Maajabu ya undu Lissu na CHADEMA yake

Maajabu ya undu Lissu na CHADEMA yake

Mataga bila kumtaja Lissu hawalipwi buku saba zao
 
Kuna Mambo ya ajabu nimeyashuhudia na ninaendelea juu ya huyu Lissu na Chadema yake.

Habari zake za kampeni zilikua zinahujumiwa na baadhi ya Vyombo vya habari zisitoke au kupungua umuhimu,lakini zinatoka.na watu wanahudhuria mikutano yake.

Sijaona bango hata moja la Lissu lakini watu wanafurika kwenye mikutano yake.

Chadema na Lissu hawana hell ya kutisha ya kampeni Kama CCM,lakini watu wanawachangia na kwenda kwa wingi mikutano yake.

Ndio mgombe anaepewa muda mrefu kuhutubia,lakini watu huwa hawachoki kumsikiliza,Ana akimaliza watu hutamani aendeleee kuhutubia.

Wahudhuriaji wa mikutano yake hutulia kumsikiliza Kama vile wapo darasani.

Ndio mgombea pekee Usalama wake uko mashakani.

Ndio mgombea pekee kampeni zake zinafatiliwa kwa umakini kabisa hapa EA a kwingine.

Ndio mgombea pekee anaechunguzwa au kufuataliwa kwa Siri na hadharani na majasusi.

Ndio mgombea pekee mikutano yake watu wana shamrashamra Sana wakati hawana pesa mifukoni,wala Hakuna wasanii isipokua timu yake inatembea na flashi ya nyimbo tu.

Idadi ya wahudhuriaji wa mikutano yake Ni halisi,Hakuna wasanii,hawajaletwa kwa maloli au mabasi.
Tofauti na Wahudhuriaji wa Lowassa.lowassa alikuja na wana CCM,Wana CUF,Wana NCCR,Wana NLD na CDM wenyewe.
Kwa kifupi Lowassa alibebwa na UKAWA.
Lisu Ni Jeshi la mtu mmoja.

Ndio mgombea pekee watu walikua na hofu huenda asipitishwe na NEC.

Ndio mgombea pekee anakabiliana na mpinzani mwenye nguvu kubwa lakini hawezekani.
CCM inatumia nguvu kubwa Sana kumkabili Lisu.
Pesa,Dola,Mahakama,Polisi,TISS,Jeshi,waganga.mamlaka ya anga,wadukuzi.

Anawaeleza watu machungu yake na Yao,anawaeleza makosa ya mtawala wa Sasa na anaeleza yeye atafanya nini.

Ndio mgombea ambae VIONGOZi wa serikali na CCm wanafuatilia hotuba zake kwa Siri Sana na zinawasisimua.

Lisu ndio mgombea aliewekewa vihunzi vingi Sana na amekua akivivuka,kesi,kifo,kuenguliwa,kutotangazwa tiviini,redioni na magazetini.
Na dalili zinaonesha atashinda lakini kutangazwa ushindi wake itakua mbinde,
Watabana kwa siku kadhaa lakini wanamtangaza tu.kwa sababu inaonesha jamaa Ni mtu wa kuvuka kwa taabu Sana.
Akitangazwa utatokea mlipuko mkubwa Sana wa furaha hapa Tanzania na Afrika mashariki.
Miongoni mwa watakaofurhi Sana Ni pamoja VIONGOZi wa serikali na makada wa CCM kwa uwingi wao.hamtaamini.
Lisu ni mgombea pekee anapitia njia iliyojaa nyoka zenye sumu ya fira,siafu na kila aina ya miiba ya michengoma ila hatimaye ushindi. Mungu aendelee kumlinda mtu huyu na kuisafisha njia zake dhidi ya maadui zake
 
Huku mtaani watu hawana habari kabisa na lissu
Kuna wamoja jana wamevaa nguo za Chadema wakaishiwa kudhihakiwa niliwahurumia sana

Mtaa gani wewe unaishi? Labda kama uko nje ya nchi. Lakini hapa Tanzania lazima uwe mtaa wa shimoni au pangoni kujifanya huoni au husikii.

Na uko peke yako tu usiyeona wala kusikia..pole sana. Lakini ndio uhalisia. CCM wanaburuzwa!
 
