani
 
Binafsi hiki chama ninakichukia kutoka uvunguni mwa moywan

I'm 23yrs ila Ccm nimetokea kuichukia tangu nasoma primary Uganda hadi secondary Lake view mpaka namaliza chuo University of dsm 2018 hii.

Nilichogundua Mapenzi hayalazimishwi yankj automatically.

Na huu ndo ukweli.


"Hakika kunguru muhoga uishi miaka mingi"
Tushirikiane kumsihi Sa100 arekebishe elimu yetu!! Ulivyoandika na ulichoandika havifananii elimu yako (kama inaukweli).
 
Binafsi hiki chama ninakichukia kutoka uvunguni mwa moywan

I'm 23yrs ila Ccm nimetokea kuichukia tangu nasoma primary Uganda hadi secondary Lake view mpaka namaliza chuo University of dsm 2018 hii.

Nilichogundua Mapenzi hayalazimishwi yankj automatically.

Na huu ndo ukweli.


"Hakika kunguru muhoga uishi miaka mingi"
Kwa uandishi huu sidhani kama umemaliza hata darasa la 7 [emoji1][emoji1]

Kunguni wewe
 
Back
Top Bottom