makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kujipendekeza tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada ya hovyo hii.Walimu hawajui kipaumbele vyao, full kujipendekeza! Hii Kada sometimes wanajidhalilisha Sana aidha kwa kujua au kwa kutokujua. Inawezakana vipi mchangishane kumchukulia Form Mgombea ambaye hata muda WA uchaguzi haujafika na mkashindwa kuchangishana mkawanunulia Viti Walimu wenzenu?
Baadhi ya Walimu mna laana wallah hio sio kawaida kabisa.
View attachment 2883857View attachment 2883858
Maigizo yamewatokea puaniWalimu hawajui kipaumbele vyao, full kujipendekeza! Hii Kada sometimes wanajidhalilisha Sana aidha kwa kujua au kwa kutokujua. Inawezakana vipi mchangishane kumchukulia Form Mgombea ambaye hata muda WA uchaguzi haujafika na mkashindwa kuchangishana mkawanunulia Viti Walimu wenzenu?
Baadhi ya Walimu mna laana wallah hio sio kawaida kabisa.
View attachment 2883857View attachment 2883858
Sisi wWalimu hawajui kipaumbele vyao, full kujipendekeza! Hii Kada sometimes wanajidhalilisha Sana aidha kwa kujua au kwa kutokujua. Inawezakana vipi mchangishane kumchukulia Form Mgombea ambaye hata muda WA uchaguzi haujafika na mkashindwa kuchangishana mkawanunulia Viti Walimu wenzenu?
Baadhi ya Walimu mna laana wallah hio sio kawaida kabisa.
View attachment 2883857View attachment 2883858
Sisi walimu sijui katuroga naniMetalaxyl -M + Mancozeb
nawakubali sana makocha tatizo lao wanavumilia sana dharau kuliko kada zote na wao ni muhimu kuliko kada zote mpaka inabid uwawazie ujinga , 😁Ndio walio kufanya uandike hapa🤣🤣🤣🤣🪑💺
Kazi nyingi hapa bongo ndo zipo hivyo....... Ndo maana kwa sasa tunazalisha machawa wa kutoshqWalimu ni nguzo kuu tegemewa kwa ajili ya kuweka materials vichwani mwa watoto lakini kuna wakati huwa wanafanya mambo ya ajabu sana hadi unajiuliza kada yao wanaichukuliaje?
Nadhani si wote wanao-support mambo kama haya bali ni viongozi wao kuwa so excited ili kuonekana mwisho nao wao wasogezwe nafasi za juu sababu ualimu wameuchoka wanaufanya kama daraja tu
Jifunze matumizi ya Aya wewe UVCCMNia ya walimu ni nzuri sana lakini wamekosa ubunifu wa kufikisha hicho walichokikusudia, hao ni wasomi huo mchango wa m1.6 ili achukue fomu ni kukosa adabu kabisa, huo mchango wao hata sisi uvccm tukichanga sh 1,000 kila kichwa tunaweza kumchukulia fomu, rais wetu ni mpenda maendeleo sana, ilitakiwa wachukue hata kwenye chama hata milioni 100 badala ya kununua tshirts na kufanya sherehe za kila mwaka wamkabidhi rais kwa ajili ya Kuchangia maendeleo ya elimu hasa , bado rais angewashukuru sana, kwa sababu wameunga juhudi zake, mimi kama rais wangu nashauri azichukue halafu atafute shule ambayo ina mahitaji sana aiikabidhi hiyo shule , nia yao kama ingekuwa njema wasingefanya matangazo kuwa wanachanga fedha ya kumchukulia fomu rais, maana yake kuna kitu wanatafuta, kama ni kuongezewa mishahara hapana bado mama anajenga uchumi wa nchi na kutengeneza ajira mpya kwa maelfu ya vijana ambao hatuna kazi, wewe una mshahara unataka uongezewe na wakati sisi vijana hatuna ajira na tuna elimu kama yako.
Halafu kakubali kupigwa picha kabisaLimezipanga lesson plans limezikalia
Nikushauri, next time kabla ya kuropokwa na kuita mada za wengine jitahidi uwe na information kidogo tafadhali, unajua Kwa nini wamekaa kwenye daftari au umekomenti Tu?Kama viti vimeharibika wameshindwa hata kuchukua madawati ya wanafunzi??
Jitahidi UWE na akili, shida sio Nani katoa pesa, shida sio CCM, shida ni CWT au mwamvuli WA Walimu kukubali "kutumiwa"! Wewe kama unajua pesa walitoa CCM Hilo ni Wewe sio Sisi, Sisi tunaiona CWTMada ya hovyo hii.
Hivi hujui kama hao waliomchangia raisi ni makada wa CCM?
Hata wakiwa walimu ila ajenda zao haziwakilishi walimu tena unaweza ukakuta kutengeneza hiyo script wao ndio wamepewa pesa.
Mambo mengine yana lengo la kuidhalilisha tu fani ya ualimu. Sasa hao walimu nao wanakosa vipi viti vya kukalia mpaka wakae juu ya hayo madaftari na kujipiga picha!
Hapo sio swala LA, kujipendekeza bro, there is more than what meats the eyes.Walimu hawajui kipaumbele vyao, full kujipendekeza! Hii Kada sometimes wanajidhalilisha Sana aidha kwa kujua au kwa kutokujua. Inawezakana vipi mchangishane kumchukulia Form Mgombea ambaye hata muda WA uchaguzi haujafika na mkashindwa kuchangishana mkawanunulia Viti Walimu wenzenu?
Baadhi ya Walimu mna laana wallah hio sio kawaida kabisa.
View attachment 2883857View attachment 2883858
Ndio walio kufanya uandike hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]🪑[emoji575]
SawaHapo sio swala LA, kujipendekeza bro, there is more than what meats the eyes.
Inawezekana wamelazimishwa kama wanavyolazimishwa kuchangia
Walimu ni nguzo kuu tegemewa kwa ajili ya kuweka materials vichwani mwa watoto lakini kuna wakati huwa wanafanya mambo ya ajabu sana hadi unajiuliza kada yao wanaichukuliaje?
Nadhani si wote wanao-support mambo kama haya bali ni viongozi wao kuwa so excited ili kuonekana mwisho nao wao wasogezwe nafasi za juu sababu ualimu wameuchoka wanaufanya kama daraja tu
Saaaaafi Sana sana, umeiweka vyemaWatu wamefundishwa na aina mbalimbali za walimu. Waliofundishwa na aina ya walimu wanafiki na wasiojitambua kama hawa, hata michango yao hapa JF au hata huko mitaani utawajua.