Maalim Seif akana kuitwa msaliti kwa kukubali SUK asema sio kila jambo unasusia!

Maalim Seif akana kuitwa msaliti kwa kukubali SUK asema sio kila jambo unasusia!

Msikilize mwenyewe

Wanachadema komaeni hivo hivo..watu wengi wenye mbongo kubwa hawatakaa wakubali unyongaji wa democrasia eti tu kwasabb ya njaaa. Mbele kuna Nuru kubwa sana. Cream ya wafuasi wenye roho ya utaifa itatoka katika moyo wa wenye msimamo thabit. Msikubali kuyumbishwa hata kidgo...Wakati utasema Mvumilivu......!?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Nasema hivi, hajawahi kushinda kwa ushawishi zaidi ya matumizi mabaya ya madaraka. Kitendo cha hata kutoshangilia alijua kabisa sio kwa kura za wananchi, bali kupitia madaraka yake.
Haya ni mazungumzo baada ya habari jomba...tafuta wimbo mwingine.. wananchi wameshawashtukia..wengine wanajifanya eti wanatishiwa usalama wanakimbia kwenda kuwa wakimbizi nchi za mabeberu..hahaha
 
Wanachadema komaeni hivo hivo..watu wengi wenye mbongo kubwa hawatakaa wakubali unyongaji wa democrasia eti tu kwasabb ya njaaa. Mbele kuna Nuru kubwa sana. Cream ya wafuasi wenye roho ya utaifa itatoka katika moyo wa wenye msimamo thabit. Msikubali kuyumbishwa hata kidgo...Wakati utasema Mvumilivu......!?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Ukizungumzia demokrasia anzia kwenye Sacco's yenu...Kuna demokrasia mule...hahahah...mnatia aibu...mmefukuza hata wale wanawake kwa sababu za wivu tu na mfumo dume...Ni demokrasia gani hiyo..kwanini hamkuwapa muda was kuwasikiliza...
 
Kwa Akili zako finyu unadhani huo uzushi utakupa sifa na uteuzi kuwa umejua kuzusha kutengeneza propaganda za kishamba, kama DJ ni tusi Mbona CCM kutwa mnatumia mabilioni kuidhoofisha chadema kuwabambikia kesi kesi uonevu kuwapora ushindi kwa kuwatumia Polisiccm na NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani
Naona ID yako iko kichwani, na hao minyoo washakuwa funza
 
Haya ni mazungumzo baada ya habari jomba...tafuta wimbo mwingine.. wananchi wameshawashtukia..wengine wanajifanya eti wanatishiwa usalama wanakimbia kwenda kuwa wakimbizi nchi za mabeberu..hahaha

Wananchi gani, tusingeona kura za kwenye mabeg, au kulazimisha kupita bila kupingwa.
 
Hahaha hayo tumeshayazoea Kila wakati was uchaguzi mnakuja na nyimbp hizohizo..na hii tabia mmeshaihalalisha

Hatubahatishi kwenye hilo, ndio maana watu wanazidi kulipuuza box la kura kwasababu ya kunajisiwa kupitia madaraka ya urais.
 
Majibu aliyomjibu Tundu Lissu ndio yameondoa ukweli kuwa yeye na Zitto ni wasaliti ? Au ndio yanazidi kuthibitisha ? Lumumba vichaa ni wengi sana Mungu saidia hawajaanza kuvua nguo .
 
Kwa nyie mnao ibeza Chadema kwa msimamo wao. Chadema wanajua maana ya "leverage" ndio maana wamewashukia kama mwewe wakina Halima na kumwacha yule wa Nkasi. Wanajua kuwa bila kuwa na idadi ya kutosha ya wapinzani Bungeni, Bunge litakosa uhalali na itakuwa ngumu kwake kutimiza matakwa ya Kikatiba ya uendeshaji wa Bunge. Matumaini yao ni kuwa wakiendelea na msimamo wao, serikali itabidi iwakubalie baadhi ya matakwa yao ( sio yote) ili waruhusu wanachama wao kuingia bungeni na kulipa uhalali. Na wanajua kuwa kuna uwezekano wa kuwa wakiingia tu, chama tawala kitaweza kubadilisha Katiba kwa kuondoa vipengele ambavyo vinawasumbua sasa hivi. Wakiingia tu Bungeni watakuwa hawana leverage.

ACT Wazalendo approach yao ni tofauti. Wao wanaingia kwenye SUK kwa imani kuwa Chama Tawala Zanzibar kitawapa nafasi ya kuwa mtawala mwenza makini. Wanaopinga msimamo huu wanasema kuwa kwa vile Katiba ya Zanzibar inataka pawe na SUK basi bila shaka serikali isiyoshirikisha upinzani itakosa uhalali. Kwa sababu hiyo walitegemea ACT Wazalendo watoe masharti magumu kabla ya wao kujiunga maana leverage yao ni kabla ya kujiunga. Kwa kujiunga walivyojiunga, hiyo leverage inapungua nguvu. Sasa hivi wanategemea zaidi nguvu binafsi za Maalim kuweza kuleta mabadiliko wanayoyataka. Sisi sceptics inabidi tuwaombee heri kwenye hilo.

