Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆 kwani tahadhari aliyotuelekeza ni ya nini ?Lakini kama kasita kutaja corona kwenye hii tweet yake!
Hapo panajulikana kuwa amelenga corona.😆😆 kwani tahadhari aliyotuelekeza ni ya nini ?
Imeisha hiyo .Hapo panajulikana kuwa amelenga corona.
Watu mna shida sana kwani lazina aseme Corona? Si anasema tuchukue tahadhari? Unafikri anasema tahadhari ya malaria?Lakini kama kasita kutaja corona kwenye hii tweet yake!
Atleast kaitaja ACT na kuwashukuru kwa wito wao wa watu “kuchukua tahadhari”.Lakini kama kasita kutaja corona kwenye hii tweet yake!
Hiv corona ya bongo ni tofauti na tunayoisikia Ulaya au [emoji2960]
Hii Corona inatakiwa ikawachape wale wabishi.
Seif, unaingia Twitter kwa VPN gani?
Haswa wale jamaa wa ufipa.Hii Corona inatakiwa ikawachape wale wabishi.
😆😆😊Seif, unaingia Twitter kwa VPN gani?