Hii ni kwa mujibu wa Mzalendo.net Zanzibar.
Taarifa zinasema wengine wanaotakiwa kuwekwa ndani ni
Mh Mazrui
Edy Riyami
Mh Hamad Masoud ambaye leo asubuhi alikamatwa akiwa nyumbani kwake Zanzibar.
Imeelezwa lengo kubwa ni kupisha uchaguzi wa marudio.
stay tuned.
===========
Chanzo: Mzalendo.net
Taarifa zinasema wengine wanaotakiwa kuwekwa ndani ni
Mh Mazrui
Edy Riyami
Mh Hamad Masoud ambaye leo asubuhi alikamatwa akiwa nyumbani kwake Zanzibar.
Imeelezwa lengo kubwa ni kupisha uchaguzi wa marudio.
stay tuned.
===========
Maalim Seif – ‘Under House Arrest’
Edy Riami – Kuwekwa ndani
Nassor Mazrui – Kuwekwa ndani
Hamad Massoud – Kuwekwa ndani
Nani alobaki?
Strategy ya kubana UAMSHO yaelekezwa CUF, ingawa itakuwa kwa muda tu hadi harakati za uchaguzi wa Jecha zitakapokwisha.
Hakuna la kuandika sana zaidi watu wapate maudhui.
Chanzo: Mzalendo.net