mtakapo acha kumwibia kura zake ataachaa kugombeaMaalim kwa muda wa miaka yote kweli umeshindwa kumuandaa mtu mwingine kuchukua nafasi yako.
Miaka yote ni wewe tu,ina maana wazanzibar hawana mtu mwingine wa kumkubali hadi wakukubali wewe tu kuwa mgombea wao kwa miaka nenda rudi,jua siasa ni kama jeshi.
Kamanda mmoja akifeli mbinu anarudi nyuma na kuacha mwingine aje na mbinu mpya za kushinda vita,wewe umeshafeli achia wengine.
Hii ni ishara hata siku ukiipta hii nafasi hautoiacha
Toka enzi za Mkapa mgombea ni wewe tu,badilika sasa,waachie wengine.
Maalim kwa muda wa miaka yote kweli umeshindwa kumuandaa mtu mwingine kuchukua nafasi yako.
Miaka yote ni wewe tu,ina maana wazanzibar hawana mtu mwingine wa kumkubali hadi wakukubali wewe tu kuwa mgombea wao kwa miaka nenda rudi,jua siasa ni kama jeshi.
Kamanda mmoja akifeli mbinu anarudi nyuma na kuacha mwingine aje na mbinu mpya za kushinda vita,wewe umeshafeli achia wengine.
Hii ni ishara hata siku ukiipta hii nafasi hautoiacha
Toka enzi za Mkapa mgombea ni wewe tu,badilika sasa,waachie wengine.
Muuza nchi na msaliti, muongo muongo na mchonganishi wa muungano nani amtangaze kuwa rais?? Hizo kura za kumtangaza kuwa mshindi zitatoka wapi???? Mtu ambaye amekuwa brainwashed na kazi yake ni kubrain wash wazanzibar apewe nchi??? Kwa ufupi Mh. Seif hawezi na haitakuja kutokea kura kutosha maana wazanzibar hawamtaki kabisa kabisa, tena safari hii atapata kura kiduchu zaidi ya za last time. Awaachie vijana wagombee
Atagombea hadi apoteze uwezo wa kutembea hatakuwa Rais wa Zanzibar yeye na wanaofanana nao mawazo
Namhurumia Mh. Seif, maana anawazibia vijana nafasi, yeye wakati wake ulishapita aachane na mambo ya kugombea abaki mshauri tu.
Mataga ya Lumumba bhanaMuuza nchi na msaliti, muongo muongo na mchonganishi wa muungano nani amtangaze kuwa rais?? Hizo kura za kumtangaza kuwa mshindi zitatoka wapi???? Mtu ambaye amekuwa brainwashed na kazi yake ni kubrain wash wazanzibar apewe nchi??? Kwa ufupi Mh. Seif hawezi na haitakuja kutokea kura kutosha maana wazanzibar hawamtaki kabisa kabisa, tena safari hii atapata kura kiduchu zaidi ya za last time. Awaachie vijana wagombee
Seif 1995, seif 2000, Seif 2005, Seif 2010, Seif 2015, Seif tena 2920Hapa Zitto ndio huwa simuelewi elewi. Hii ni kwa ajili ya ruzuku au ni demokrasia ya kweli?
Seif 1995, seif 2000, Seif 2005, Seif 2010, Seif 2015, Seif tena 2920
Haiwezekani ugombee mara nne umashindwa bado unakomaa tu.Hivi wana Lumumba inakuaje mnaumia na mtu kugombea uraisi kwa chama kisicho chenu?
Inaonekanwa ni mwiba anawachoma
Hapa Zitto ndio huwa simuelewi elewi. Hii ni kwa ajili ya ruzuku au ni demokrasia ya kweli?
Huyu babu kikongwe atagombea hadi akiwa kaburini,kwa nini asimuachie Hussain Mwinyi damu changa kipenzi cha wazanzibari
Muuza nchi na msaliti, muongo muongo na mchonganishi wa muungano nani amtangaze kuwa rais?? Hizo kura za kumtangaza kuwa mshindi zitatoka wapi???? Mtu ambaye amekuwa brainwashed na kazi yake ni kubrain wash wazanzibar apewe nchi??? Kwa ufupi Mh. Seif hawezi na haitakuja kutokea kura kutosha maana wazanzibar hawamtaki kabisa kabisa, tena safari hii atapata kura kiduchu zaidi ya za last time. Awaachie vijana wagombee