mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Anashinda njaa labdaMbona miaka yote maalim anashinda.
Tatizo jechalism
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anashinda njaa labdaMbona miaka yote maalim anashinda.
Tatizo jechalism
Malawi walimkataa Rais wao Kwasababu alikuwa anaishi ulaya, yaani muda mwingi yupo nje ya nchi kutumikia Mabeberu
Jecha ni moja ya watia nia kugombea urais Zanzibar kwa sasa.Wanamjua vizuri sana. Amewashinda tangu 1995. Mioyo inawadunda sana hivyo. Sema tu wanajua Jecha atawasaidia.
95 ulishafikisha umri wa kupiga kura? Nisije kuwa naongea na kijana mdogo
Jecha ni moja ya watia nia kugombea urais Zanzibar kwa sasa.
Taasisi inayohangaika kuingia ikulu kwa miaka 25 mpaka Inazeeka nimeipenda hiiKwa faida yako na wengine wasioelewa Maalim Seif ni Taasisi , si binadamu wa kawaida tu kama unavyomuona .
Namhurumia Mh. Seif, maana anawazibia vijana nafasi, yeye wakati wake ulishapita aachane na mambo ya kugombea abaki mshauri tu.Mbona unaumia sana na maalim Seif mwana Lumumba?
Eti lisu kipenzi Cha watanzania mbona hamuishi vituko jamani [emoji23][emoji1787]Mbona Magufuli hamwachii Tundu Lissu kipenzi cha Watanzania?
Anashinda njaa labda
Ilianza kenya kws kanu mkadema,ikaja Zambia kws UNIP mkaruka rukaYa Malawi umeyasikia lakini?
Kweli ndio maana kila chaguzi anashiriki na kushindwa miaka 25 Sasa anaitafuta ikulu [emoji23][emoji23]Maalim kwa zanzibar Hana mpinzani. Hata ccm yenyewe wanajua
Naona watu wenngine ni waajabu sana. Wanaacha kufanya yao wanashugulika na mgombea wa chama kingine. Uoga unawasubua.Hahaha CCM eti hawamtaki mgombea kupitia ACT wazalendo , tena Zanzibar anawahusu nini nyie?!
CCM Zanzibar mnawatia nia 30, kwanini msijikite kwenye kumtafuta mgombea wenu, badala ya kuanza kulalamikia maamuzi ya Maalim Seif?!
Hajapitishwa kugombea na chama chake, naye kaweka nia kwa kuchukua form kuomba ridhaa ya kugombea nafasi hiyo.
Mlitaka vijana wa UVCC ndio wakachukue form ACT Wazalendo?!
Sijaona UVCC aliyechukua Form kuomba ridhaa iwe Tanganyika au Zanzibar, lakini mnasema eti maalim Seif ni kikongwe, kwani waliogchukua form Zanzibar kwa ticket ya ccm hamuwaoni kina JECHA?!
Hajawa mgombea yeye anatia nia kugombea.
Hii siyo ccm inayozuia watu kuchukua form jamani.
Kweli ndio maana kila chaguzi anashiriki na kushindwa miaka 25 Sasa anaitafuta ikulu [emoji23][emoji23]