Maalim Seif akana kuitwa msaliti kwa kukubali SUK asema sio kila jambo unasusia!

Maalim Seif akana kuitwa msaliti kwa kukubali SUK asema sio kila jambo unasusia!

Nyumbu ni CCM hata mbugani nyumbu ni wengi kama CCM walivyokuwa wengi,unyumbu ni kusahau mateso yaliyowapata wazanzibar na kuendekeza njaa binafsi
Nyumbu ni Chadema mmeshikiliwa akili zenu, bure kabisaa
 
Daa we jamaa umekaririshwa sijui na Nani..anyway iko siku utafunguka macho Kama viongozi wako walioenda kuunga juhudi kwa JPM walivyostuka mapema...usidhan Wao Ni wajinga...tena viongozi waandamizi Sasa ije iwe wewe jomba mshabiki tu na hata kadi ya chama huna..wewe huna uchungu wowote no ushabiki tu unaendesha..hahaha..vyama vyenyewe vilishapoteza sura ya uchama vimegeuka kuwa Sacco's...na wewe unajua na unaona..lakini unafumbia macho unaona aibu kusema ukweli...Sasa bila kusema ukweli vitabadilika vipi...embu uwe mzalendo basi at least for once..

Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Bora umekubali kuwa mi wa kuja hujui chochote,unadandia treni kwa mbele
Wakuja nyerere ndiyo alileta uhuru wa Tanzania hata wazungu ni wakuja pia mwenyeji kazi yake ni kucheza mdunndiko kushabikia ujinga kama wa akina Maalim Seif
 
Nyumbu ni Chadema mmeshikiliwa akili zenu, bure kabisaa
Wewe ndiyo bure hujui kuwa nyumbu ni CCM hata mbugani nyumbu ni wengi kama CCM, kutokujua kuwa CCM ndiyo nyumbu halisi huo ndiyo unyumbu wenyewe.
 
Mmempiga wenyewe huko chadema, alikuwa anataka uenyekiti ambayo ni nafasi ya milele ya DJ.
Kwa Akili zako finyu unadhani huo uzushi utakupa sifa na uteuzi kuwa umejua kuzusha kutengeneza propaganda za kishamba, kama DJ ni tusi Mbona CCM kutwa mnatumia mabilioni kuidhoofisha chadema kuwabambikia kesi kesi uonevu kuwapora ushindi kwa kuwatumia Polisiccm na NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani
 
Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika zaidi ya CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani
 
Wewe ndiyo bure hujui kuwa nyumbu ni CCM hata mbugani nyumbu ni wengi kama CCM, kutokujua kuwa CCM ndiyo nyumbu halisi huo ndiyo unyumbu wenyewe.
Nyumbu utamjua kwa akili sio wingi mfano naambiwa zungusha mikono na wewe unazungusha kweli eti ndio utapata USHINDI au unaambiwa fulani fisadi baadae eti inabadilishwa gear angani na wewe unachekelea huo ndio unyumbu sasaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maalim siku zote focus yake ni Zanzibar tu na anavitumia vyama vya siasa vya bara kama vyombo vya kufikia lengo lake. Alikichukua chama cha wakina Aleck Che Mponda na kukigeuza kuwa chama ambacho priority yake kubwa ni masuala ya Pemba na Unguja. Ameingia sasa ACT-WAZALENDO na anarudia mchezo ule ule. Nasema hivi kwa sababu:
1. Anaposema wanachama wa ACT-WAZALENDO waliulizwa kuhusu hatua ya kuingia kwenye GNU sidhani kama anamaanisha wanachama walioko Kibondo au Newala. Kwake yeye mradi wanachama walioko Pemba na Unguja wameulizwa mchezo umekwisha.
2. ACT Wazalendo ni chama cha kitaifa na hivyo kabla ya uamuzi wowote kuchukuliwa walipaswa kuangalia athari au faida yake kwa Chama kwa ujumla na sio kwa upande mmoja wa Muungano. Mpaka sasa hivi tunachosikia ni faida tu kwa wanachama walioko Zanzibar lakini hatusikii lolote kuhusu faida ambazo mwanachama wa Kibondo atapata kutokana na hatua hii.
3. Lugha ya kuwa Zanzibar sio Tanzania Bara ni ya kuwakataza hata wanachama wenzake wasio wazanzibari kushiriki katika mjadala unaohusu uamuzi wao wa kujiunga katika SUK.
4. Kwa ACT-WAZALENDO ( Bara) uamuzi huu unaweza kuwaathiri sana maana wamejiweka wazi kwa tuhuma za kuwa wao sio sehemu ya upinzani makini bali ni sehemu ya utawala uliopo. Hali hii inaweza kukubalika Zanzibar lakini itawaathiri kwa wanachama wao waliokipigania chama chao kwenye mikoa kama Lindi na Mtwara.
5. Kwa matamshi yake tayari anajihesabu yeye ni sehemu ya utawala wa Zanzibar. Ameanza mpaka kutumia lugha za vitisho dhidi ya wale ambao hawakubaliani na uamuzi wake. Kwa kufanya hivi anaonyesha yeye by nature ni authoritarian na hataki watu watofautiane nae. Hii inasikitisha kwa sababu inaonyesha kuwa si muumini wa Demokrasia na kuna uwezekano mkubwa kama angekuwa na uwezo angefanya vitendo hivyo hivyo ambavyo alifanyiwa.

