Hahaha CCM eti hawamtaki mgombea kupitia ACT wazalendo , tena Zanzibar anawahusu nini nyie?!
CCM Zanzibar mnawatia nia 30, kwanini msijikite kwenye kumtafuta mgombea wenu, badala ya kuanza kulalamikia maamuzi ya Maalim Seif?!
Hajapitishwa kugombea na chama chake, naye kaweka nia kwa kuchukua form kuomba ridhaa ya kugombea nafasi hiyo.
Mlitaka vijana wa UVCC ndio wakachukue form ACT Wazalendo?!
Sijaona UVCC aliyechukua Form kuomba ridhaa iwe Tanganyika au Zanzibar, lakini mnasema eti maalim Seif ni kikongwe, kwani waliogchukua form Zanzibar kwa ticket ya ccm hamuwaoni kina JECHA?!
Hajawa mgombea yeye anatia nia kugombea.
Hii siyo ccm inayozuia watu kuchukua form jamani.