Zanzibar 2020 Maalim Seif atangaza kugombea urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo

Zanzibar 2020 Maalim Seif atangaza kugombea urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo

Mutharika hajawahi kuishi Ulaya. Ameishi Marekani ambako alifanya kazi kwa miaka mingi kabla ya kurudu Malawi na kuingia katika siasa. Acha uongo. Kusema uongo ni dhambi.
Malawi walimkataa Rais wao Kwasababu alikuwa anaishi ulaya, yaani muda mwingi yupo nje ya nchi kutumikia Mabeberu
 
Mbona unaumia sana na maalim Seif mwana Lumumba?
Namhurumia Mh. Seif, maana anawazibia vijana nafasi, yeye wakati wake ulishapita aachane na mambo ya kugombea abaki mshauri tu.
 
Masikini MaCCM mmefikia hali mbaya sana kiasi cha kuogopa watia nia tu wa upinzani.
Kweli?!
Sasa akipitishwa si mtakunya wote wa Lumumba na IKULU. Mmekua DHAIFU mno.
 
Hahaha CCM eti hawamtaki mgombea kupitia ACT wazalendo , tena Zanzibar anawahusu nini nyie?!

CCM Zanzibar mnawatia nia 30, kwanini msijikite kwenye kumtafuta mgombea wenu, badala ya kuanza kulalamikia maamuzi ya Maalim Seif?!

Hajapitishwa kugombea na chama chake, naye kaweka nia kwa kuchukua form kuomba ridhaa ya kugombea nafasi hiyo.
Mlitaka vijana wa UVCC ndio wakachukue form ACT Wazalendo?!

Sijaona UVCC aliyechukua Form kuomba ridhaa iwe Tanganyika au Zanzibar, lakini mnasema eti maalim Seif ni kikongwe, kwani waliogchukua form Zanzibar kwa ticket ya ccm hamuwaoni kina JECHA?!

Hajawa mgombea yeye anatia nia kugombea.

Hii siyo ccm inayozuia watu kuchukua form jamani.
Naona watu wenngine ni waajabu sana. Wanaacha kufanya yao wanashugulika na mgombea wa chama kingine. Uoga unawasubua.
 
Wana JF jana kulikuwa na mbwembwe za Maalim kualika watu wote kuhudhuria mkutano wake leo Hotel Verde sasa nimeona jua linazama hakuna uzi humu wala hakuna update? imekwendaje huko Zenj? anaejua atujuze!
 
Ni mbwembwe tu uchaguzi ukiisha atatulia kama anavyotuliaga.
 
Back
Top Bottom