Maalim Seif ateuliwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kuwa mgombea Urais Zanzibar

Maalim Seif ateuliwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kuwa mgombea Urais Zanzibar

Haya CCM tafuteni mbinu nyingine. Rais wa kisiwa anayeungwa mkono na CHADEMA ndio hivyo kashapitishwa.
Tujiandae na serekali tatu za muungano.
 
Huyu Seif inasemekana sijui ni mtu wa system, aya majina ya kuitana watu wa system hakuna uzalendo wowote.

2015 alishinda uchaguzi ila akaifyata, 2020 pia ni hivyo hivyo tu. Tanzania tunahitaji watu wasioufyata kama akina Lissu, Lema n.k

Hatuwezi kupoteza muda wetu na nguvu zetu kumuunga mkono mtu ambae upande wa pili wanajiitana wa system, hawezi kufanya maamuzi magumu mtu kama huyu.

Yangu ni hayo, nimemaliza.
Ali fight kiaina zile ruti za ulaya ila ndio hivyo tena..
 
Kumekucha hakuna kuweka mpira kwapani, Maalim Seif amepitishwa rasmi na Zec, pingamizi limetupwa.
Ww umetokea wapi? Ulipona corona?!!
Anyway jitahidi kuandika kwa utulivu acha harakaharaka
 
Yani ninavyoshabikia kushinda kesi za pingamizi utasema ngumi za dula mbabe na Twaha Kiduku. Mweh!
 
HABARI MPYA: Tume ya Uchaguzi
Zanzibar (ZEC), imemteua Maalim Seif Sharif Hamad kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi
Mkuu utakaofanyika 27 na 28 Oktoba
2020.
Screenshot_20200911-173411_Twitter.jpg
 
Isijekuwa mwishowe hapo 28/10 ikawa tena mapingamizi kizima. Huko ni kutangaza tu
 
Hua yanapima upepo kwanza......

Si unakumbuka hata Tundu Lissu yalimbeep..... Akasema Hakatwi mtu hapa
 
Back
Top Bottom