Huku mtaani watu hawana habari kabisa na lissu
Kuna wamoja jana wamevaa nguo za Chadema wakaishiwa kudhihakiwa niliwahurumia sana
ni sahihi unachosema wengi mtaani wanaogopa kuzivaa,ukivaa tu nguo za chadema siyo kudhihakiwa tu unatafutwa na watu wasiojuilkana haraka sana,na kwa hali hiyo Lisu atangazwe asitangazwe ila watanzania wako radhi kuizika rasmi ccm oct28 kwa hasira kwenye box la kura
 
Aisee! Kuna ukichaa wa kisiasa kwa kweli,kuna watu wanaona vitu ambavyo wengine hatuvioni.
 
Kuna Mambo ya ajabu nimeyashuhudia na ninaendelea juu ya huyu Lissu na Chadema yake.

Habari zake za kampeni zilikua zinahujumiwa na baadhi ya Vyombo vya habari zisitoke au kupungua umuhimu,lakini zinatoka.na watu wanahudhuria mikutano yake.

Sijaona bango hata moja la Lissu lakini watu wanafurika kwenye mikutano yake.

Chadema na Lissu hawana hell ya kutisha ya kampeni Kama CCM,lakini watu wanawachangia na kwenda kwa wingi mikutano yake.

Ndio mgombe anaepewa muda mrefu kuhutubia,lakini watu huwa hawachoki kumsikiliza,Ana akimaliza watu hutamani aendeleee kuhutubia.

Wahudhuriaji wa mikutano yake hutulia kumsikiliza Kama vile wapo darasani.

Ndio mgombea pekee Usalama wake uko mashakani.

Ndio mgombea pekee kampeni zake zinafatiliwa kwa umakini kabisa hapa EA a kwingine.

Ndio mgombea pekee anaechunguzwa au kufuataliwa kwa Siri na hadharani na majasusi.

Ndio mgombea pekee mikutano yake watu wana shamrashamra Sana wakati hawana pesa mifukoni,wala Hakuna wasanii isipokua timu yake inatembea na flashi ya nyimbo tu.

Idadi ya wahudhuriaji wa mikutano yake Ni halisi,Hakuna wasanii,hawajaletwa kwa maloli au mabasi.
Tofauti na Wahudhuriaji wa Lowassa.lowassa alikuja na wana CCM,Wana CUF,Wana NCCR,Wana NLD na CDM wenyewe.
Kwa kifupi Lowassa alibebwa na UKAWA.
Lisu Ni Jeshi la mtu mmoja.

Ndio mgombea pekee watu walikua na hofu huenda asipitishwe na NEC.

Ndio mgombea pekee anakabiliana na mpinzani mwenye nguvu kubwa lakini hawezekani.
CCM inatumia nguvu kubwa Sana kumkabili Lisu.
Pesa,Dola,Mahakama,Polisi,TISS,Jeshi,waganga.mamlaka ya anga,wadukuzi.

Anawaeleza watu machungu yake na Yao,anawaeleza makosa ya mtawala wa Sasa na anaeleza yeye atafanya nini.

Ndio mgombea ambae VIONGOZi wa serikali na CCm wanafuatilia hotuba zake kwa Siri Sana na zinawasisimua.

Lisu ndio mgombea aliewekewa vihunzi vingi Sana na amekua akivivuka,kesi,kifo,kuenguliwa,kutotangazwa tiviini,redioni na magazetini.
Na dalili zinaonesha atashinda lakini kutangazwa ushindi wake itakua mbinde,
Watabana kwa siku kadhaa lakini wanamtangaza tu.kwa sababu inaonesha jamaa Ni mtu wa kuvuka kwa taabu Sana.
Akitangazwa utatokea mlipuko mkubwa Sana wa furaha hapa Tanzania na Afrika mashariki.
Miongoni mwa watakaofurhi Sana Ni pamoja VIONGOZi wa serikali na makada wa CCM kwa uwingi wao.hamtaamini.
Ccm tupo tayari kumwaga nanii ili tuendelee kubaki madarakani.
 
