Aliyeamua aombi ushauri anafanya vitendo binafsi sioni safari yenu pamoja mmeo ni mbinafsi ila c kosa lake ndivyo kabila Leo lilivyo fanya maamuzi magumu kwa manufaa yako binafsi jipange vizuri ili ukiondoka usimwambie yeyote ata mama yako kakae sehemu nyingine uangalie maisha yakoUsinukum TU Kuna kitu, umri, familia kuna vitu vingi ila Sasa serious nimeamua
Engineer Tanesco familia haina bima ya afya? kweli?Nataka nifanye maamuzi magum ya kuachana na huyu. Mwanaume nahofia kitu kimoja
1) ukwen kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaan niwatu wa waganga Sana je watanibakiza???
2) nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahar inarudi na fain juu nafanyaje?
3) jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?
Sababu za kumuacha
1) sielew ninaroho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.. mme wangu hajal Sana kuhusu Mimi Wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajar ndugu zake
...before sijaishi nae nilikua Nina kipharmacy changu ambacho kilikua kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfate mkoa mwingine na duka kuajir mtu ambapo hua naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana
Kinachoniuma nimemuomba Sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfata kutokana na fan yangu amekua mgum Sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekua mtu wa kukaa tu ndani Sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia
Ninamtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumiz nyumban kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu
3) tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hosp za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa ma dr bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika cm yake nimeumia Sana kuona salary ya mwez huu imeingia mil 2 .3
Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?
Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juz nipo nyumban nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurah TU
...kilichoniuma zaidi Leo,,, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajir ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.....
yaan 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao ....
jamaa eng tanesco lkn ndan tukalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajir ya ndani hataki binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu....
Naomben ushaur namuachaje???
Wazazi wako na Wazazi wake,kama wapo haiNataka nifanye maamuzi magum ya kuachana na huyu. Mwanaume nahofia kitu kimoja
1) ukwen kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaan niwatu wa waganga Sana je watanibakiza???
2) nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahar inarudi na fain juu nafanyaje?
3) jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?
Sababu za kumuacha
1) sielew ninaroho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.. mme wangu hajal Sana kuhusu Mimi Wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajar ndugu zake
...before sijaishi nae nilikua Nina kipharmacy changu ambacho kilikua kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfate mkoa mwingine na duka kuajir mtu ambapo hua naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana
Kinachoniuma nimemuomba Sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfata kutokana na fan yangu amekua mgum Sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekua mtu wa kukaa tu ndani Sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia
Ninamtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumiz nyumban kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu
3) tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hosp za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa ma dr bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika cm yake nimeumia Sana kuona salary ya mwez huu imeingia mil 2 .3
Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?
Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juz nipo nyumban nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurah TU
...kilichoniuma zaidi Leo,,, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajir ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.....
yaan 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao ....
jamaa eng tanesco lkn ndan tukalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajir ya ndani hataki binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu....
Naomben ushaur namuachaje???
AsanteAliyeamua aombi ushauri anafanya vitendo binafsi sioni safari yenu pamoja mmeo ni mbinafsi ila c kosa lake ndivyo kabila Leo lilivyo fanya maamuzi magumu kwa manufaa yako binafsi jipange vizuri ili ukiondoka usimwambie yeyote ata mama yako kakae sehemu nyingine uangalie maisha yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni one sided story at least tungemsikia na yeye ana yapi tukatoa maamuzi sahihi
Unahisi wazazi hasa waupande wake watanielewa juu ya hili??Wazazi wako na Wazazi wake,kama wapo hai
Basi jambo lirudishe kwao
Unahaki ya kupewa huduma za muhimu na lazima kisheria
Lkn
Kujenga kwao,lisikuume sana,huyo ni mzazi mwenzako,bado utakuwa na haki na yeye katika mali alizokuwa nazo
Muhimu
Kaa nae chini,msemeshe kwa maneno mazuri
kama hasikii maneno
Rudi kwa wazee,jambo limwage mezani
Pole sana ndg
Mola akufanyie wepesi katika kila zito lako
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahisi wazazi hasa waupande wake watanielewa juu ya hili??
Nimepitia profile yako, kwa haraka haraka nimeona thread zako kuhusu huyu jamaa ziko zaidi ya 11.
Na ni 2017 huko.
Mimi binafsi sina mawazo ya kupoteza kwa kurudia ushauri ambao najua hutatekeleza na baada ya muda utarudi tena na thread kama hii.
Ya nn kumsikiliza yy dada kubwa kinachomuuma ni ubinafsi sijui ubahili wa mwanaume kuna mengne kweli ukisikia lazma utake kusikia upande wa pili kwa hili hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana mada kibao juu ya malalamiko ya mumewe kwenye ndoa hakutokewi hukumu ya upande mmoja lazima kusikilizwe pande zote
Humu JF si rahisi kupata ya upande wa pili, huwa tunakisia tu kwenye kutoa ushauri. Ila huyu nimeona thread zake za nyuma ni nyingi na ni kwa same case.
Wanasema Do not judge too soon there are always two sidesHii ni one sided story at least tungemsikia na yeye ana yapi tukatoa maamuzi sahihi
Kumbe kila siku yeye ndo analalama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sababu kila siku analalama yeye pengine mwenzie ana yake ya kusema
Kumbe kila siku yeye ndo analalama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] View attachment 1033931
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikafukue makaburi ntarudi [emoji5]Pitia threads zake za nyuma utaona
Hii ni one sided story at least tungemsikia na yeye ana yapi tukatoa maamuzi sahihi
Madame, ushauri wote unaotoaga humu huwa unakuwa umepata stori ya upande wa pili?
Sent using Jamii Forums mobile app