Maajabu ya tairi mbovu na utajiri uliojificha ndani yake

Bongo hapa yanauzwa wapi hayo mataili baada ya kuyachuna?
 
Bro MshanaJR..... Asante kwa taarifa mfano Mimi hapa nikiingia kitaa nokapata hizo tairi tani moja kiwanda gani kinaweza kuchukua mzigo on spot pasipo kupitia huo mchakato wa kukata kutoa hiyo mipira
 
Viwanda vinavyozalisha I.D.O
Mlandizi kipo kimoja bado kinajengwa
Kibaha Madafu na Zogwale vipo viwili
Bagamoyo Kipo kimoja
Kigamboni Kibada kipo kimoja
Kisarawe kipo kimoja
Mkuranga kuna vingine viwili vinajengwa
Nafanya kazi Kisarawe... Natafuta location ya kiwanda hiki lilipo.... Ni maeneo gani?...
 
Ok nimerudia nimekuelewa.
Zaidi ni kwamba tairi hazichomwi moja kwa moja bali hufungiwa kwenye tank kubwavla
Bro MshanaJR..... Asante kwa taarifa mfano Mimi hapa nikiingia kitaa nokapata hizo tairi tani moja kiwanda gani kinaweza kuchukua mzigo on spot pasipo kupitia huo mchakato wa kukata kutoa hiyo mipira
Viwanda vinavyozalisha I.D.O (vinavyonunua tairi)
Mlandizi kipo kimoja bado kinajengwa
Kibaha Madafu na Zogwale vipo viwili
Bagamoyo Kipo kimoja
Kigamboni Kibada kipo kimoja
Kisarawe kipo kimoja
Mkuranga kuna vingine viwili vinajengwa
Quote
 
Makadirio ya gharama za ujenzi wa kiwanda ni tsh ngapi mkuu maana wengine tuko mbali sana na dar vilipo viwanda kwahiyo bei kwetu inaweza isiwe rafiki kabisa chukulia, dsm bei ni 2000 had 5000 je ukiwa kanda ya ziwa ambapo utahitaji na gharama za usafiri na ushuru bei ya kununulia itakua itakua chini zaid kitu kama 1000 hadi 2500 jambo ambalo ni gumu kupata tairi kwa bei hyo ndogo.
 
Mikoani wanaleta sana Dar, in fact sio tairi chakavu ni tairi mbovu hata zilizochanika na kusamabaratika, mabaki ya tairi kwa watengeneza ndala yale yanaitwa maini, na kuna unga wa tairi toka viwanda vinavyofanya retrading
Bei ni kuanzia milion 100
 
Model C Waste Tyre Pyrolysis Plant
Capacity model: 1Ton-15Ton
Raw materials: Waste Tyre/rubber
Average out-put oil rate: 45% fuel oil, 30% carbon black, 10% steel wire, 10%-15% syngas
Chief kama nimeelewa ni kama hii inamaanisha kwamba 1Ton kwa wastani inaweza zalisha fuel 45%, 30% carbon na 10% steel wire.

Hivi vitatu vikiunganika ndiyo inakua tani 1. Na siyo kwamba kila kimoja ni tani moja kivyakevyake.

Kama IST ina tani 1 ikitolewa injini na kuwekwa pembeni itawezekana iendelee kua na uzito huo huo wa tani 1?
 
Hapa usichanganye vitu viwili tofauti
Kwenye tairi mafuta wala gesi havionekani mpaka tairi ifungiwe kwenye boiler .. Boiler likipashwa moto likakolea lile fukuto ndani yake kulikojaa tairi ndio litatoa mvuke ambao utapitia mchakato wa kupozwa na kugeuka kimiminika ( mafuta ya I.D.O)
Wakati huo wa fukuto kuna gesi pia itatoka.. Hivyo hivi viwili haviwezi kuonekana mpaka kuwe na mchakato
LAKINI body ya IST na engine yake ni vitu vinavyoonekana.. Mfano wa boiler huu hapa
 
Angalia I.D.O bada ya kutoka mtamboni ni nyeusi tii lakini ikisafishwa kwa kutumia chemikali maalum unapata dizeli safi na kuna viwatilifu ukiviongeza inaweza kutumika kwenye magari
Kwa Tanganyika EWURA hawatoi vibali vya kusafisha I.D.O
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…