Nimekuelewa, japo.... Akili za kuambiwa changanya na zako.
SWALI: Kwahiyo nifanye nini ili niweze kuyaepuka hayo?
Je nisioe, nisiwe na mchumba au nisijihusishe na mahusiano na mwanamke yoyote yule?
Hatari ila salamaKuna mtu alisema humu kuwa ukiona unaanza kuwaelewa wanawake ujue siku zako za kuishi zinaelekea mwisho!
Bora uendelee kutowaelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu ni dogo sana "ishi nao kwa akili"Nimekuelewa, japo.... Akili za kuambiwa changanya na zako.
SWALI: Kwahiyo nifanye nini ili niweze kuyaepuka hayo?
Je nisioe, nisiwe na mchumba au nisijihusishe na mahusiano na mwanamke yoyote yule?
Wakichina wa zamani labda kabla ya Mao tse tung na wakati wa utawala weke. Lakini baada ya kukaribisha ubepari ni shida sana, muulize balozi wan keDini zote duniani zimewazungumzia hawa viumbe, Japo naona wanawake jamii ya Kiafrica wakifuatiwa na jamii ya kizungu ndio wenye matatizo duniani hapa. Wanawake wa kiafrika wamepotoka kwa kujaribu kuishi tamaduni za kizungu kwenye mazingira ambayo hazifanyi kazi.
Wanawake jamii ya kihindi, kichina, kiarabu naamini ndio pekee mpaka sasa wanajitambua na kujijua Mwanamke ni nani.
Binadamu sio kama mnyama, binadamu ni mnyama. Au ulisoma KLF?Ambacho mmekisahau ni kuwa binadamu ni Kama mnyama ila tofauti Ni kuwa anautashi wa akili, hivyo anaishi katika tashi mbili akili (itatunga sheria,mstakabali wa kuishi).
Unyama huu hufuata matamanio na hisia.. unachokiona ni matokeo ya kushindana Kati ya akili na unyama!!
Hivi vyote tunaishi navyo ukitaka kimoja kishinde basi kile kitakacho kuwa dominant ktk sifa hizo mbili ndio kitachoshinda!!
NB;WANAUME WOTE SISI NI WAAMINIFU [emoji12]
Mwamba comment yako nimeikubali [emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ni some yote hayo kisa mwanamke ambae hata buku nampata? Siku nyingine andika in a nutshell
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jina lako linaonesha huwezi kamwe kuishi bila mwanamke. Hongera sana Kitombise.
Hii imekua kama silaha ya wanawake wengi pindi ambapo m'mekua mkiambiwa ukweliCha ajabu ni kwamba mwanamke huyo huyo ambaye baba ako hamuamini asilimia zote wewe unamuita MAMA na kumuamini 100%....
We lazima uelewe si kwasababu ni mwanamke
Na ndio uongo wenyewe huoWanawake tupo tunawaangalia tu! Mkitoka hapa mnakuja kulialia kwetu ooh siwezi kuishi bila wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora we kumuona hospitali kuliko aliyemtunuku msela mwili wake kisa kusajiliwa line yake kwa kutumia namba ya nida ya mchiziNimeamini aisee, wiki 2 zilizo pita nimegegeda mke wa mtu kwa sababu tu nilienda kumuona Hospital akaniona namjali sana wakati sikutoa hata mia yangu mbovu kuchangia matibabu yake, yote amegharamiwa na mume wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi hatuwaelewi
Walisoma lakini hawakuelewa kwasababu main character haeleweki na pamoja ya kuurudia tena bado hatujawaelewa, vipi we umewaelewa?Huu uzi niliuandikaga mwaka Juzi hapa
Maajabu ya wanawake. Kuwaelewa ni ishu iliyowashinda mpaka wanafalsafa
Mwenzako kasema hatuelewi lakini katuelezea vzr jinsi tulivyo.Sisi hatuwaelewi