Ndio mgombea ambae VIONGOZi wa serikali na CCm wanafuatilia hotuba zake kwa Siri Sana na zinawasisimua.
Hili ni kweli mkuu. Baba yangu mdogo ni kada na kiongozi wa ccm ngazi ya wilaya lkn simu yake imejaa clip za hotuba za Lisu. Sidhani kama anayo hata moja ya Magufuli.
 
Kuna Mambo ya ajabu nimeyashuhudia na ninaendelea juu ya huyu Lissu na Chadema yake.

Habari zake za kampeni zilikua zinahujumiwa na baadhi ya Vyombo vya habari zisitoke au kupungua umuhimu,lakini zinatoka.na watu wanahudhuria mikutano yake.

Sijaona bango hata moja la Lissu lakini watu wanafurika kwenye mikutano yake.

CHADEMA na Lissu hawana hell ya kutisha ya kampeni Kama CCM,lakini watu wanawachangia na kwenda kwa wingi mikutano yake.

Ndio mgombea anaepewa muda mrefu kuhutubia,lakini watu huwa hawachoki kumsikiliza,Ana akimaliza watu hutamani aendeleee kuhutubia.

Wahudhuriaji wa mikutano yake hutulia kumsikiliza Kama vile wapo darasani.

Ndio mgombea pekee Usalama wake uko mashakani.

Ndio mgombea pekee kampeni zake zinafatiliwa kwa umakini kabisa hapa EA a kwingine.

Ndio mgombea pekee anaechunguzwa au kufuataliwa kwa Siri na hadharani na majasusi.

Ndio mgombea pekee mikutano yake watu wana shamrashamra Sana wakati hawana pesa mifukoni,wala Hakuna wasanii isipokua timu yake inatembea na flashi ya nyimbo tu.

Idadi ya wahudhuriaji wa mikutano yake Ni halisi,Hakuna wasanii,hawajaletwa kwa maloli au mabasi.
Tofauti na Wahudhuriaji wa Lowassa.lowassa alikuja na wana CCM,Wana CUF,Wana NCCR,Wana NLD na CDM wenyewe.
Kwa kifupi Lowassa alibebwa na UKAWA.
Lisu Ni Jeshi la mtu mmoja.

Ndio mgombea pekee watu walikua na hofu huenda asipitishwe na NEC.

Ndio mgombea pekee anakabiliana na mpinzani mwenye nguvu kubwa lakini hawezekani.
CCM inatumia nguvu kubwa Sana kumkabili Lisu.
Pesa,Dola,Mahakama,Polisi,TISS,Jeshi,waganga.mamlaka ya anga,wadukuzi.

Anawaeleza watu machungu yake na Yao,anawaeleza makosa ya mtawala wa Sasa na anaeleza yeye atafanya nini.

Ndio mgombea ambae VIONGOZi wa serikali na CCm wanafuatilia hotuba zake kwa Siri Sana na zinawasisimua.

Lisu ndio mgombea aliewekewa vihunzi vingi Sana na amekua akivivuka,kesi,kifo,kuenguliwa,kutotangazwa tiviini,redioni na magazetini.
Na dalili zinaonesha atashinda lakini kutangazwa ushindi wake itakua mbinde,
Watabana kwa siku kadhaa lakini wanamtangaza tu.kwa sababu inaonesha jamaa Ni mtu wa kuvuka kwa taabu Sana.
Akitangazwa utatokea mlipuko mkubwa Sana wa furaha hapa Tanzania na Afrika mashariki.
Miongoni mwa watakaofurhi Sana Ni pamoja VIONGOZi wa serikali na makada wa CCM kwa uwingi wao.hamtaamini.
Sawa
 
Lissu ni kama Mfalme Daudi ndugu!! Ni Mpango halisi wa Mungu juu ya kuwakomboa Watanzania na udhalimu.

Mungu aendelee kumsimamia, kumlinda na kumbariki mja wake Tundu Antiphas Lissu. Amshindiye pia uchaguzi wa mwaka huu na kumfanya awe raisi wetu 2020 - 2025 kwa Jina la Yesu!
Amen.
 
Lisu ataishangaza dunia uchaguzi huu kama alivyo ishangaza dunia ktk ulimwengu wa tiba kwa kupona kifo baada ya kupigwa risasi 16
 
Back
Top Bottom