Likitokea watachinjana watuletee huku mzigo wa wakimbizi, Mungu aepushie mbali...na bila muungano Watanganyika hatutalazimika kwenda kuwasaidia CCM-Znz kuiba uchaguzi. Natamani sana hilo litokee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Likitokea watachinjana watuletee huku mzigo wa wakimbizi, Mungu aepushie mbali...na bila muungano Watanganyika hatutalazimika kwenda kuwasaidia CCM-Znz kuiba uchaguzi. Natamani sana hilo litokee.
Hivyo ndivyo Zanzibar.Wala bendera ya Zanzibar,Wana wimbo wa Taifa,Wana serikali ya Zanzibar,wana mikoa,wana bunge,wana mawaziri.Anamaanisha Zanzibar iwe natambulika kimataifa kama nchi na siyo mkoa
Kwa hiyo mnataka muvunje muungano halafu mbaki bara kufanya nini, hapa mpo kwa ajili ya muungano ukivunjika mnakuja kwa visa na kibali maalumu maana mnaweza kutuletea ugaidi
Nani anayemhitaji mwenzake zaidi? Unajua umeme unaotoka Tanganyika wanalipa bei gani!..Na Bakhresa kidogo-kidogo ataanza kupunguza uwekezaji Tanganyika.
..Ni lazima uelewe kwamba kila upande unamhitaji mwenzake.
Huu mada iko juu ya upeo wa mavuvuzelaMaana yake nini?
Kama nchi iko kwenye muungano na nchi nyingine, inaweza kudai kuwa na "mamlaka kamili" bila kuathiri muunganio huo?
Maalim, mgombea urais wa Zanzibar anapodai kuwa na mamlaka kamili, ana maana lengo lake ni kuuvunja muungano?
Akichaguliwa atachukua hatua zipi kuuvunja muungano.
Je, CHADEMA wana maoni gani kuhusu jambo hili? Na huko mbeleni, kama sera yao ya "Majimbo" itakuwa imetekelezwa endapo watapata ushindi, itakuwa halali kwa jimbo fulani kujichukulia "Mamlaka Kamili", kuachana na majimbo mengine?
Ni nini ushiriki wa wananchi katika uamzi wa kuuvunja au kutouvunja muungano, au inatosha tu kwa Maalim kuchaguliwa kwa sera hiyo kuchukua uamzi wa kuuondoa Muungano?
Maalim Seif anaifanya kazi ya Tundu Lissu kuwa ngumu zaidi wakati huu wa kampeni.
Nani anayemhitaji mwenzake zaidi? Unajua umeme unaotoka Tanganyika wanalipa bei gani!
Sina idadi wazanzibar wengi asili yao ni huku ndio kina mwinyi wa mkuranga, Nasoro Moyo wa Ruvuma, kuna wanyakyusa na wanyamwezi ila wapemba wao wanajiona asili yao ni Oman na wametapakaa Tanzania nzimaHujajibu swali, Unafahamu kuna idadi gani ya ndugu zetu waTanganyika Zanzibar? au wewe ndio unawaona wapemba wa Dar tu?
Kwani unafikiri hata bara wanautaka muungano watu wanataka hadi umeme wanaotumia tuwalipie au umesahau yule.mmbunge Kessy anavyowachamba bungeniWaliokua hawautaki Muungano ni Wananchi wa Zanzibar usilete kisingizio kwa Seif Sharif
Seif ni muwakilishi tu wa matakwa ya wananchi
Maneno mengi ya nininsi mvunje muungano halafu kila mtu aweke sheria zake , kenya juzijuzi alijaribu anajua alichopata sidhani kama atajaribu tena na nyinyi fanyeni kama hamjaja kutulamba miguu nantukikubali mtaingia kwa masharti tutakayoyawekahuyo anasumbuliwa na chuki moyoni mwake hana jengine
Ha ha ha ... Magu alishasema huwa hajaribiwi. Wakijaribu siku hiyohiyo wanakatiwa umeme hadi walipe matrilioni wanayodaiwa na TANESCO.Maneno mengi ya nininsi mvunje muungano halafu kila mtu aweke sheria zake , kenya juzijuzi alijaribu anajua alichopata sidhani kama atajaribu tena na nyinyi fanyeni kama hamjaja kutulamba miguu nantukikubali mtaingia kwa masharti tutakayoyaweka
Wacha Lisu awaendeshe mchaka mchakaLikitokea watachinjana watuletee huku mzigo wa wakimbizi, Mungu aepushie mbali.
Ha ha ha ... Magu alishasema huwa hajaribiwi. Wakijaribu siku hiyohiyo wanakatiwa umeme hadi walipe matrilioni wanayodaiwa na TANESCO.
Halafu Seif hana washauri wazuri. Wakijitoa kwenye muungano, hata vile visiwa vyao vitatengana. Seif atabaki Rais wa Pemba. Imagine Rais wa taifa lenye wakazi laki tatu!
Lisu anauweza mchakamchaka?! Wacha masihara.Wacha Lisu awaendeshe mchaka mchaka
Maneno mengi ya nininsi mvunje muungano halafu kila mtu aweke sheria zake , kenya juzijuzi alijaribu anajua alichopata sidhani kama atajaribu tena na nyinyi fanyeni kama hamjaja kutulamba miguu nantukikubali mtaingia kwa masharti tutakayoyaweka
😆😆😆😆 Karume alikuwa mvamizi?!Ya kulipana ndio hakusemeki kwani hamna pesa ya kulipa faini ya uvamizi tokea 1964
Lisu anauweza mchakamchaka?! Wacha masihara.
Leta mrejesho hapa wiki ya 5 kutoka leo.Huyo mbuta bangi wenu kabaki kupiga magoti, naona mwisho ataweka makalio juu kama siafu, ngoma imemshinda
Hao wakurya waliojazwa kila mtaa kawaleta Karume kutoka Malawi?😆😆😆😆 Karume alikuwa mvamizi?!
Leta mrejesho hapa wiki ya 5 kutoka leo.
Usiamini kila unalosimuliwa na babu zako.Hao wakurya waliojazwa kila mtaa kawaleta Karume kutoka Malawi?