DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hatupo darasani hapa mzee wa kishapu.Alama hizi (,.), ni muhimu sana katika uandishi.
ungebaki bongo tu ukasoma hulu kayumba mufti
MUHOGA
Hiyo ni signature yangu kutoka maktaba.Wewe ni Kunguru??
Mpaka umuone mwalimu na chaki?Hatupo darasani hapa mzee wa kishapu.
Sababu ya PIV na hakuna kingine.Toa sababu kwanini unaichukia?, Maana walimwengu wanasema huwezi mchukia mtu bila sababu
Hiyo ni signature yangu kutoka maktaba.
Kwani unateseka?Mpaka umuone mwalimu na chaki?
Vise versa is trueUshaanza kujua nini maana ya kuwa na kipato? Maana unachokifanya ni mapenzi ya simba na yanga.
Simba hata ifaulu vipi yanga hawatoipenda.
π§π§π§ mkuu hiyo signature imebeba maana kubwa.Huwa unapiga signature ya Kunguru π§??
π§π§π§ mkuu hiyo signature imebeba maana kubwa.
Kufuga ndevu nikupenda wembe sh. 100For your info, Kunguru hafugiki.
Kufuga ndevu nikupenda wembe sh. 100
Haituhusu hiyo sioni hata sababu ya kuiandika hapa.Binafsi hiki chama ninakichukia kutoka uvunguni mwa moywan
I'm 23yrs ila Ccm nimetokea kuichukia tangu nasoma primary Uganda hadi secondary Lake view mpaka namaliza chuo University of dsm 2018 hii.
Nilichogundua Mapenzi hayalazimishwi yankj automatically.
Na huu ndo ukweli.
"Hakika kunguru muhoga uishi miaka mingi"
No but the game has changeDo you keep beards like Karl Marx??
Mbona nyie ccm mko na hasiraπππHaituhusu hiyo sioni hata sababu ya kuiandika hapa.