Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Atakuwa kajaza ndugu zake tu , mke hana chake familia yenyewe waganga wa kienyeji mbona tabu tupuEngineer Tanesco familia haina bima ya afya? kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa kajaza ndugu zake tu , mke hana chake familia yenyewe waganga wa kienyeji mbona tabu tupuEngineer Tanesco familia haina bima ya afya? kweli?
Mkuu ukisema mtu atabadilika nikujidanganya watu wenyewe kinantawile atakuja tolewa na yeyeKwa kweli dada unapoteza muda, na unajichelewesha mwanaume mbinafsi sana, kwani kabla ya ndoa hakumhisi ana mambo ya kishirikina na tabia kama hizo za ubahili? Maana ukiona mtu anatabia kama hizi usidhani kwenye ndoa atabadilika ndo mambo yanazidi, halafu kuwa na mahusiano na mtu mshirikina ni hatari sana anaweza kukufanyia lolote hata kukuuwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisaOgopa watu waliojifunika shuka moja dada kwa miaka kadhaa!
Sio kwamba hatuwapendi ila tunaogopa kuwaamulia!
Hebu aamue mwenyewe jamanii!
Kama ni wenyewe wanamdhibiti utaishia kugombana nao tuUnahisi wazazi hasa waupande wake watanielewa juu ya hili??
Ai weweTatizo lenu mnafuata taito mnafikiri ndo maisha! Mkisikia injinia, Dokta nk mnafikiri ndo maisha! Haya pambana mama si mna kale kamsemo kenu eti afadhali kuteseka ndani ya ndege kuliko kwny baiskeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nafikiri bado hujachoka! Mtu alochoka hasubirii kuambiwa ondoka au baki!
Naamini kwenye akili yako una maamuzi ambayo unahisi ni sahihi kwako! Hebu fanya venye moyo wako unapenda!
Jamaa yake utampa wapi SasaPole sana...
Ila tungesikia na upande wa jamaa yako ana kipi cha kulalamika kuhusu wewe, ungepata ushauri ulio bora kabisa...
Cc: mahondaw
Kwahiyo malalamishi tangu uchumba wa bila mahari?Sion ushauri wa kumpa kwasababu hajui anaichohitaji angekua na dhamira ya dhati hata stage ya kutolewa mahari asingefika angeshamiza everything once & for all, sasa huku alikofika anapaswa afanye decisions mwenyewe for Her own consequences
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena huna mtoto nae my dear ondoka hapo…
huyo mwanaume ni selfish,hajali maslahi yako
…hii inamaanisha wewe sio priority kwake wala HAKUPENDI!.
.huo ndio ukweli.
.huo muda unaokaa hapo unakuzuia kukutana na mwanaume wa ndoto zako..
ukiendelea kukaa utaweza kushika mimba halafu usiwe na chance ya kufanya maamuzi.
..ondoka halafu usali upate mtu mwingine..
na pia kufanyia uchunguzi fursa zipi zinazokuzunguka
..your happiness is more important than anything else.
.usikubali mtu akakuondolea furaha...
Akichoka ataamua mwenyewe! Huyu dada yetu bado moyo wake haujachoka vizuri!umemaliza mama huu muda alokuja kiomba ushauri hapa angekua ashafungasha kila kitu
hata mimi naku admire sana manengelo sijawahi kukuona umekasirika… always happy..i wish ningekua kama wewe.lol
Daah hapo aliyeandika ni Sakayo mimi nimeunga tu mkono sasa mimi nimeongea nini hapo?
😂😂😂😂nakasirikaga sana ..jukwaa la siasa nachefukwaga sana..!bt alwys positive...!
Huko siasani huwaga sipiti sana,labda ndio maana sikuoni...its good to be positive mamii..keep it up..