Zanzibar 2020 Maalim Seif atangaza kugombea urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo

Zanzibar 2020 Maalim Seif atangaza kugombea urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo

Atagombea hadi apoteze uwezo wa kutembea hatakuwa Rais wa Zanzibar yeye na wanaofanana nao mawazo
Huyu babu kikongwe atagombea hadi akiwa kaburini,kwa nini asimuachie Hussain Mwinyi damu changa kipenzi cha wazanzibari

Hivi wana Lumumba inakuaje mnaumia na mtu kugombea uraisi kwa chama kisicho chenu?

Inaonekanwa ni mwiba anawachoma
 
Duuh..This is too much..Mbona vijana wapo, kina Jussa, Mansur , Mazrui n.k.

Maalim ungepumzika tuu jamani.

Wanasema vyama tawala hung'ang'ania madaraka kumbe hata nyie watawala wa vyama pinzani mnang'ang'ania pia.

aliesema kuwa raisi lazima awe kijana ni nani?
 
Muuza nchi na msaliti, muongo muongo na mchonganishi wa muungano nani amtangaze kuwa rais?? Hizo kura za kumtangaza kuwa mshindi zitatoka wapi???? Mtu ambaye amekuwa brainwashed na kazi yake ni kubrain wash wazanzibar apewe nchi??? Kwa ufupi Mh. Seif hawezi na haitakuja kutokea kura kutosha maana wazanzibar hawamtaki kabisa kabisa, tena safari hii atapata kura kiduchu zaidi ya za last time. Awaachie vijana wagombee

Mbona unaumia sana na maalim Seif mwana Lumumba?
 
Malawi walimkataa Rais wao Kwasababu alikuwa anaishi ulaya, yaani muda mwingi yupo nje ya nchi kutumikia Mabeberu
Kwa faida yako na wengine wasioelewa Maalim Seif ni Taasisi , si binadamu wa kawaida tu kama unavyomuona .
 
CCM wanafurahisha sana, Maalim Seif katangaza kuchukua fomu ya kugombea Uraisi kupitia ACT wanaumia wao 😂😂😂
 
Nakubaliana na wewe kabisa. For as long as Jecha na wenzie ni wanachama wa CCM, anapoteza muda wake tu. Amekuwa akishinda tangu 1995 lakini anayetangazwa ni mwingine. Hivyo hivyo itakuwa 2020.
Atagombea hadi apoteze uwezo wa kutembea hatakuwa Rais wa Zanzibar yeye na wanaofanana nao mawazo
 
Wanamjua vizuri sana. Amewashinda tangu 1995. Mioyo inawadunda sana hivyo. Sema tu wanajua Jecha wa sasa atawasaidia.
Hahaha CCM eti hawamtaki mgombea kupitia ACT wazalendo , tena Zanzibar anawahusu nini nyie?!

CCM Zanzibar mnawatia nia 30, kwanini msijikite kwenye kumtafuta mgombea wenu, badala ya kuanza kulalamikia maamuzi ya Maalim Seif?!

Hajapitishwa kugombea na chama chake, naye kaweka nia kwa kuchukua form kuomba ridhaa ya kugombea nafasi hiyo.
Mlitaka vijana wa UVCC ndio wakachukue form ACT Wazalendo?!

Sijaona UVCC aliyechukua Form kuomba ridhaa iwe Tanganyika au Zanzibar, lakini mnasema eti maalim Seif ni kikongwe, kwani waliogchukua form Zanzibar kwa ticket ya ccm hamuwaoni kina JECHA?!

Hajawa mgombea yeye anatia nia kugombea.

Hii siyo ccm inayozuia watu kuchukua form jamani.
 
Back
Top Bottom