Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Una miaka mingapi wewe?Usiamini kila unalosimuliwa na babu zako.
Kambi za majeshi kutoka Tanganyika zipo kila mtaa hapa Znz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una miaka mingapi wewe?Usiamini kila unalosimuliwa na babu zako.
Mungano hauna faida kwakoMaana yake nini?
Kama nchi iko kwenye muungano na nchi nyingine, inaweza kudai kuwa na "mamlaka kamili" bila kuathiri muunganio huo?
Maalim, mgombea urais wa Zanzibar anapodai kuwa na mamlaka kamili, ana maana lengo lake ni kuuvunja muungano?
Akichaguliwa atachukua hatua zipi kuuvunja muungano.
Je, CHADEMA wana maoni gani kuhusu jambo hili? Na huko mbeleni, kama sera yao ya "Majimbo" itakuwa imetekelezwa endapo watapata ushindi, itakuwa halali kwa jimbo fulani kujichukulia "Mamlaka Kamili", kuachana na majimbo mengine?
Ni nini ushiriki wa wananchi katika uamzi wa kuuvunja au kutouvunja muungano, au inatosha tu kwa Maalim kuchaguliwa kwa sera hiyo kuchukua uamzi wa kuuondoa Muungano?
Maalim Seif anaifanya kazi ya Tundu Lissu kuwa ngumu zaidi wakati huu wa kampeni.
Zanzibar ni nchi?!Utauona mrejesho wakati mvuta bangi atapokimbia nchi
Washukuruni watanganyika kwa kuwapa huo ulinzi pasipo kulipia gharama.Una miaka mingapi wewe?
Kambi za majeshi kutoka Tanganyika zipo kila mtaa hapa Znz
Washukuruni watanganyika kwa kuwapa huo ulinzi pasipo kulipia gharama.
Ha ha ha ... Magu alishasema huwa hajaribiwi. Wakijaribu siku hiyohiyo wanakatiwa umeme hadi walipe matrilioni wanayodaiwa na TANESCO.
Halafu Seif hana washauri wazuri. Wakijitoa kwenye muungano, hata vile visiwa vyao vitatengana. Seif atabaki Rais wa Pemba. Imagine Rais wa taifa lenye wakazi laki tatu!
Usidanganyike ndugu yangu, hayo mafuta wanayodai mengi yapo kwenye mpaka wa Pwani na Tanga na mengine huko wanakopakana na Mombasa...nchi ya watu laki tatu halafu wana MAFUTA kibao!! 😂 😂
Nchi kuwa na mamlaka kamili kuvunja muungano.Maana yake nini?
Kama nchi iko kwenye muungano na nchi nyingine, inaweza kudai kuwa na "mamlaka kamili" bila kuathiri muunganio huo?
Maalim, mgombea urais wa Zanzibar anapodai kuwa na mamlaka kamili, ana maana lengo lake ni kuuvunja muungano?
Akichaguliwa atachukua hatua zipi kuuvunja muungano.
Je, CHADEMA wana maoni gani kuhusu jambo hili? Na huko mbeleni, kama sera yao ya "Majimbo" itakuwa imetekelezwa endapo watapata ushindi, itakuwa halali kwa jimbo fulani kujichukulia "Mamlaka Kamili", kuachana na majimbo mengine?
Ni nini ushiriki wa wananchi katika uamzi wa kuuvunja au kutouvunja muungano, au inatosha tu kwa Maalim kuchaguliwa kwa sera hiyo kuchukua uamzi wa kuuondoa Muungano?
Maalim Seif anaifanya kazi ya Tundu Lissu kuwa ngumu zaidi wakati huu wa kampeni.
Mkuu wa Brigedi ya Nyuki miaka yote Muislam, marais wawili kati ya watano waliowahi kuitawala Tanzania ni waislam. Wote hawa waliupiga vita uislam?!Ulinzi wa kutuulia ndugu zetu na kuupiga vita uislamu?
Usidanganyike ndugu yangu, hayo mafuta wanayodai mengi yapo kwenye mpaka wa Pwani na Tanga na mengine huko wanakopakana na Mombasa.
Labda nisaidie, hali ya wananchi wa Equatorial Guinea kiuchumi ikoje?..sasa advantage yao ni kwamba wenzetu wako laki 3, sisi tuko zaidi ya milioni 50.
akili za wapi hizi mkuu?Seif anawahadaa wapambe wake kwani ili kuvunja muungano inabidi ipatikane theruthi mbili ya bara na mbili ya Zanzibar wakati Zanzibar wagombea wake 15 wameshaenguliwa ni wazi hatazipata.
Wapemba wengi wamewekeza bara ikiwamo na yeye mwenyewe ana nyumba bara hivi unafikiri ni wajinga wamruhusu avunje muungano maana kitakachofuata kila mtu arudi kwao
Labda nisaidie, hali ya wananchi wa Equatorial Guinea kiuchumi ikoje?
[emoji38]kwamba muungano ukivunjika kila mtu atarudi kwao!!! Mbona kuna watanzania wanaishi kenya,marekani nk ambazo ni nchi nyingineSeif anawahadaa wapambe wake kwani ili kuvunja muungano inabidi ipatikane theruthi mbili ya bara na mbili ya Zanzibar wakati Zanzibar wagombea wake 15 wameshaenguliwa ni wazi hatazipata.
Wapemba wengi wamewekeza bara ikiwamo na yeye mwenyewe ana nyumba bara hivi unafikiri ni wajinga wamruhusu avunje muungano maana kitakachofuata kila mtu arudi kwao
😆 😆 😆 😆 Qatar si Afrika mkuu, waafrika tuna matatizo makubwa sana ya ubinafsi. Maalim huyu kila uchaguzi anashinda, lakini mara zote amekuwa akilainishwa na watawala kwa fedha (Mzee Moyo alieleza walivyomfata baada ya uchaguzi na kitita kilichotukuka). Can he be trusted?!..Na mimi nisaidie, hali ya wananchi wa Qatar kiuchumi ikoje?
..binafsi nawaombea heri majirani zetu wote wawe na amani na wapate maendeleo.
Hao watanzania wanaoishi Kenya wanaishi kama wakenya? Wanazo haki zote alizonazo mkenya?[emoji38]kwamba muungano ukivunjika kila mtu atarudi kwao!!! Mbona kuna watanzania wanaishi kenya,marekani nk ambazo ni nchi nyingine
Mkuu,comment yako hapo juu umeonesha kwamba muungano ukivunjika wazanzibari wote watarudi kwao hicho ndicho ninapinga na ni upotoshaji mkubwa,hayo ya haki hayahusiani na tunachozungumzia mimi na weweHao watanzania wanaoishi Kenya wanaishi kama wakenya? Wanazo haki zote alizonazo mkenya?
Nilichoandika ni kwamba muungano ukivunjika watalazimika kuishi Tanganyika kwa vibali sawa na wageni toka mataifa mengine. Ni post namba ngapi nilipoandika kuwa wote watarudi kwao ili nirekebishe?!Mkuu,comment yako hapo juu umeonesha kwamba muungano ukivunjika wazanzibari wote watarudi kwao hicho ndicho ninapinga na ni upotoshaji mkubwa,hayo ya haki hayahusiani na tunachozungumzia mimi na wewe