Maajabu ya undu Lissu na CHADEMA yake

Kweli huko mtaani kwenu ufipa kwa baba mkwe mlikopanga ni Lissu tu. Huku lumumba walikojenga CCM ni Magufuli tu.
Naskia kuna kushikana uchawi huko Lumumba Eti Kuna watu wanakihujumu Chama na mwenyekiti!!! Hamtapigana risasi huko mwaka huu???
 
Magufuli akiitwa masiha wa bwana mnatokwa na povu, ila ninyi mnamwita Lissu masiha wa bwana!
Masihi wa bwana anatangaza Uhuru haki,kufunguliwa watumwa/wafungwa,upendo naa faraja

Sasa muuaji,kutekana,kuoneana ,kudhulumiana kuna mfanya MTU awe masihaaa
 
Sawa ngoja tuone sanduku la kura litasemaje!

Ila nyinyi ni wanafki kiwango cha bombadier aisee! Mlimjaza upepo membe wee kwa thread za kila aina, kumsifia na kumpa kichwa kwamba mnamkubali, yeye ndie mrithi wa magu! Leo hii anaingia kwny konyanganyiro mmempa kisogo!? Sishangai saivi mnavomsifia lissu na kumnadi ati masihi wa bwana, ngoja tuone oct 28!
 
Bora umesema wewe!
 
Historia ya Lissu imemlinda tangu hapo kale. Hajawahi kushinda kirahisi. Ubunge wake wa kwanza mwaka 2010 aliqekewa pingamizi peke yake akashinda, ushindi wake akanyanganywa na mahakama akashinda kesi. Kila anapopita anapita kwa taabu. Hata urais wa TLS alishinda kwa mbinde form ya NEC kuipata mbinde kutangazwa ugombea ilichukua masaa 12 kwa kitendo cha kutangaza dakika 10 tu
 
Swadatka
 
Duh, acha fix mkuu! Fomu ya nec ameenda kuchukua kweupe tumeona hiyo mbinde ya wapi? Kwa nini kusema uongo mahali pasipostahili?
 
Hebu rudia kusoma ulichokiandika alafu usome swali langu uone kama vinaendana mkuu

Nimekujibu huelewi nn
Nilimuuliza bwana akaniita tukakaa akaniambia lissu ndio masihi wake kwa nchi hii na ukanda wote wa maziwa makuu
 
Uzuri wa Lissu ni kwamba,anafanya kampeni uku anakuelimisha ujue haki zako za msingi,dhuluma na uonevu.labda uwe na kichwa kizito ndo utashindwa kumuelewa.Yuko tofauti na yule mgombea mwingine wakusema amejenga hichi na kile mbele ya watu wasiojua hata haki zao za msingi.,na kamwe hawezi kuwaambia swala la wao kuelimika.Kwahiyo Lissu sio mchoyo wakuelimisha watu.
 
Huku mtaani watu hawana habari kabisa na lissu
Kuna wamoja jana wamevaa nguo za Chadema wakaishiwa kudhihakiwa niliwahurumia sana
Umepewa kichwa ubebee meno na wala si kutumia ubongo kupambana na changamoto za kimaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…