Maajabu ya tairi mbovu na utajiri uliojificha ndani yake

Maajabu ya tairi mbovu na utajiri uliojificha ndani yake

Mambo ya kilimo cha matikiti ya mtandaoni. Dada yangu alilima lililokuwa kubwa ni la ukubwa WA nazi.🤣🤣🏃🏃
 
Tatizo linabaki kua unaanza anza vipi
wakati mtaji huna.
Akhasante kwa maarifa mkuu.🤝
 
Tatizo linabaki kua unaanza anza vipi
wakati mtaji huna.
Akhasante kwa maarifa mkuu.🤝
Kumbuka hata mimba huanza na manii.. Unaanza na tani MOJA. Mtaji laki
267d35d4-d6c5-438a-ae91-41e07e8c37c9.jpeg
 
Zingatia hapa tairi mbovu yaani ilishatumika, ikachakaa ama ikaharibika hivyo haifai kutumika tena kwenye magari

Hii ni fursa ambayo itawafaa sana vijana wetu wa JF wanaosaka ajira

Tairi moja mbovu ya gari kubwa ya mizigo unaweza kuinunua kwa kati ya shilingi 2000 mpaka 5000 kulingana na ubora . Zikiwa tairi 18 mpaka 20 zinatengeneza tani moja

Sasa tuchukulie kwa makisio ya juu.. Utainunua kwa shilingi 5000, lakini atakuja mchunaji ataichuna kwa ndani na kupata mipira kati ya 20 na 25 ..

Mipira ile ya kufungia mizigo kwenye baiskeli na bodaboda

Kila mpira utauza shilingi 500 Kwa jumla. Weka wastani wa mipira 24 kwa tairi sawa na elfu 12,000.. Toa 2000 ya mchunaji unabaki na elfu 10, toa elfu 5 ya manunuzi unabaki na elfu 5 kwa tairi. Zidisha mara 20 unapata laki 1 ffaida

Ukitoka hapo unapeleka tairi zako kiwanda ni na kwenda kuuza kwa kilo.. Tairi 20 zinazotengeneza tani moja utauza kwa bei ya chini kabisa Shilingi laki 2, kumbuka kule ulishapata laki 1 ya mipira na hiyo laki mbili ni yako yote usafiri ni malipo mengine

Sasa tairi 20 ulizonunua kwa laki 1
Zimekuletea faifa ya laki 1 kwenye kuchuna mipira na faida ya laki 2 kiwandani . jumla laki 3.. Hapo faida inaweza kuongezeka ukipata tairi kwa chini ya elfu 5 na ukauza zaidi ya laki 2
Hapo kwa wapambanaji ni fursa yenye kipato cha kueleweka
Sasa twende huko viwandani ushuhudie maajabu
Mshana this is good. Labda mimi niongeze kitu hapo.
Badala ya kuishia kwenye .mipira ya kufungia mie nadhani vijana waende mbele zaidi.
Yaani tairi is a material. Kwa sababu ni material basi tufanye innovation ya vitu vingi zaidi. Mfano masai wao wameitumia ktk kuunda KATAMBUGA tangu zamani, sasa tunaweza ifanya iwe sore ya viatu mbali mbali. Sasa kazi kubwa ya mbunifu niku chukua material mbali mbali kama ngozi, vitambaa magunia nk ili kubuni viatu vya aina mbali mbali.
Wengine waongezee.
 
Niko pamoja na wewe mkuu namuongelea huyu dogo anaewaza buku mbili ya kula mchana huu
Means ajipambanie kwanza apate mtaji then ajilipue huku
Huu uzi nauweka kwenye bookmark.🤝
Msimu wa kilino huu. Kibarua cha kulima heka 1 ni laki hapo unapewa pa kulala na posho ya chakula. Ndani ya siku 10 umeua heka kivivu.
Ifike mahala tusitetee wavivu.
 
Zingatia hapa tairi mbovu yaani ilishatumika, ikachakaa ama ikaharibika hivyo haifai kutumika tena kwenye magari

Hii ni fursa ambayo itawafaa sana vijana wetu wa JF wanaosaka ajira

Tairi moja mbovu ya gari kubwa ya mizigo unaweza kuinunua kwa kati ya shilingi 2000 mpaka 5000 kulingana na ubora . Zikiwa tairi 18 mpaka 20 zinatengeneza tani moja

Sasa tuchukulie kwa makisio ya juu.. Utainunua kwa shilingi 5000, lakini atakuja mchunaji ataichuna kwa ndani na kupata mipira kati ya 20 na 25 ..

