rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Hako kajamaa kana kiherehere sijui ni gavana wa pemba full pumbaNimemjibu hivyo kutokana na jibu alilonijibu. Wewe hapa unarukia bila kujua maana yake.
Hao "wanaouliwa" wataacha kuuliwa kwa majibu ya kipuuzi?
Pumbavu aliyekuzaa kama huwezi kujenga hoja bila kutukana pita kimya kimya muungano hamuutaki ila kuishi tanganyika mnataka kwanini msivunje halafu tuone kama mtakuwa na haki ya kushitaki popote halafu elewa sheria ya nchi hairuhusu mgeni kumiliki ardhi
Hako kajamaa kana kiherehere sijui ni gavana wa pemba full pumba
Maalim anatapatapa sana hana mashiko.
mwanzo alianza na kudai serikali tatu.
baadae tena akaanza kudai serikali ya mkataba.
sasahivi tena anadai serikali yenye mamlaka kamili.
Alipokuwa makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar alitulia kimya kabisa akawa anakula maisha akasahau kudai serikali yenye mamlaka kamili.
CCM inawajua vizuri Zito na Maalim.Tulia dawa ikuingie , sikiliza kwa furaha kabla Oktober 28
Kwani mauaji yayoliyotokea wakati wa 'Mapinduzi' CCM ilikuwepo?Kwani kabla ya muungano ulikuwepo?
CCM inawajua vizuri Zito na Maalim.
Lissu hajawajua hata chembe hawa watu.
Haijawai tokea mambo yakawa magumu kabisa kwa serikali ya Zanzibar alafu Maalim akacha kulegeza kamba.
Nafasi yake ya umakamu wa kwanza bado ipo.
Hivyo hivyo kwa Zito pia nafasi yake ya kwenye kamati ya madini ipo.
Zito na Maalim hawajawai kuziangusha hizi serikali mbili za muungano.
Kwani mauaji yayoliyotokea wakati wa 'Mapinduzi' CCM ilikuwepo?
Lissu haijui CCM ila Maalim anaijua/aliishi na alipikwa na CCM.
Kwani ulipoundwa waliulizwa ? Hakuna mzanzibari anaetaka muungano, sio leo wala sio hio miaka 64. Tokea asubuhi/awali muungano ilikuwa ni ajenda ya Tanganyika ikiongozwa na Nyerere.Ni nini ushiriki wa wananchi katika uamzi wa kuuvunja au kutouvunja muungano, au inatosha tu kwa Maalim kuchaguliwa kwa sera hiyo kuchukua uamzi wa kuuondoa Muungano?
Amnakitu.kuhusu Lissu kuijua CCM kwa kupigwa mabomu na kulala jela umeandika pointless.Mbona umekuja kwa jaziba , Au leo umeshiba sahani ya pilau na soda ???
soma kwa utulivu na furaha nini nimeandika
Labda huijui wewe , Lisu na wanyonge wa nchi hii wanaijua vizuri . Lissu ameelala jela siku nyingi na kupigwa mabomu na kupigwa risasi . unataka kutuambia haijui tu bado CCM . Ni mwendawazimu aliyeshiba ugali na bia moja na paketi ya sigara hapo Lumumba ndio atakuwa haelewi
Amnakitu.kuhusu Lissu kuijua CCM kwa kupigwa mabomu na kulala jela umeandika pointless.
ushadata wewe.
JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.Maana yake nini?
Kama nchi iko kwenye muungano na nchi nyingine, inaweza kudai kuwa na "mamlaka kamili" bila kuathiri muunganio huo?
Maalim, mgombea urais wa Zanzibar anapodai kuwa na mamlaka kamili, ana maana lengo lake ni kuuvunja muungano?
Akichaguliwa atachukua hatua zipi kuuvunja muungano.
Je, CHADEMA wana maoni gani kuhusu jambo hili? Na huko mbeleni, kama sera yao ya "Majimbo" itakuwa imetekelezwa endapo watapata ushindi, itakuwa halali kwa jimbo fulani kujichukulia "Mamlaka Kamili", kuachana na majimbo mengine?
Ni nini ushiriki wa wananchi katika uamzi wa kuuvunja au kutouvunja muungano, au inatosha tu kwa Maalim kuchaguliwa kwa sera hiyo kuchukua uamzi wa kuuondoa Muungano?
Maalim Seif anaifanya kazi ya Tundu Lissu kuwa ngumu zaidi wakati huu wa kampeni.
Amnakitu.kuhusu Lissu kuijua CCM kwa kupigwa mabomu na kulala jela umeandika pointless.
ushadata wewe.
Naona unarukaruka kama panzi, huna lolote la maana unaloshikilia kichwani mwako. Sina muda wa kupoteza.soma kitabu hichi utajua huyo aliyeunda CCM aliifanyia nini Zanzibar na kama ilikuwepo CCM au la
https://kwaheri.files.wordpress.com/2010/05/kwaheri-ukoloni-kwaheri-uhuru.pdf
Unapojiweka wewe kuwa msemaji wa wazanzibar, hata bila ya kuwa naushahidi wa hayo unayowasemea mara moja hoja zako zinakuwa hafifu na msomaji mwenye upeo anadharau hata kuendelea kusoma mengine uliyoandika.Kwani ulipoundwa waliulizwa ? Hakuna mzanzibari anaetaka muungano, sio leo wala sio hio miaka 64. Tokea asubuhi/awali muungano ilikuwa ni ajenda ya Tanganyika ikiongozwa na Nyerere.
Kwa bahati mbaya, Nyerere alikuwa na ajenda za siri akijifichia pan-africanism. Hili nadhani linaonekana hadi leo ukiwasikiliza akina Lukuvi, Makonda n.k. ajenda yao ya siri utagundua hawana nia njema na wazanzibari.
Wana chuki ndani ya mioyo yao dhidi ya waislamu, na hii ndio imekuwa sera kuu kwa Tanganyika kutumia kisingizio cha muungano kutekeleza ajenda zake chafu dhidi ya Zanzibar.
Wazanzibari wengi mbona hatuna shida wala ubaya wowote kuchanganya damu au kuishi na watanganyika. Mara nyingi tatizo letu liko au linatokea kwenye masuala ya kidini. Hili nadhani sio geni waislamu hata hao wa Tanganyika watabehave the same.
Niishie hapo kwa sasa.
Maasalaam
Nadhani huelewi maana ya 'rhetorical language' ndio maana unajichanganya kiasi hiki,ili mradi uonekane unajua kitu.JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.
Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??
Mataga Tafuta thamani ya X......
Nilitaka kushangaa tokea lini kada wa CCM kukubali ukweli.Naona unarukaruka kama panzi, huna lolote la maana unaloshikilia kichwani mwako. Sina muda wa kupoteza.