Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #101
Bei ya pyrolysis plant ndio inaanzia milion mia mojaNanukuu "mabaki ya tairi kwa watengeneza ndala yale yanaitwa maini, na kuna unga wa tairi toka viwanda vinavyofanya retrading. Bei ni kuanzia milion 100"
Kwa hali hii hayo maini na huo unga vitakuwa adimu sana kwa sasa.