Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
WOTE HAO WANATUMIKIA MFUMO Kristo wa CCMMkuu wa Brigedi ya Nyuki miaka yote Muislam, marais wawili kati ya watano waliowahi kuitawala Tanzania ni wa islam. Wote hawa waliupiga vita uislam?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WOTE HAO WANATUMIKIA MFUMO Kristo wa CCMMkuu wa Brigedi ya Nyuki miaka yote Muislam, marais wawili kati ya watano waliowahi kuitawala Tanzania ni wa islam. Wote hawa waliupiga vita uislam?!
Hao watanzania wanaoishi Kenya wanaishi kama wakenya? Wanazo haki zote alizonazo mkenya?
Hii akili yako ni wewe peke yako unaielewa, na sitegemei uelewe nilichokujibu hapa.Tunapodai serikali za majimbo we unadhani tunamaanisha Nini? ,
Mfumo utakaotumika kwenye majimbo ndo utaunda serikali ya shirikisho,
Serikali tatu, ya shirikisho ya majimbo
Sijui Kama una akili ya kunielewa
Hata hayo majimbo yakishapatikana, kuna yatakayotaka kujitangaza kuwa 'nchi'. This is not too far fetched to imagine.Zanziba siyo Jimbo mkuu .... ni nchi!!
Wewe ni mgonjwa wa akili?Huna hoja nyamazaaa Muungano gani kila uchaguzi mtuletee vifaru kuja kutuuwa
Wewe ni mgonjwa wa akili?
Akili zipo kwa wachache! Jibu jepesi zuriWakenya wengi /kampuni za kikenya nyingi wamewekeza/zimewekeza Tanzania , kwani tuna muungano nao?
Kwamba Dar es salaam ijiite nchi? Nipe mfano nduguHata hayo majimbo yakishapatikana, kuna yatakayotaka kujitangaza kuwa 'nchi'. This is not too far fetched to imagine.
"Ireland" ipi mkuu unayoiandika hapa?Nchi kuwa na mamlaka kamili kuvunja muungano.
Ireland ina mamlaka kamili, wales ina mamlaka kamili hii haijaiunja united kingdoms.
muwe mnajisomea kwanza historia ndipo mseme .
Muungano wa Tanganyika Na zanzibar unaifanya Tanganyika kuwa mkoloni wa zanzibar, haikubaliki
Nimemjibu hivyo kutokana na jibu alilonijibu. Wewe hapa unarukia bila kujua maana yake.Ni kweli atakuwa hana akili kwani wanaouliwa huna nasaba nao , hamna jamaa yako hapo wala hamna chako kinachopotea.
MZIGO WA MWENZAKO KWAKO NI GANDA LA USUFI
Hivi tayari Dar es Salaam limepangwa kuwa jimbo?Kwamba Dar es salaam ijiite nchi? Nipe mfano ndugu
Hata hayo majimbo yakishapatikana, kuna yatakayotaka kujitangaza kuwa 'nchi'. This is not too far fetched to imagine.
Nimemjibu hivyo kutokana na jibu alilonijibu. Wewe hapa unarukia bila kujua maana yake.
Hao "wanaouliwa" wataacha kuuliwa kwa majibu ya kipuuzi?
Hili ni jibu tofauti na yale yaliyotolewa hapo juu.mAJIMBO KWANI YA
Watu wataacha kuuliwa kwa kuondoka huu utawala dhalimu wa CCM , kwani umeuwa watu kwa maelfu hapa Zanzibar
We nae mpumbavu, kujenga bara inaweza kuwa kikwazo? Watu wananyumba Hadi ulaya kijana hebu punguzeni ujinga mambo haya ni sensitiveSeif anawahadaa wapambe wake kwani ili kuvunja muungano inabidi ipatikane theruthi mbili ya bara na mbili ya Zanzibar wakati Zanzibar wagombea wake 15 wameshaenguliwa ni wazi hatazipata.
Wapemba wengi wamewekeza bara ikiwamo na yeye mwenyewe ana nyumba bara hivi unafikiri ni wajinga wamruhusu avunje muungano maana kitakachofuata kila mtu arudi kwao
Muungano ni muhimu sana hasa katika masuala ya Security kwa pande zote mbili tunaona changamoto za makundi ya siasa kali kwa majirani zetu.
Muingiliano wa watu wa pande mbili ni mkubwa sana kukikosekana amani ni raisi sana maadui wakapenya upande mwingine na kuleta madhara makubwa na kuoba rasilimali zetu
Hili ni jibu tofauti na yale yaliyotolewa hapo juu.
Lakini unajua kuwa "watu kuuliwa" kunatokana na sababu mbalimbali na sio lazima kuwa kwa sababu ya muungano. Hata baada ya muungano kuvunjika, una maana hapawezi pakawepo na utawala wa aina ya "CCM" hii ya leo huko?
Pumbavu aliyekuzaa kama huwezi kujenga hoja bila kutukana pita kimya kimya muungano hamuutaki ila kuishi tanganyika mnataka kwanini msivunje halafu tuone kama mtakuwa na haki ya kushitaki popote halafu elewa sheria ya nchi hairuhusu mgeni kumiliki ardhiWe nae mpumbavu, kujenga bara inaweza kuwa kikwazo? Watu wananyumba Hadi ulaya kijana hebu punguzeni ujinga mambo haya ni sensitive