Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Tueleweshe ile picha inasaidiaje ili na sisi tukijaza fomu tupige picha kwanza.Maalimu alitumia akili kupiga picha fomu yake original, la sivyo ilikuwa ntolee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tueleweshe ile picha inasaidiaje ili na sisi tukijaza fomu tupige picha kwanza.Maalimu alitumia akili kupiga picha fomu yake original, la sivyo ilikuwa ntolee
Iwe tayari kumpa haki yake ya ushindi pale itakapobainika hivyo.Hatimaye Mwenyekiti wa ZEC amethibitisha kuteuliwa kwa Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Mgombea Urais wa Zanzibar.
=====
ZEC YAMPITISHA MAALIM SEIF KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imempitisha Mgombea Urais kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif kuwa mgombea wa Urais baada ya kuwekewa mapingamizi 2 siku ya jana
Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji mstaafu Hamid Mahmoud amesema kuwa rufaa iliyokatwa dhidi ya Maalim haina mashiko
#Uchaguzi2020
Zaidi, soma: Zanzibar 2020 - Njama? Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif awekewa Pingamizi
Usijitoe ufahamu wewe, Lissu alifutwa ubunge akaufyata in maana hujui?Huyu Seif inasemekana sijui ni mtu wa system, aya majina ya kuitana watu wa system hakuna uzalendo wowote.
2015 alishinda uchaguzi ila akaifyata, 2020 pia ni hivyo hivyo tu. Tanzania tunahitaji watu wasioufyata kama akina Lissu, Lema n.k
Hatuwezi kupoteza muda wetu na nguvu zetu kumuunga mkono mtu ambae upande wa pili wanajiitana wa system, hawezi kufanya maamuzi magumu mtu kama huyu.
Yangu ni hayo, nimemaliza.
Sidhani kama hiyo saini ni ya mwenyekiti wa tume coz hamna chama kinachoitwa ACT.
Sasa jiulize km mwenyekiti wa tume kakosea kuandika, vp hao chama kikubwa kweli hata mmoja aliyekosea hamna?Haaahaaa si umaelewa pengine sabu ya kujilazimisha[emoji12] kajisahau
Safari hii kila mhusika akae akijua mzigo wake ataubeba yeye mwenyewe. Safari hii kina ni kirefu sana, chukueni tahadhari msitumbukie haijalishi wewe ni nani, utawajibika kwa ngazi yako. Nchi hii imechezewa sana.ilishiriki uchaguzi wa mwaka jana kama kiongozi chama changu mwaka jana, mzee wanarough mbaya sana hao ccm na wasimamizi, forgery ndo kazi yao na wanabariki balaaa