Maalim Seif Sharif Hamad at 77th year anatafuta nini kwenye Siasa?

Maalim Seif Sharif Hamad at 77th year anatafuta nini kwenye Siasa?

Kwanza nikuulize lowassa wa mwaka 2015 alikuwa na miaka 77 ? halafu lingine ninalotaka ufahamu ni kwamba Maalim Seif siyo mtu au binadamu , hii ni Taasisi , wanaccm wamekesha kutafuta majini hadi comoro ya kuidhuru taasisi iitwayo Maalim Seif lakini imeshindikana , sasa kwa mtu duni kama wewe unayelipwa posho ya tsh 7000 unadhani utafanya nini ?
Wajasiriamali wa siasa mnavituko eti sio mtu/binadamu Ni taasisi!!!
 
Kama kawaida yake atamsindikiza Mgombea wa CCM halafu atastafu zake huu Ni mwaka wake wa mwisho
 
Wakuu leo nimemuona Maalim Seif akiwa na Fimbo maarufu kama Mkongojo, silamlaumu ila at 77 ni kawaida kwa mtu kuanza kupata mashambulizi. Kinachoniumiza kwanini mzee haamini katika Succession plan?

Kampeni zinahitaji Nguvu ya ziada zisiwe zile za Lowassa 2015 alikua hawezi hata kumaliza dakika 10.

Huyu Mzee kasahau nini kwenye siasa hata kimvuto analazimisha na Alivyohama chama ndo kajichanganya zaidi na Amewachanganya wapiga kura wake.

Gambo 37 anatafuta nini kwenye siasa?
Bashite 39 anatafuta nini kwenye sias?
Mwampamba[mla wake za watu] 34 anatafuta nini kwenye siasa?
 
Kuna watu Wana umri mdogo wanayoyafanya kwenye siasa Naya hivyo kuliko wenye miaka80
 
Wakuu leo nimemuona Maalim Seif akiwa na Fimbo maarufu kama Mkongojo, silamlaumu ila at 77 ni kawaida kwa mtu kuanza kupata mashambulizi. Kinachoniumiza kwanini mzee haamini katika Succession plan?

Kampeni zinahitaji Nguvu ya ziada zisiwe zile za Lowassa 2015 alikua hawezi hata kumaliza dakika 10.

Huyu Mzee kasahau nini kwenye siasa hata kimvuto analazimisha na Alivyohama chama ndo kajichanganya zaidi na Amewachanganya wapiga kura wake.
Ja! ja! ja! (In spanish)
Siku zote watu hawapendi moto katika njia wanazopita.
Na
Ausifuye moto basi umemchoma.
Anaonekana amekukaba sawasawa, usimuogope si mzee? kaisha sio
Pambana sasa
Ja! ja! ja!
 
Upinzani njaa huku kwetu, viongozi ving'ang'anizi kwenye madaraka kama ruba!! Tamaa na uchu wa madaraka!
Si Kuna hoja ya kuongeza muda wa urais TZ, miwani yako ya mbao haioni kuwa huo ni uchu wa Madaraka?
 
Wakuu leo nimemuona Maalim Seif akiwa na Fimbo maarufu kama Mkongojo, silamlaumu ila at 77 ni kawaida kwa mtu kuanza kupata mashambulizi. Kinachoniumiza kwanini mzee haamini katika Succession plan?

Kampeni zinahitaji Nguvu ya ziada zisiwe zile za Lowassa 2015 alikua hawezi hata kumaliza dakika 10.

Huyu Mzee kasahau nini kwenye siasa hata kimvuto analazimisha na Alivyohama chama ndo kajichanganya zaidi na Amewachanganya wapiga kura wake.
Ana tafuta kuwakomboa Wazanzibar
 
Hiki ndio chama ambacho Zitto anatamba kutumia ujana kama kete yake kisiasa halafu kinafanya vice versa
 
Tunatii kauli ya Gwiji la siasa, kiongozi Mkongwe toka chama kikongwe CCM kwamba Urais si kubeba ZEGE....!!

Nakubaliana kabisa na kauli hii maana Maalim ana akili shap tena za kidigitali zilizobeba Modern Politics Methodology ...anawaburuza vijana wengi sana hasa wa Lumumba ambao tayari wameshadumaza akili na mawazo yao kwa kuimba mapambio mfululizo.
 
Ni sababu tosha ya kuonesha kushindwa....maana yake ni kuwa chama au kiongozi husika kashindwa kuandaa warithi! Hiyo pekee inaonesha sio kiongozi nzuri. Hafai.

Kwani ufalme hata uwepo mrithi? Mnaogopa ndevu hehe
 
Wakuu leo nimemuona Maalim Seif akiwa na Fimbo maarufu kama Mkongojo, silamlaumu ila at 77 ni kawaida kwa mtu kuanza kupata mashambulizi. Kinachoniumiza kwanini mzee haamini katika Succession plan?

Kampeni zinahitaji Nguvu ya ziada zisiwe zile za Lowassa 2015 alikua hawezi hata kumaliza dakika 10.

Huyu Mzee kasahau nini kwenye siasa hata kimvuto analazimisha na Alivyohama chama ndo kajichanganya zaidi na Amewachanganya wapiga kura wake.
Waziri mkuu wa Malaysia 92
Biden mgombea urais USA 77
 
Sefu ni chui wa makaratasi,anataka umakamu wa kwanza wa Rais ili apumzike
 
Ninachosikitika ni kua huyu mzee anazeeka sisi ndio tunapenda...
Umri ni namba tu hata akifika miaka 1000 akigombea kura yangu anayo..
 
Back
Top Bottom