Maajabu ya siasa Mimi ccm hata wamuweke Nani hapo juu automatically namuona ni tatizo.

Mie sikomenti chochote ila hapo ulipomalizia kwenye neno linaloanza na "kunguru....."
Kwa mwandiko huo kwenye hiyo sentesi napata mashaka na elimu yako ya Chuo au labda uliishia darasa la nne primary halafu ukaenda kusoma chuo cha kijiji cha ufundi cherehani
 
Tushirikiane kumsihi Sa100 arekebishe elimu yetu!! Ulivyoandika na ulichoandika havifananii elimu yako (kama inaukweli).
 
Kwa uandishi huu sidhani kama umemaliza hata darasa la 7 [emoji1][emoji1]

Kunguni wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…