Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Wanamuogopa kama NYUKI
Seif, labda ni NYUKI wa mashineni... au NYUKI wa Tegeta!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamuogopa kama NYUKI
Mkuu ulisema umeacha kuandika threads za siasa...vp tena ndugu sikuhzWakuu leo nimemuona Maalim Seif akiwa na Fimbo maarufu kama Mkongojo, silamlaumu ila at 77 ni kawaida kwa mtu kuanza kupata mashambulizi. Kinachoniumiza kwanini mzee haamini katika Succession plan?...
Ni kama Mbowe pale chadema alisha wa brainwash wafuasi wake kwamba hakuna anaeweza kuongoza zaidi yakeHawa vijana washamba wa ccm hawajui kitu na wala hawana lolote .
Umeelewa hoja?
Gambo 37 anatafuta nini kwenye siasa?
Bashite 39 anatafuta nini kwenye sias?
Mwampamba[mla wake za watu] 34 anatafuta nini kwenye siasa?
Wakuu leo nimemuona Maalim Seif akiwa na Fimbo maarufu kama Mkongojo, silamlaumu ila at 77 ni kawaida kwa mtu kuanza kupata mashambulizi. Kinachoniumiza kwanini mzee haamini katika Succession plan?
Kampeni zinahitaji Nguvu ya ziada zisiwe zile za Lowassa 2015 alikua hawezi hata kumaliza dakika 10.
Huyu Mzee kasahau nini kwenye siasa hata kimvuto analazimisha na Alivyohama chama ndo kajichanganya zaidi na Amewachanganya wapiga kura wake.
Kawasaidie cuf huko pemba!Amewapanga vijana waseme wanamuomba agombee ana mbinu za kitoto
Swali zuri ambalo wanzazibar wanatakiwa wajiulize ni hilo kua anatafuta nini??miaka 77yoteWakuu leo nimemuona Maalim Seif akiwa na Fimbo maarufu kama Mkongojo, silamlaumu ila at 77 ni kawaida kwa mtu kuanza kupata mashambulizi. Kinachoniumiza kwanini mzee haamini katika Succession plan?
Kampeni zinahitaji Nguvu ya ziada zisiwe zile za Lowassa 2015 alikua hawezi hata kumaliza dakika 10.
Huyu Mzee kasahau nini kwenye siasa hata kimvuto analazimisha na Alivyohama chama ndo kajichanganya zaidi na Amewachanganya wapiga kura wake.
Wakuu leo nimemuona Maalim Seif akiwa na Fimbo maarufu kama Mkongojo, silamlaumu ila at 77 ni kawaida kwa mtu kuanza kupata mashambulizi. Kinachoniumiza kwanini mzee haamini katika Succession plan?
Kampeni zinahitaji Nguvu ya ziada zisiwe zile za Lowassa 2015 alikua hawezi hata kumaliza dakika 10.
Huyu Mzee kasahau nini kwenye siasa hata kimvuto analazimisha na Alivyohama chama ndo kajichanganya zaidi na Amewachanganya wapiga kura wake.
Kwani kuna sheria inamzuia kutafuta anachotafuta? USIMPANGIEWakuu leo nimemuona Maalim Seif akiwa na Fimbo maarufu kama Mkongojo, silamlaumu ila at 77 ni kawaida kwa mtu kuanza kupata mashambulizi. Kinachoniumiza kwanini mzee haamini katika Succession plan?
Kampeni zinahitaji Nguvu ya ziada zisiwe zile za Lowassa 2015 alikua hawezi hata kumaliza dakika 10.
Huyu Mzee kasahau nini kwenye siasa hata kimvuto analazimisha na Alivyohama chama ndo kajichanganya zaidi na Amewachanganya wapiga kura wake.
Umeambiwa kwenye siasa kuna kulima au kufanya riadha?Wakuu leo nimemuona Maalim Seif akiwa na Fimbo maarufu kama Mkongojo, silamlaumu ila at 77 ni kawaida kwa mtu kuanza kupata mashambulizi. Kinachoniumiza kwanini mzee haamini katika Succession plan?
Kampeni zinahitaji Nguvu ya ziada zisiwe zile za Lowassa 2015 alikua hawezi hata kumaliza dakika 10.
Huyu Mzee kasahau nini kwenye siasa hata kimvuto analazimisha na Alivyohama chama ndo kajichanganya zaidi na Amewachanganya wapiga kura wake.
wanaong'ang'ania Madakarani kama ruba unawajua, miaka 60 mnaongoza watu bado masikini wa kutupwa lakini mnataka kuongeza na muda wa uongozi kama sio ruba ni niniUpinzani njaa huku kwetu, viongozi ving'ang'anizi kwenye madaraka kama ruba!! Tamaa na uchu wa madaraka!