Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Absolutely yes, Long time ago systematized the same way as J.duni, Nyerere was the mastermindHuyu Seif inasemekana sijui ni mtu wa system, aya majina ya kuitana watu wa system hakuna uzalendo wowote..
Ali fight kiaina zile ruti za ulaya ila ndio hivyo tena..Huyu Seif inasemekana sijui ni mtu wa system, aya majina ya kuitana watu wa system hakuna uzalendo wowote.
2015 alishinda uchaguzi ila akaifyata, 2020 pia ni hivyo hivyo tu. Tanzania tunahitaji watu wasioufyata kama akina Lissu, Lema n.k
Hatuwezi kupoteza muda wetu na nguvu zetu kumuunga mkono mtu ambae upande wa pili wanajiitana wa system, hawezi kufanya maamuzi magumu mtu kama huyu.
Yangu ni hayo, nimemaliza.
Hii ni aibu kubwa sana..tume inajidhalilisha mno na kuzidi kupoteza imani na welediHatimaye Mwenyekiti wa ZEC amethibitisha kuteuliwa kwa Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Mgombea Urais wa Zanzibar.
Ww umetokea wapi? Ulipona corona?!!Kumekucha hakuna kuweka mpira kwapani, Maalim Seif amepitishwa rasmi na Zec, pingamizi limetupwa.
Hao ZEC wasitulazimishe kusema maneno ya akibaMaalimu alitumia akili kupiga picha fomu yake original, la sivyo ilikuwa ntolee
ACT ndio chama gani ?
Chadema kweli mmechanganyikiwa kama ilivyo kwa MembeCcm Zanzibar maji ya shingo!
Kisiwa kimeenda.
Mkifanya ukhanithi safari hii Maalimu anawamezaChadema kweli mmechanganyikiwa kama ilivyo kwa Membe