Amandla...

Mkuu, mimi sidhani kama kuna real “leverage” yoyote hapo; ni kutwanga tu maji kwenye kinu!

The legitimacy of the legislature doesn’t presuppose an existence of MPs from the Opposition. Katika mambo ya uchaguzi, uwezekano wa vyama vya Upinzani kushindwa kupata kiti chochote au kupata viti vya kutosha Bungeni hauwezi kuwa ruled out. It’s rare but not impossible! Kwahiyo, Katiba au sheria yoyote haiwezi kuwa na rigid requirement ya uwepo wa KUB. Mkiwa na Katiba ya aina hiyo, kuna siku mtajikuta kwenye constitutional crisis iliyosababishwa na myopic draftsmanship.

I am willing to hold my horses, though; time will tell!
 
Mkuu, hakuna “leverage” yoyote hapo; ni kutwanga maji kwenye kinu tu! The legitimacy of the legislature doesn’t presuppose existence of MPs from the Opposition.

Katika mambo ya uchaguzi, uwezekano wa vyama vya Upinzani kushindwa kupata kiti chochote au kupata viti vya kutosha Bungeni hauwezi kuwa ruled out. It’s rare but not impossible! Kwahiyo, Katiba au sheria yoyote haiwezi kuwa na rigid requirement ya uwepo wa KUB. Mkiwa na Katiba ya aina hiyo, kuna siku mtajikuta kwenye constitutional crisis iliyosababishwa na myopic draftsmanship.

Mheshimiwa, ni lazima nikiri kuwa nimeangalia Kanuni za Bunge na ni kweli kuwa hakuna takwa la kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Kwa mujibu wa kanuni zilizopo ni kuwa Kambi Rasmi ya Upinzani itaundwa pale tu ambapo vyama vya upinzani vitapata angalau asilimia kumi na mbili na nusu za wabunge wote. Sijaona pia sehemu ambapo inasema kuwa ni lazima Mwenyekiti wa Kamati Fulani atoke Upinzani. Kama niko sahihi basi Spika hana hata haja ya kubalisha kanuni maana ana mamlaka ya kuendesha bunge bila kuwepo kwa Kambi Rasmi ya Upinzani. Lakini hii haiondoi kuwepo kwa "leverage" kwa CDM maana itakuwa vigumu sana kushawishi wananchi na dunia kuwa nchi yetu ni ya demokrasia ya vyama vingi wakati wabunge wote ni wa Chama Kimoja, takriban madiwani wote ni wa chama hichohicho na wenyeviti na wajumbe wa serikali za mitaa ni wa chama kilekile. Aidha, inasemekana kuwa sharti la PAC kusimamiwa na upinzani linatoka kwa "Development Partners" wetu na hii ndio inawapa "leverage" nyingine CDM. Spika anaweza kuendesha Bunge bila kuwa na upinzania rasmi ndani yake lakini athari yake ni kupewa talaka na hao tunaowaita mabeberu na wahuni. Bila shaka ndio maana zinafanyika juhudi za ziada kuhakikisha bungeni kuna wabunge wa upinzani zaidi ya hiyo asilimia inayotakiwa, ambayo kama kutakuwa na jumla ya wabunge 395 basi angalau 45 ( ila kuna sehemu nimesoma idadi inayohitajika ni 30) watahitajika. Sasa hivi wako 25 ( 19 viti maalum CDM, 1 wakuchaguliwa CDM, 1 CUF na wanne ACT Wazalendo. Bado safari ni ndefu.

Amandla...
 
Ukizungumzia demokrasia anzia kwenye Sacco's yenu...Kuna demokrasia mule...hahahah...mnatia aibu...mmefukuza hata wale wanawake kwa sababu za wivu tu na mfumo dume...Ni demokrasia gani hiyo..kwanini hamkuwapa muda was kuwasikiliza...
Sjawahi kuwa na Kad ya Chama chochote. Ila siwez kuacha Sema ukweli. Jibu lako hapa limeonyeha udhaifu wa ubongo wako umechoka kufikiri. Mstakabar wa Taifa haiwezi kuzungumziwa na wenyevyama tu.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Maalimu tayari keshaingia CCM anashiriki nao meza moja

Chochote atakacho ongea from now on lazima maCCM yachukue na kukimbia nacho kama anavyofanya mwanaCCM Yehodaya now!

Sasa hivi ni CCM+ACT >>> Chadema!

Hakuna tofauti kati ya CUF na ACT now!
Hii ni mara ya pili anashirikiana na CCM. Maishani watu huangalia maslahi yao badala ya kuangalia nani na nani wanasema nini.
 
Maalim alipotoka C.U.F aliamia A.C.T,ilhali wakati wa mvutano wake na Lipumba Chadema walikua bega kwa bega na Maalim.
Kama ufipa wangekuwa na maono ya mbali wangejua mapema mchele na pumba ni zipi kabla ya kumsaport uchaguzi uliopita.
Ukweli ni kwamba Prof. Lipumba ndo mwanasiasa pekee aliyekomaa, mvumilivu, mwenye kuona mbali na asiyeyumbishwa na wanasiasa wasiojielewa kama CHADEMA.

