Maajabu ya wanawake yaliyowashinda hata wana falsafa kuelewa

Maajabu ya wanawake yaliyowashinda hata wana falsafa kuelewa

Binadamu wote tupo sawa.. Tukipata kitu na tukakizoea, tunakiona cha kawaida na kinachofuata ni tamaa za kuamini kuna kitu kizuri zaidi. wanawake sio exceptional ni binadamu na huwezi kuwaondolea ubinadamu wao, mila zetu tu ziliwabana ila kwa sasa ni uhuru wa kutosha. tarajia zaidi
 
Mengine mnatuonea tu jamni!...khaa!
Ila nna bahasha ya kaki ya A4 nilitumia gift na rafiki yangu ya vyupi had leo ni miaka karibu minne nnayo tu..ukiniuliza nimeitunza kwsbbu gn sina jibu🤣🤣!
Bas alinitumi chupi nzuriii😋😋😋! Moja shogangu akaipokonya🤣...nikaja meet naye akanionesh kaivaa nikaibebaa🤣🤣! Dah...nazivaa kwa nadra!..

Wanwake tunapenda vizawadi zawadi..ss mume/mpenzi ht kukununulia chupi tu shida...hata vipipi basi jaman😄!
 
Binadamu wote tupo sawa.. Tukipata kitu na tukakizoea, tunakiona cha kawaida na kinachofuata ni tamaa za kuamini kuna kitu kizuri zaidi. wanawake sio exceptional ni binadamu na huwezi kuwaondolea ubinadamu wao, mila zetu tu ziliwabana ila kwa sasa ni uhuru wa kutosha. tarajia zaidi


😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Naona hapa tunatishwa tusipewe zawadi tu hawana lolote🤣
 
Nimeamini aisee, wiki 2 zilizo pita nimegegeda mke wa mtu kwa sababu tu nilienda kumuona Hospital akaniona namjali sana wakati sikutoa hata mia yangu mbovu kuchangia matibabu yake, yote amegharamiwa na mume wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo hapo wewe unajiona unajitambua? Shabbaby? Kidume? Rijali? Au vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawana lolote hawa! Tatizo la kutowaelewa ni kwamba wapo kama bendera vifuata upepo. Muda wowote hubadili mwelekeo. Upepo ukielekea mashariki nao huko huko, magharibi twende n.k n.k..
 
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Naona hapa tunatishwa tusipewe zawadi tu hawana lolote[emoji1787]
Dada Kaa ukitambua kua sikuzote "Hakuna mtu mjinga Duniani ".kila mtu anafanya jambo kwa malengo kamasio yamuda mrefu basi ya mudamfupi[emoji509][emoji509][emoji511][emoji489]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri tunapoambiwa tuishi nao kwa akili, ni sio kuishi nao kwa kutumia akili zetu bali ni kusoma akili zao wanataka nini ili tufanye yale ambayo akili yao inataka kwa wakati huo.
N.B:
Usitumie mwanamke mwingine kama mfano wa kuishi na mwanamke wako, tambua hata wao wenyewe huwa hawaelewi saa nyingine wanataka nini..
 
Dini zote duniani zimewazungumzia hawa viumbe, Japo naona wanawake jamii ya Kiafrica wakifuatiwa na jamii ya kizungu ndio wenye matatizo duniani hapa. Wanawake wa kiafrika wamepotoka kwa kujaribu kuishi tamaduni za kizungu kwenye mazingira ambayo hazifanyi kazi.

Wanawake jamii ya kihindi, kichina, kiarabu naamini ndio pekee mpaka sasa wanajitambua na kujijua Mwanamke ni nani.
 
Naona umetudadavua nakutuacha uchi kabisaaaa
 
Back
Top Bottom