Atagombea hadi apoteze uwezo wa kutembea hatakuwa Rais wa Zanzibar yeye na wanaofanana nao mawazo
Huyu babu kikongwe atagombea hadi akiwa kaburini,kwa nini asimuachie Hussain Mwinyi damu changa kipenzi cha wazanzibari
Duuh..This is too much..Mbona vijana wapo, kina Jussa, Mansur , Mazrui n.k.
Maalim ungepumzika tuu jamani.
Wanasema vyama tawala hung'ang'ania madaraka kumbe hata nyie watawala wa vyama pinzani mnang'ang'ania pia.
Hahaha eti CCM ndio HAWAMTAKI maalim, utadhani katangaza kuchukua form ya CCM.Kwanini umpangie?
Muuza nchi na msaliti, muongo muongo na mchonganishi wa muungano nani amtangaze kuwa rais?? Hizo kura za kumtangaza kuwa mshindi zitatoka wapi???? Mtu ambaye amekuwa brainwashed na kazi yake ni kubrain wash wazanzibar apewe nchi??? Kwa ufupi Mh. Seif hawezi na haitakuja kutokea kura kutosha maana wazanzibar hawamtaki kabisa kabisa, tena safari hii atapata kura kiduchu zaidi ya za last time. Awaachie vijana wagombee
Kwa faida yako na wengine wasioelewa Maalim Seif ni Taasisi , si binadamu wa kawaida tu kama unavyomuona .Malawi walimkataa Rais wao Kwasababu alikuwa anaishi ulaya, yaani muda mwingi yupo nje ya nchi kutumikia Mabeberu
Kila lenye kheri kwake. Hope this time atashinda.
Ana miaka 77 si apumzike
Mbona Magufuli hamwachii Tundu Lissu kipenzi cha Watanzania?Huyu babu kikongwe atagombea hadi akiwa kaburini,kwa nini asimuachie Hussain Mwinyi damu changa kipenzi cha wazanzibari
Kwa faida yako na wengine wasioelewa Maalim Seif ni Taasisi , si binadamu wa kawaida tu kama unavyomuona .
Mbona humwambii yule mhesabu Sato apumzike baada ya kuchokwa na Watanzania?Ana miaka 77 si apumzike
Hapo sasa.Mbona miaka yote maalim anashinda.
Tatizo jechalism
Kama anashinda na hatangazwi, kilichobadilika ni kitu gani?
Sio zanzibar hii iliyoungana na Tanganyika.Kwa mujibu wa kikao cha ikulu !huyu ndio raisi ajae zanzibar!!!
Atagombea hadi apoteze uwezo wa kutembea hatakuwa Rais wa Zanzibar yeye na wanaofanana nao mawazo
Kumbuka ule usemi wa komando Salmin nchi haitolewi kwa vikaratasi.Maalim atashinda Kama kawaida, tatizo ni kutangazwa
Hahaha CCM eti hawamtaki mgombea kupitia ACT wazalendo , tena Zanzibar anawahusu nini nyie?!
CCM Zanzibar mnawatia nia 30, kwanini msijikite kwenye kumtafuta mgombea wenu, badala ya kuanza kulalamikia maamuzi ya Maalim Seif?!
Hajapitishwa kugombea na chama chake, naye kaweka nia kwa kuchukua form kuomba ridhaa ya kugombea nafasi hiyo.
Mlitaka vijana wa UVCC ndio wakachukue form ACT Wazalendo?!
Sijaona UVCC aliyechukua Form kuomba ridhaa iwe Tanganyika au Zanzibar, lakini mnasema eti maalim Seif ni kikongwe, kwani waliogchukua form Zanzibar kwa ticket ya ccm hamuwaoni kina JECHA?!
Hajawa mgombea yeye anatia nia kugombea.
Hii siyo ccm inayozuia watu kuchukua form jamani.
Hao wanaitwaga wapinzani mpaka wanazeeka na kufa na jina mpinzaniAtagombea hadi apoteze uwezo wa kutembea hatakuwa Rais wa Zanzibar yeye na wanaofanana nao mawazo