Dah! Umenikumbusha Marehemu Pierre Nkuruzinza na claims zake kuhusu ukomo wa urais nchini Burundi.Hii ndio mara yake ya mwanzo mbona kugombea ndani ya ACT. Tokea 1995 hio vipi wakati chama chenyewe kimeanzishwa 2015.
Kwa ubabe wa jeshi la Tanganyika, mgombea wa ccm lazima atangazwe mshindiNaona hofu imewatanda wana CCM, nyinyi tatizo lenu nini hasa? Si chama chenu kinakubalika mbona povu jingi. Maalim Seif ni mwiba kwa siasa za Zanzibar na mara hii sijui mutatumia mbinu gani kupora Uraisi kule Zanzibar. Vijana wamejipanga vizuri ENOUGH IS ENOUGH.
Kama wewe ni Mwenyezi Mungu itakuwa hivyo lakini kama sio dua itakurudia mwenyewe.Atagombea hadi apoteze uwezo wa kutembea hatakuwa Rais wa Zanzibar yeye na wanaofanana nao mawazo
[emoji30][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha eti CCM ndio HAWAMTAKI maalim, utadhani katangaza kuchukua form ya CCM.
Kuwa mpole kaka WAKATI si MILELEIlianza kenya kws kanu mkadema,ikaja Zambia kws UNIP mkaruka ruka
Ccm hatuwezi kutoka kizembe zembe,kwanza kwa upinzani upi?Membe?
Tunamuunga mkono wana CDM atuwakilishe kwenye UKAWA Zanzibar.Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Hamad ametangaza kugombea Urais Visiwani Zanzibar kupitia chama chake cha ACT-Wazalendo. Atachukua fomu ya kugombea urais Tarehe 4 mwezi Julai.
Amewaomba Wazanzibari kumkubali kama walivyofanya kwa chaguzi zilizopita kwa kuongeza idadi ya wanaompigia kura kila uchaguzi mpya tangu mwaka 1995.
Amesema walifanya tafiti kuona kama wazanzibar kama bado wanamkubali na tafiti hiyo ilionyesha kuwa bado anakubalika ndani ya Zanzibar
Amedai tafiti waliyofanya ilionyesha kuwa, kuna wazanzibari waliahidi kutopiga kura kama asipopewa turufu ya chama kugombea Urais Zanzibar
Maalim atashindwa vibaya sana na itakuwa mwisho wake wa Kisiasa!
Wazanzibar hawawezi kukuelewa ujue! Labda agombee kwa Chama kingine. Kuliko kuipigia kura CCM wako tayari kumpigia kura Maalim hata akiwa kaburini!Huyu babu kikongwe atagombea hadi akiwa kaburini,kwa nini asimuachie Hussain Mwinyi damu changa kipenzi cha wazanzibari
Hata agombee mara ishirini mimi nitampigia..Seif 1995, seif 2000, Seif 2005, Seif 2010, Seif 2015, Seif tena 2920
Kwa mujibu wa kikao cha ikulu !huyu ndio raisi ajae zanzibar!!!
Nani alikuambia Hussein Mwinyi ni kipenzi Chao!?Huyu babu kikongwe atagombea hadi akiwa kaburini,kwa nini asimuachie Hussain Mwinyi damu changa kipenzi cha wazanzibari
Toka 95 mpaka leo, dah... wamemchoka sana aisee..Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Hamad ametangaza kugombea Urais Visiwani Zanzibar kupitia chama chake cha ACT-Wazalendo. Atachukua fomu ya kugombea urais Tarehe 4 mwezi Julai.
Amewaomba Wazanzibari kumkubali kama walivyofanya kwa chaguzi zilizopita kwa kuongeza idadi ya wanaompigia kura kila uchaguzi mpya tangu mwaka 1995.
Amesema walifanya tafiti kuona kama wazanzibar kama bado wanamkubali na tafiti hiyo ilionyesha kuwa bado anakubalika ndani ya Zanzibar
Amedai tafiti waliyofanya ilionyesha kuwa, kuna wazanzibari waliahidi kutopiga kura kama asipopewa turufu ya chama kugombea Urais Zanzibar
kama mungu akiamua kumpa hakuna wa kuzuia mkuu. Japo afya yake kwa sasa sio nzuri sana maana niliona siku za karibuni walikuwa wana msaidia kutembea kwa kumshika mkono.Atagombea hadi apoteze uwezo wa kutembea hatakuwa Rais wa Zanzibar yeye na wanaofanana nao mawazo
Na kila ukigombea lazima ashindwe vibaya sana.Hata agombee mara ishirini mimi nitampigia..
Ndivyo wazanzibar wanavyosemaNdivyo ulivyoambiwa na Kardinali Wako?
Hii ni simulizi ya vijiwe vya kahawaAmesema atachukua fomu kugombea sasa kuna kosa gani kama Chama wataona hana uwezo wa kukubalika si wako watia nia wengine wataangaliwa?
Amesema Wazanzibari tafiti zaonyesha anakubalika sasa watakaomchagua ni wazanzibari wewe huko Tanganyika unaumia nini?
Usiwe na wasiwasi akipata atakuwa Rais wa Zanzibar na sio wa Tanganyika ni vizuri ku-deal na eneo lako zaidi sio busara kuingilia mawazo ya watu kama wazanzibari wanamkubali mwache atimize matakwa ya hao Wazanzibari.
Mbona Tanganyika muko bizi sana mpaka kubadilisha katiba Bungeni kumuongezea muda Meko aendelee kuwa rais wa maisha? kwanini hujadili hili?