Hata hivyo pamoja na kusema hivi, ninawaombea heri ACT-WAZALENDO na viongozi wao katika safari yao ya kutuonyesha kuwa kuna njia mbadala. Mafanikio yao yatakuwa yetu sote. Na wakionyesha kuwa mawazo yangu ni potofu sitasita kurudi tena humu na kuwaomba msamaha.

Amandla...
Yakhee ndo unalijua leo hili! Wenzio twalijua tangu na tangu yakhe!
 
Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Hahaha mtabaki hivyohivyo sikuzote...hata Kama yangekuwa maonyesho ya beberu bado matokeo baada ya wananchi kupiga kura yangekuwa Kama haya
 
Dictator anayepigiwa kura na wananchi wanyonge ? Wewe ulisikia wapi
Huko kwenye kupigiwa kura kaa kimya tu. Halafu huu ni udhaifu wake toka akiwa mbunge, hakuwa na sifa ya kushinda kwa box la kura.
 
Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika zaidi ya CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani
Waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa ripoti zao zinasema kwani...maana ripoti zote zimeshapelekwa ulaya na wameshazisoma
 
Hahaha mtabaki hivyohivyo sikuzote...hata Kama yangekuwa maonyesho ya beberu bado matokeo baada ya wananchi kupiga kura yangekuwa Kama haya

Kilichofanyika kwenye uchaguzi tumekiona kwa macho yetu, wala hatuhadithiwi.
 
Huko kwenye kupigiwa kura kaa kimya tu. Halafu huu ni udhaifu wake toka akiwa mbunge, hakuwa na sifa ya kushinda kwa box la kura.
Mmelogwa nyinyi..hamtakaa mpige hatua kamwe
 
Huyu Sefu msaliti alianza kuwasalito Wazenji wakati hayati Abood Jumbe alipotaka kuwakomboa toka kwa Kambarage

Sintashangaa Zitto nae akajichagua kuingia Bungeni; wapinzani wa njaa hawa!!!
 
Mmelogwa nyinyi..hamtakaa mpige hatua kamwe

Nasema hivi, hajawahi kushinda kwa ushawishi zaidi ya matumizi mabaya ya madaraka. Kitendo cha hata kutoshangilia alijua kabisa sio kwa kura za wananchi, bali kupitia madaraka yake.
 
Kilichofanyika kwenye uchaguzi tumekiona kwa macho yetu, wala hatuhadithiwi.
Hahaha hayo tumeshayazoea Kila wakati was uchaguzi mnakuja na nyimbp hizohizo..na hii tabia mmeshaihalalisha
 
Back
Top Bottom