Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Incubation covid siku ngapi? Mola atuepushe japo ni wajibu kuwakinga wazee wetu na wenye kinga dhaifu.We have now become world’s supplier and the stock is enough for all.
Unawazungumzia watu waliopona, mbona huwasemi na waliokufa?Mimi nakwambia Corona inakuzwa sana.
Aliugua
Sallam alipona.
Aliugua mwana fa akapona
Aliugua Pierre akapona.
Incubation period ni 5-6 daysIncubation covid siku ngapi? Mola atuepushe japo ni wajibu kuwakinga wazee wetu na wenye kinga dhaifu.
Na wanaoikuza wanaikuza kishabiki sijui wanamkomoa nani!!!Mimi nakwambia Corona inakuzwa sana.
Aliugua
Sallam alipona.
Aliugua mwana fa akapona
Aliugua Pierre akapona.
Sisi tunaviita "vicherema"......hata upike na moto wa Jehanamu haviivi.Maalim Seif ni subwoofer tu, flash card audio ni Zitto, haki ya nani upinzani wa nchi hii ni viazi michereme (Kwimba wanaelewa)
Waliitumia kama ngaz ya kupanda kisiasa.Atleast kaitaja ACT na kuwashukuru kwa wito wao wa watu “kuchukua tahadhari”.
Sijui kuna woga gani kuitaja corona. Hii kitu watu wanaugua daily na siku 5 tu wapo mtaani wanadunda
Uliwataja wote maarufu. Wali ambao hawajulikan una taarifa nao?Mimi nakwambia Corona inakuzwa sana.
Aliugua
Sallam alipona.
Aliugua mwana fa akapona
Aliugua Pierre akapona.
[emoji38][emoji38] kwani tahadhari aliyotuelekeza ni ya nini ?
Unawazungumzia watu waliopona, mbona huwasemi na waliokufa?
Corona inakuzwa!!! Hahaha subiri ikupate ndio utajua hujui.
Na wanaoikuza wanaikuza kishabiki sijui wanamkomoa nani!!!
Nimemsikia Shaibu wa ACT hapo BBC ni kama anafurahia sasa corona ipo.
Hata kama ipo,isifanywe kuwa ndo ugonjwa mkuuubwa kiasi hicho tunachoyaka watu waamini.
Uliwataja wote maarufu. Wali ambao hawajulikan una taarifa nao?
Nikiseamaga salary slip una msongo wa mawazo una kasirikaLakini kama kasita kutaja corona kwenye hii tweet yake!
Ujinga tu!Travelers should avoid all travel to Tanzania. COVID-19 in Tanzania - COVID-19 Very High - Level 4: COVID-19 Very High - Travel Health Notices | Travelers' Health | CDC
Wewe utakuwa ndio unazinduka leo?We have now become world’s supplier and the stock is enough for all.
Yote hii ni kumwogopa dikteta wetuAzam waliandik augua korona lkn Mtangazaji hakusema, eti amelazwa, sijui hali hii itaishaje. Yaani aombaye hajui kusoma hakuelewa.
Nao watakuwa wamepona hukohuko walipo. Mimi nina mifano mingi tu.Uliwataja wote maarufu. Wali ambao hawajulikan una taarifa nao?
mno !Corona ni hatari sn