Maalim Seif ateuliwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kuwa mgombea Urais Zanzibar

Iwe tayari kumpa haki yake ya ushindi pale itakapobainika hivyo.
 
Usijitoe ufahamu wewe, Lissu alifutwa ubunge akaufyata in maana hujui?
 
Sitasahau kampeni za mwaka 2005 wafuasi wa CUF na CCM walikutana maeneo ya Kwerekwe. Kama kuna siku ambayo nilikuwa naelekea kupoteza macho ni siku hiyo. Mawe yaliyokuwa yanarushwa kutoka pande ni kama mvua
 
System...

Wajanja washajua...mchezo tunaochezewa siku zote!
 
Ndo kapata uungwaji zaidi bila kutegemea kwa walicho mfanyia
 
ilishiriki uchaguzi wa mwaka jana kama kiongozi chama changu mwaka jana, mzee wanarough mbaya sana hao ccm na wasimamizi, forgery ndo kazi yao na wanabariki balaaa
Safari hii kila mhusika akae akijua mzigo wake ataubeba yeye mwenyewe. Safari hii kina ni kirefu sana, chukueni tahadhari msitumbukie haijalishi wewe ni nani, utawajibika kwa ngazi yako. Nchi hii imechezewa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…