Eti hata Tundu Lissu naye alijaribu kumwekea pingamizi Lipumba atenguliwe kuwa mgo.bea badala ya Membe ili kumvunjia heshima na kuonesha kuwa si mpinzani. Leo Membe yuko wapi na ACT yake? CHADENA hawajitambui na bado wanajinasibisha kuwa wao ni wapinzani makini. Shame!
 
ACT hana tofauti na CUF ya Lipumba,wote wapo na CCM mezani wanakula maisha....
Hivi nyie hamuezi kuishi bila kuitukana CUF na Lipumba? Mnapata faida gani? Wenye ushoga na ACT leo ni CUF? Aliyetangaza wakati wa kampeni kuwa mgombea urais wa CHADEMA Zanzibar ni Maalim Seif wa ACT ni CUF? Acheni kuigeuza CUF kuwa "dampo" la aibu za CHADEMA na muwe na haya!
 
Mheshimiwa, ni lazima nikiri kuwa nimeangalia Kanuni za Bunge na ni kweli kuwa hakuna takwa la kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Kwa mujibu wa kanuni zilizopo ni kuwa Kambi Rasmi ya Upinzani itaundwa pale tu ambapo vyama vya upinzani vitapata angalau asilimia kumi na mbili na nusu za wabunge wote. Sijaona pia sehemu ambapo inasema kuwa ni lazima Mwenyekiti wa Kamati Fulani atoke Upinzani. Kama niko sahihi basi Spika hana hata haja ya kubalisha kanuni maana ana mamlaka ya kuendesha bunge bila kuwepo kwa Kambi Rasmi ya Upinzani. Lakini hii haiondoi kuwepo kwa "leverage" kwa CDM maana itakuwa vigumu sana kushawishi wananchi na dunia kuwa nchi yetu ni ya demokrasia ya vyama vingi wakati wabunge wote ni wa Chama Kimoja, takriban madiwani wote ni wa chama hichohicho na wenyeviti na wajumbe wa serikali za mitaa ni wa chama kilekile. Aidha, inasemekana kuwa sharti la PAC kusimamiwa na upinzani linatoka kwa "Development Partners" wetu na hii ndio inawapa "leverage" nyingine CDM. Spika anaweza kuendesha Bunge bila kuwa na upinzania rasmi ndani yake lakini athari yake ni kupewa talaka na hao tunaowaita mabeberu na wahuni. Bila shaka ndio maana zinafanyika juhudi za ziada kuhakikisha bungeni kuna wabunge wa upinzani zaidi ya hiyo asilimia inayotakiwa, ambayo kama kutakuwa na jumla ya wabunge 395 basi angalau 45 ( ila kuna sehemu nimesoma idadi inayohitajika ni 30) watahitajika. Sasa hivi wako 25 ( 19 viti maalum CDM, 1 wakuchaguliwa CDM, 1 CUF na wanne ACT Wazalendo. Bado safari ni ndefu.

Amandla...
Mkuu kama wazungu ama mabeberu watawatambua Hao 19.kigezo kikawa ni kuwapa hizo pesa znazoitwa za kibeberu !!!basi hata wao watakua wanatatizo kichwani.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Sjawahi kuwa na Kad ya Chama chochote. Ila siwez kuacha Sema ukweli. Jibu lako hapa limeonyeha udhaifu wa ubongo wako umechoka kufikiri. Mstakabar wa Taifa haiwezi kuzungumziwa na wenyevyama tu.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Hahaha Sasa jomba vyama ndio vinakuja kishika hatam ya Mamlaka ya serikali utaviachaje..Huo Ni ujuha..lazima vyama vitengenezwe vizuri na kuondoa matakataka yaliyomo ikiwemo ukiukwaji wa demokrasia Kama kwenye chama chako unachokitetea..kule ukihoji tu hata matumizi ya chama unafukuzwa, wanasema umetumwa..Huo ndio uhalisia..halaf utegemee chama hicho kije kishika dola, si mtakunya vima...hahaha..usione aibu kusema ukweli kwa sababu ukweli ndio utaponya vyama na wafuasi wao
 
Nyumbu utamjua kwa akili sio wingi mfano naambiwa zungusha mikono na wewe unazungusha kweli eti ndio utapata USHINDI au unaambiwa fulani fisadi baadae eti inabadilishwa gear angani na wewe unachekelea huo ndio unyumbu sasaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unyumbu ni kulazimisha kile unachofikiri binafsi kuwa ni sawa wewe binafsi ni nyumbu hujitambui hujui hata maana ya siasa na wakati wake, mifano yako ni ya kishamba kidwanzi lakini kwa Akili zako finyu za kuwazia uteuzi unajiona mjanja.
 
Sintashangaa Zitto nae akajichagua kuingia Bungeni; wapinzani wa njaa hawa!!!
Zito na maalum seif wamevuta dola milion 5 kuuza utu wao na kusahau waliokufa na kujeruhiwa Zanzibar
 
Back
Top Bottom