Zanzibar 2020 Maalim Seif: Tutamshinda Dkt. Hussein Mwinyi kwa kura zaidi ya 100,000

Zanzibar 2020 Maalim Seif: Tutamshinda Dkt. Hussein Mwinyi kwa kura zaidi ya 100,000

Yaani kila mwaka ngonjera ni hizihizi..Seif katika hili la kutetea haki ya wazanzibar wanadhulumiwa kura zao ni mwongo..hizi hadithi zilianza tangu 1995..2000..2005..2010..2015.katika hili utaaminiwa na wasiokufahamu!
 
Naamini kuna kauli mbadala hasa unapotaka kuwasilisha ujumbe wowote ule.
Kauli kama hizi hazifai hasa kwa mtu anayetafuta wadhifa mkubwa wa kuongoza watu.
Zaidi ya hayo umri wake kama Mzee ugemfanya kuyapima maneno yake kabla hajayafyatua. Maana yakishatoka na kuleta madhara huwa hayarudi kamwe.
hajapenda kuyatamka maneno haya. Inaonekana wazi amechoka kudhulumiwa. Ina maana gani kufanya uchaguzi wa kupiga kura iwapo mshindi hatangazwi???

Kuna wakati mtu anasukumwa anakubali, Ila akifikishwa ukutani lazima reaction iwepo.


JESUS IS LORD.
 
Siku ya matokeo anawekwa chini ya ulinzi anazungukwa kila kona mtu anatangazwa na kuapiswa kabisa alafu tuone ataenda wapi na atatokaje kwake mbele ya bataliani nzima ya ulinzi
Sasa huu ni ubabe au ushenzi?
 
Ila 2015 ilikuwa aibu sana, this time maalimu kaamua halafu pia amepata sana nguvu kwa Tundu Lissu.

Yaani naamini kama Maalimu angeenda Chadema mambo yangekuwa tofauti sana.

Sijui kwanini hakwenda Chadema. Chadema ndo wanaweza hizi harakati, ACT na CUF hawana historia ya kuwa wapinzani kwahiyo kuna level fulani ya mapambano na harakati hawawezi kufika


Zanzibar hawaangalii chama mkuu, wenyewe alipo Maalim wako nae. Nasafari hii naona ameamua kucheza kete yake ya mwisho vizuri baada ya uonevu wa muda mrefu na dhihaka za rejareja.
 
Back
Top Bottom