Sahihi kabisa. Maana kwa upande wangu sijaona kama kulikuwa na sababu yoyote ya hao walimu kupiga picha ya aina hiyo, na pia kulalamikia mambo ya kipuuzi kama hayo.Walimu nadhani wanafurahia hizi dharura, mtu akukalishe chini then uje ukubali kupigwa picha ili uzidi kudhalilika?!
walimu ni mazuzu wanatumika km condom kisha wanatupiliwa mbaliWalimu hawajui kipaumbele vyao, full kujipendekeza! Hii Kada sometimes wanajidhalilisha Sana aidha kwa kujua au kwa kutokujua. Inawezakana vipi mchangishane kumchukulia Form Mgombea ambaye hata muda WA uchaguzi haujafika na mkashindwa kuchangishana mkawanunulia Viti Walimu wenzenu?
Baadhi ya Walimu mna laana wallah hio sio kawaida kabisa.
View attachment 2883857View attachment 2883858
Ukiwa mnyonge hii serikalo ya kina Makonda itakunyanyasa sanaWalimu nadhani wanafurahia hizi dharura, mtu akukalishe chini then uje ukubali kupigwa picha ili uzidi kudhalilika?!
Umemtukana wife, noma sanaMke wangu mwalimu ila waalimu mafala sana.
Mimi wangeniua aiseeeUkiwa mnyonge hii serikalo ya kina Makonda itakunyanyasa sana
AtanyimwaUmemtukana wife, noma sana
Khaaaaa!walimu ni mazuzu wanatumika km condom kisha wanatupiliwa mbali
HahahaMimi wangeniua aiseee
Walitaka ujumbe ufikeSahihi kabisa. Maana kwa upande wangu sijaona kama kulikuwa na sababu yoyote ya hao walimu kupiga picha ya aina hiyo, na pia kulalamikia mambo ya kipuuzi kama hayo.
Mada ya hovyo hii.
Hivi hujui kama hao waliomchangia raisi ni makada wa CCM?
Hata wakiwa walimu ila ajenda zao haziwakilishi walimu tena unaweza ukakuta kutengeneza hiyo script wao ndio wamepewa pesa.
Hizo ni propaganda tu kisiasa.
Halafu haiwezekani walimu wakose viti, Kwa miezi ya karibuni hakuna ajira mpya zilizotoka, hivyo walikiwa hawana viti tangu mwezi wa saba mwaka jana??
Kama viti vimeharibika wameshindwa hata kuchukua madawati ya wanafunzi??
Wameshindwa hata kutengeneza vyao ambapo gharama ya kiti hata 30,000 unapata
Omba Sana usipungukiwe akili kama Hawa walimu wa TzWalimu hawajui kipaumbele vyao, full kujipendekeza! Hii Kada sometimes wanajidhalilisha Sana aidha kwa kujua au kwa kutokujua. Inawezakana vipi mchangishane kumchukulia Form Mgombea ambaye hata muda WA uchaguzi haujafika na mkashindwa kuchangishana mkawanunulia Viti Walimu wenzenu?
Baadhi ya Walimu mna laana wallah hio sio kawaida kabisa.
View attachment 2883857
Tukubali tu hii njia waliyotumia kufikisha huo ujumbe wao nadhani haikuwa sahihi.Walitaka ujumbe ufike
Kwani kabla ya Mwendazake Waalimu walikuwaje? Tatizo la hiyo kada siyo CWT wala Mwendazake, mizizi yake toka UPE.Niupumbafu mkubwa kuwalaumu walimu na niujinga mkuu kama mtu anadhani walimu wanaridhishwa na cwt...
CWT yaani Chama Cha Wasaliti kilitekwa vibaya zaidi na sirikali ya mwendazake ili kuwanyonya na kuwavuruga maticha wasiweze kuwa na umoja, wasigome ama kudai hakizao istoshe kimekuwa kikikusanya mapesa kwa maticha kibabe kuzila nakuikopesha sirikali kinyemela ndomana fyongozi wao wanakiburi hata chakumgomea prezdaa kwenye uteuzi!
Chama Kinachezea pesa za maticha na hutaskia hata sikumoja CAG akiagizwa akague hesabu zao maana nimpango Haramu unaolindwa na wa-twawala.
Chama kinafyongozi jeuri na nyonyaji waovu wanaolindwa na Sheria chafu zilizowekwa na ma Mp wanyonyaji wanaoweka mbele vyeo na maslahi yao dhidi ya maendeleo endelevu ya taifa.
SHAME ON YOU CWT
WALIMU wetu wajinga sana ndio maana MAGANGA yule CWT anakula Mabilioni yao na hawana cha kumfanyaWalimu hawajui kipaumbele vyao, full kujipendekeza! Hii Kada sometimes wanajidhalilisha Sana aidha kwa kujua au kwa kutokujua. Inawezakana vipi mchangishane kumchukulia Form Mgombea ambaye hata muda WA uchaguzi haujafika na mkashindwa kuchangishana mkawanunulia Viti Walimu wenzenu?
Baadhi ya Walimu mna laana wallah hio sio kawaida kabisa.
View attachment 2883857View attachment 2883858
Akija Diwani unampisha kwa muda?Tukubali tu hii njia waliyotumia kufikisha huo ujumbe wao nadhani haikuwa sahihi.
Kwanza hata hilo tatizo lenyewe nalo ni la kawaida sana.
Ningekuwa mimi ndiyo mwalimu, ningechonga meza na kiti changu cha kisasa kwa gharama zangu, halafu nakuja kukalia nwenyewe hapo ofisini! Badala ya kukubali kupigwa picha ya kipumbavu kama hiyo. Kwani ni shilingi ngapi kuchonga meza na kiti bhana? Mambo mengine ni kujiendekeza tu.