Zanzibar 2020 Maalim Seif atangaza kugombea urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo

Zanzibar 2020 Maalim Seif atangaza kugombea urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo

Maalim kwa muda wa miaka yote kweli umeshindwa kumuandaa mtu mwingine kuchukua nafasi yako.

Miaka yote ni wewe tu,ina maana wazanzibar hawana mtu mwingine wa kumkubali hadi wakukubali wewe tu kuwa mgombea wao kwa miaka nenda rudi,jua siasa ni kama jeshi.

Kamanda mmoja akifeli mbinu anarudi nyuma na kuacha mwingine aje na mbinu mpya za kushinda vita,wewe umeshafeli achia wengine.
Hii ni ishara hata siku ukiipta hii nafasi hautoiacha

Toka enzi za Mkapa mgombea ni wewe tu,badilika sasa,waachie wengine.
mtakapo acha kumwibia kura zake ataachaa kugombea
 
Maalim atashindwa vibaya sana na itakuwa mwisho wake wa Kisiasa!
 
Maalim kwa muda wa miaka yote kweli umeshindwa kumuandaa mtu mwingine kuchukua nafasi yako.

Miaka yote ni wewe tu,ina maana wazanzibar hawana mtu mwingine wa kumkubali hadi wakukubali wewe tu kuwa mgombea wao kwa miaka nenda rudi,jua siasa ni kama jeshi.

Kamanda mmoja akifeli mbinu anarudi nyuma na kuacha mwingine aje na mbinu mpya za kushinda vita,wewe umeshafeli achia wengine.
Hii ni ishara hata siku ukiipta hii nafasi hautoiacha

Toka enzi za Mkapa mgombea ni wewe tu,badilika sasa,waachie wengine.

Amesema atachukua fomu kugombea sasa kuna kosa gani kama Chama wataona hana uwezo wa kukubalika si wako watia nia wengine wataangaliwa?

Amesema Wazanzibari tafiti zaonyesha anakubalika sasa watakaomchagua ni wazanzibari wewe huko Tanganyika unaumia nini?

Usiwe na wasiwasi akipata atakuwa Rais wa Zanzibar na sio wa Tanganyika ni vizuri ku-deal na eneo lako zaidi sio busara kuingilia mawazo ya watu kama wazanzibari wanamkubali mwache atimize matakwa ya hao Wazanzibari.

Mbona Tanganyika muko bizi sana mpaka kubadilisha katiba Bungeni kumuongezea muda Meko aendelee kuwa rais wa maisha? kwanini hujadili hili?
 
Muuza nchi na msaliti, muongo muongo na mchonganishi wa muungano nani amtangaze kuwa rais?? Hizo kura za kumtangaza kuwa mshindi zitatoka wapi???? Mtu ambaye amekuwa brainwashed na kazi yake ni kubrain wash wazanzibar apewe nchi??? Kwa ufupi Mh. Seif hawezi na haitakuja kutokea kura kutosha maana wazanzibar hawamtaki kabisa kabisa, tena safari hii atapata kura kiduchu zaidi ya za last time. Awaachie vijana wagombee

Wewe kura yako weka kwa bwana yule Prof Lipumba
 
Atagombea hadi apoteze uwezo wa kutembea hatakuwa Rais wa Zanzibar yeye na wanaofanana nao mawazo

Wewe binafsi huna ubavu wa kujua ata kesho utakula nini licha ya kujua nani atakuwa rais zanzibar, Jitafakari izo buku 7 unazokula kwa kuipigania ccm wenzako kina membe, kinana, Nape na wengine sasa wanagaragara tu
 
Wenzake aliogombea nao 1995 hadi walishasahau, anatania watu huyu Mzee... kuna namna anajinufaisha!
 
Muuza nchi na msaliti, muongo muongo na mchonganishi wa muungano nani amtangaze kuwa rais?? Hizo kura za kumtangaza kuwa mshindi zitatoka wapi???? Mtu ambaye amekuwa brainwashed na kazi yake ni kubrain wash wazanzibar apewe nchi??? Kwa ufupi Mh. Seif hawezi na haitakuja kutokea kura kutosha maana wazanzibar hawamtaki kabisa kabisa, tena safari hii atapata kura kiduchu zaidi ya za last time. Awaachie vijana wagombee
Mataga ya Lumumba bhana
 
Huyu mzee nae apumzike tangu nipo vidudu mpaka nimekua mtu mzima anagombea tu.
 
Hapa Zitto ndio huwa simuelewi elewi. Hii ni kwa ajili ya ruzuku au ni demokrasia ya kweli?
 
Muuza nchi na msaliti, muongo muongo na mchonganishi wa muungano nani amtangaze kuwa rais?? Hizo kura za kumtangaza kuwa mshindi zitatoka wapi???? Mtu ambaye amekuwa brainwashed na kazi yake ni kubrain wash wazanzibar apewe nchi??? Kwa ufupi Mh. Seif hawezi na haitakuja kutokea kura kutosha maana wazanzibar hawamtaki kabisa kabisa, tena safari hii atapata kura kiduchu zaidi ya za last time. Awaachie vijana wagombee

Muungano haupo , huo ni uvamizi uliopewa jina la muungano. Zanzibar haihitaji kambi za jeshi kila maili tatu, na melfu ya polisi na watu wasiojulikana
 
Ahsante Maalim ,kama kawa mgombea wa CCM kugalagazwa na kuomba usaidizi wa refa. Mwaka huu hakuna kurudi nyuma.Ngangari re loaded. Ewe Mungu tusaidie.
 
Back
Top Bottom