Tetesi: Maalim Seif kugombea urais wa JMT, Mbowe mgombea mwenza Zitto Waziri Mkuu mtarajiwa; Lema kugombea Ubunge Hai

Tetesi: Maalim Seif kugombea urais wa JMT, Mbowe mgombea mwenza Zitto Waziri Mkuu mtarajiwa; Lema kugombea Ubunge Hai

Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.

Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.

Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.

Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.

Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini

Maendeleo hayana vyama!
Unaota kila siku cdm una matatizo makubwa ya akili
 
Hai hawawezi kuwapa wageni tena tunawapa wakulima wa Nyanya, Kahawa, Siku hizi Kuna Vanilla nk hawa tunakaa nao na wanajua shida zetu hapa Nshara na Lemira mpaka Masama tunahitaji mwenzetu si wa Dar, Mwanza au Arusha kisa Lema, kimaro au Massawe kumbe kyasaka
 
ENDELEENI KUNYWA MCHUZI NYAMA MTAZIKUTA CHINI
IMG_20191203_142709.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muuuuh hivi siku hizi mtu akitoka usingizini anatupia Post??.
 
Siyo rahisi mgombea kutoka Visiwani ashinde kwenye kinyang'anyiro cha Uraisi wa JMT kwa nyakati hizi kwa sababu ya uelewa wa wananchi.
Wananchi wa bara ambao ni wengi, hawatamchagua mtu kutoka nchi nyingine (yenye serikali na katiba yake) awe Rais wao.
Zama za siasa za kudanganyana zimepita, labda katiba ibadilishwe kuwe na serikali tatu.
Hilo liliwezekana tu kwenye mfumo wa chama kimoja.
 
Babu Duni hafawi, tunataka vijana, Wazee wanaogopa kutoa maamuzi magumu,akili zao zimejaa woga..

tunaomba umuheshimu mzee Duni.

Hakuna Kijana mwenye uwezo zaidi ya Maalim Seif na Mzee Juma Duni licha uzee wao.
 
Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.

Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.

Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.

Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.

Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini

Maendeleo hayana vyama!
Hasara waliyoipata wazazi wako haipimiki !
 
Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.

Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.

Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.

Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.

Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini

Maendeleo hayana vyama!

Kwa hao wote uliowataja hapa sijaona wa Kuitoa CCM Madarakani na labda nikusaidie tu wote hao wako katika ( Payroll ) ya hao wanaopambana nao ila tatizo la Watu wengi huwa hatupendi kufanya tathmini, uchunguzi na kufuatilia mambo Kiundani na badala yake Watu wachache wanachezea Akili za Wapuuzi wengi huku wao wakiwa wanaendelea Kutajirika na wale wanaowashangilia Umasikini ndiyo unaongezea Kwao. Nyimwa Pesa ila pewa Akili!
 
Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.

Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.

Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.

Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.

Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini

Maendeleo hayana vyama!

Ma Mbweha ya Lumumba Baada ya Kuona Lissu katua Nchini Mavi yashaanza kugonga Nyupi
 
Back
Top Bottom