Pre GE2025 Maajabu ya Walimu: Wachangishana kumchukulia Rais Samia form lakini wameshindwa kuwachangia viti walimu wenzako, wanakaa chini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Walimu nadhani wanafurahia hizi dharura, mtu akukalishe chini then uje ukubali kupigwa picha ili uzidi kudhalilika?!
Sahihi kabisa. Maana kwa upande wangu sijaona kama kulikuwa na sababu yoyote ya hao walimu kupiga picha ya aina hiyo, na pia kulalamikia mambo ya kipuuzi kama hayo.
 
walimu ni mazuzu wanatumika km condom kisha wanatupiliwa mbali
 

Usipende kutoa conclusion bila kujua chanzo Cha yote yaliyotokea. Kasome kwanza taarifa ujue ukweli wa mambo ulikuwaje.
 
Omba Sana usipungukiwe akili kama Hawa walimu wa Tz
 
Walitaka ujumbe ufike
Tukubali tu hii njia waliyotumia kufikisha huo ujumbe wao nadhani haikuwa sahihi.
Kwanza hata hilo tatizo lenyewe nalo ni la kawaida sana.

Ningekuwa mimi ndiyo mwalimu, ningechonga meza na kiti changu cha kisasa kwa gharama zangu, halafu nakuja kukalia nwenyewe hapo ofisini! Badala ya kukubali kupigwa picha ya kipumbavu kama hiyo. Kwani ni shilingi ngapi kuchonga meza na kiti bhana? Mambo mengine ni kujiendekeza tu.
 
Kwani kabla ya Mwendazake Waalimu walikuwaje? Tatizo la hiyo kada siyo CWT wala Mwendazake, mizizi yake toka UPE.
 
WALIMU wetu wajinga sana ndio maana MAGANGA yule CWT anakula Mabilioni yao na hawana cha kumfanya

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Akija Diwani unampisha kwa muda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…