Mipira ile ya kufungia mizigo kwenye baiskeli na bodaboda

Kila mpira utauza shilingi 500 Kwa jumla. Weka wastani wa mipira 24 kwa tairi sawa na elfu 12,000.. Toa 2000 ya mchunaji unabaki na elfu 10, toa elfu 5 ya manunuzi unabaki na elfu 5 kwa tairi. Zidisha mara 20 unapata laki 1 ffaida

Ukitoka hapo unapeleka tairi zako kiwanda ni na kwenda kuuza kwa kilo.. Tairi 20 zinazotengeneza tani moja utauza kwa bei ya chini kabisa Shilingi laki 2, kumbuka kule ulishapata laki 1 ya mipira na hiyo laki mbili ni yako yote usafiri ni malipo mengine

Sasa tairi 20 ulizonunua kwa laki 1
Zimekuletea faifa ya laki 1 kwenye kuchuna mipira na faida ya laki 2 kiwandani . jumla laki 3.. Hapo faida inaweza kuongezeka ukipata tairi kwa chini ya elfu 5 na ukauza zaidi ya laki 2
Hapo kwa wapambanaji ni fursa yenye kipato cha kueleweka
Sasa twende huko viwandani ushuhudie maajabu
Mkuu subiri wabongo waje mbio na maswali ya ubishi kama inavyokuwa kwa Simba na Yanga. Hawatajaribu kufanya waone matokeo halisi bali watageuza hili chimbo kuwa mada ya kwenda nayo kijiweni. Subiri utajionea mwenyewe.
 
Mshana this is good. Labda mimi niongeze kitu hapo.
Badala ya kuishia kwenye .mipira ya kufungia mie nadhani vijana waende mbele zaidi.
Yaani tairi is a material. Kwa sababu ni material basi tufanye innovation ya vitu vingi zaidi. Mfano masai wao wameitumia ktk kuunda KATAMBUGA tangu zamani, sasa tunaweza ifanya iwe sore ya viatu mbali mbali. Sasa kazi kubwa ya mbunifu niku chukua material mbali mbali kama ngozi, vitambaa magunia nk ili kubuni viatu vya aina mbali mbali.
Wengine waongezee.
Kuna project nyingi sana mitaani kupitia tairi mbovu
Makatambuga
Mikoba ( hii project inafanywa na wazungu mikocheni)
Mipira ya kufungia vitu
Vyombo vya vyakula vya kuku bata nk
Urembo wa bustani
Viti
Binding wire nknk
 
Mshana this is good. Labda mimi niongeze kitu hapo.
Badala ya kuishia kwenye .mipira ya kufungia mie nadhani vijana waende mbele zaidi.
Yaani tairi is a material. Kwa sababu ni material basi tufanye innovation ya vitu vingi zaidi. Mfano masai wao wameitumia ktk kuunda KATAMBUGA tangu zamani, sasa tunaweza ifanya iwe sore ya viatu mbali mbali. Sasa kazi kubwa ya mbunifu niku chukua material mbali mbali kama ngozi, vitambaa magunia nk ili kubuni viatu vya aina mbali mbali.
Wengine waongezee.
OK.
1. Zile nyaya huuzwa kama zilivyopatikana baada ya kuunguzwa na hutumika kufungia fito badala ya misumari ktk ujenzi wa nyumba za kienyeji a.k.a Tembe.
2. Mipira migumu ya nje (Tyre)hutumika kutengeneza Bushes(Ni nzuri na imara zaidi ya zile bush zinazokuja og. e.g. kwenye pkpk tairi la nyuma.
 
Kuna project nyingi sana mitaani kupitia tairi mbovu
Makatambuga
Mikoba ( hii project inafanywa na wazungu mikocheni)
Mipira ya kufungia vitu
Vyombo vya vyakula vya kuku bata nk
Urembo wa bustani
Viti
Binding wire nknk
Ni kweli bado hatujafunguka kiakili na kuiona hiyo kama Fursa ila tumeishia kuchoma matairi mabovu barabarani Usiku wa kuamkia Mwaka mpya au kuwapa watoto wakiume kama kitu cha kuchezea tu.
Pale Moshi mjini kulikuwa na kiwanda (General Tyre ??) kilikuwa kinafanya "Retreading" cjui kama kipo tena ck hizi.
 
Mchakato wa kuchoma tajiri hizo mbovu Ili kupata waya ni mbaya sana Kwa mazingira,

Jambo hili Lina HASARA kuliko faida.

Lipifww marufuku Ili kulinda mazingira na AFYA za watu.
 
Mchakato wa kuchoma tajiri hizo mbovu Ili kupata waya ni mbaya sana Kwa mazingira,

Jambo hili Lina HASARA kuliko faida.

Lipifww marufuku Ili kulinda mazingira na AFYA za watu.
Labda kama kuna Hoja tofauti zaidi lakini kama ni kwa habari ya mazingira; kwa kawaida mambo hayo hufanyika kwenye maeneo maalum (Sites)ambayo yametengwa (eneo tengefu)kwa shughuli hiyo na kuwa ni mbali na makazi ya watu.
 
Labda kama kuna Hoja tofauti zaidi lakini kama ni kwa habari ya mazingira; kwa kawaida mambo hayo hufanyika kwenye maeneo maalum (Sites)ambayo yametengwa (eneo tengefu)kwa shughuli hiyo na kuwa ni mbali na makazi ya watu.
Uchomaji wa tajiri kupata hizo waya wanachoma mtaani.
 
Back
Top Bottom