Maamuzi magumu: Mume wangu hanijali kwa chochote, nataka kuachana naye

Maamuzi magumu: Mume wangu hanijali kwa chochote, nataka kuachana naye

Mimi ni boss tanesco kama hutajali karibu inbox then nielezee yupo kituo gani i mean mkoa then na jina lake nione nakusaidiaje huna haja ya kukimbia
Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja

1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza?

2) Nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahari inarudi na faini juu, nafanyaje?

3) Jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?

Sababu za kumuacha
1) Sielewi nina roho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.Mume wangu hajali sana kuhusu mimi wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajali ndugu zake.

Before sijaishi nae nilikuwa nina kipharmacy changu ambacho kilikuwa kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfuate mkoa mwingine na duka kuajiri mtu ambapo huwa naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana.

Kinachoniuma nimemuomba sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfuata kutokana na fani yangu amekuwa mgumu sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekuwa mtu wa kukaa tu ndani sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia.

Nina mtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumizi nyumbani kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu.

3) Tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hospitali za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa madaktari bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika simu yake nimeumia sana kuona salary ya mwezi huu imeingia mil 2 .3

Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?

Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juzi nipo nyumbani nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurahi tu.

Kilichoniuma zaidi Leo, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajiri ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.

Yaani 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao.

Jamaa ni mhanisi TANESCO lkn ndani tunakalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajiri ya ndani hataki.

Binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu.

Naombeni ushauri namuachaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mtoa mada haupo serious na mwanao na future ya mama..
inavyoonekana ww ni mwoga sana wa maisha una hofu ya kuanza upya..unkown fear..
ni kweli wanawake tunavumilia sana sana lakini inafika kipindi unasema basi kwan umezaa naye watoto??yaan hakutunzi alafu bado unahangaika na kujitibia uzaz ukishabeba mimbashoga hapo huwez jichomoa tena.
unaniudhi ...alafu leo nahitimisha kwa hilo kabila..wabinafsi sana kwakweli..!
wewe toka kiroho safi usiogope mahari ulotolewa..khaa wewe wa wap??
hebu toka kwanza hapo then tutafutane.!
Kitaa kutakusumbua kama hujawah hussle lakinI hela kitaan ipo tu...!tegemea kupungua na mwili kbsz😂😂😂💪!
toka fanya shughuli za kukuingizia kipato..ila USIOLEWE TENA😛
 
Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja

1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza?

2) Nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahari inarudi na faini juu, nafanyaje?

3) Jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?

Sababu za kumuacha
1) Sielewi nina roho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.Mume wangu hajali sana kuhusu mimi wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajali ndugu zake.

Before sijaishi nae nilikuwa nina kipharmacy changu ambacho kilikuwa kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfuate mkoa mwingine na duka kuajiri mtu ambapo huwa naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana.

Kinachoniuma nimemuomba sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfuata kutokana na fani yangu amekuwa mgumu sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekuwa mtu wa kukaa tu ndani sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia.

Nina mtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumizi nyumbani kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu.

3) Tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hospitali za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa madaktari bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika simu yake nimeumia sana kuona salary ya mwezi huu imeingia mil 2 .3

Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?

Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juzi nipo nyumbani nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurahi tu.

Kilichoniuma zaidi Leo, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajiri ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.

Yaani 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao.

Jamaa ni mhanisi TANESCO lkn ndani tunakalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajiri ya ndani hataki.

Binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu.

Naombeni ushauri namuachaje?
Vumilia kwa mumeo wewe hyohyo kazi ya uganga ndo inawafanya mnakula. Huenda uliingia kweny ndoa bila kujua kaz yake maalum.
Na suala la kujenga kwao yeye anajua anafanya nn huenda anamipango mingine. Lakn suala la kutokupeleka kwny matibabu wakati unaumwa hilo jamaa nae amezingua. Kaa kwa mumeo vumilia ndoa siyo raha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mawili,unaweza kumuacha na usiolewe tena au unaweza kuvumilia na maisha unayoyategemea katika ndoto zako yasitimie;bado unanafasi kubwa ya kumbadilisha mumeo kwa sababu mwanaume ni kichwa cha familia na mke ni shingo ya familia inaweza kugeuza kichwa kiangalie kushoto,kulia n.k
 
sio kwa hlo kabila nadhan shida kubwa ni mahari kubwa wanazopangiwa ndo wanaamua kuwakandamiza wake zzao
hawz badilika tabia ni ngozi

Kuna mawili,unaweza kumuacha na usiolewe tena au unaweza kuvumilia na maisha unayoyategemea katika ndoto zako yasitimie;bado unanafasi kubwa ya kumbadilisha mumeo kwa sababu mwanaume ni kichwa cha familia na mke ni shingo ya familia inaweza kugeuza kichwa kiangalie kushoto,kulia n.k
 
sio kwa hlo kabila nadhan shida kubwa ni mahari kubwa wanazopangiwa ndo wanaamua kuwakandamiza wake zzao
hawz badilika tabia ni ngozi
Kama hawabadiliki hilo ni tatizo,lakini bibie ana nafasi kubwa ya kushauriana na mwenzake kama kweli walioana bila kulazimishana mbali na kuwa faragha pamoja.
 
Mimi nafikiri bado hujachoka! Mtu alochoka hasubirii kuambiwa ondoka au baki!

Naamini kwenye akili yako una maamuzi ambayo unahisi ni sahihi kwako! Hebu fanya venye moyo wako unapenda!
 
Mimi nafikiri bado hujachoka! Mtu alochoka hasubirii kuambiwa ondoka au baki!

Naamini kwenye akili yako una maamuzi ambayo unahisi ni sahihi kwako! Hebu fanya venye moyo wako unapenda!
[emoji23][emoji23][emoji23] mdogo wangu umenena, huwa naogopa sana kumwambia mtu ondoka na nikimwambia endelea kuvumilia ataona sijali maumivu yake kwa hiyo masuala ya ndoa mimi huwa sitoi ushauri kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Istoshe zijasema hanipi matumiz ya mtoto ...mzazi mwenzangu keshatangulia mbele za haki
Mwanangu yupo kwa mama angu kanikuta nina biashara zangu namsomesha mtoto wangu medium lkn Sasa nimeolewa nimeacha biashara Sina kipato chochote mtoto namleaje?
Pole sana mdada, kanda hiyo ni ngumu sana halafu wazazi wengine utazani hawakuwa na wazazi lakini waliishi maisha yao, jaribu kuongea naye au rudi kwenye ofisi yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mdogo wangu umenena, huwa naogopa sana kumwambia mtu ondoka na nikimwambia endelea kuvumilia ataona sijali maumivu yake kwa hiyo masuala ya ndoa mimi huwa sitoi ushauri kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Ogopa watu waliojifunika shuka moja dada kwa miaka kadhaa!
Sio kwamba hatuwapendi ila tunaogopa kuwaamulia!

Hebu aamue mwenyewe jamanii!
 
Back
Top Bottom