Maamuzi magumu: Mume wangu hanijali kwa chochote, nataka kuachana naye

Maamuzi magumu: Mume wangu hanijali kwa chochote, nataka kuachana naye

Istoshe zijasema hanipi matumiz ya mtoto ...mzazi mwenzangu keshatangulia mbele za haki
Mwanangu yupo kwa mama angu kanikuta nina biashara zangu namsomesha mtoto wangu medium lkn Sasa nimeolewa nimeacha biashara Sina kipato chochote mtoto namleaje?

Ni kama nakumbuka uzi wako mmoja uliohusu mmeo kununa kwa sababu ya yeye kukuhoji mapato ya duka lako la dawa na wewe ukahoji salary yake. I feel like you are really in stress.

My sister, tatizo la mmeo sio rahisi kulimaliza. He seems conservative and cntred to his own thinking. Otherwise, hamisha duka lako ili uwe nalo karibu ili uendelee kupambana mwenyewe AU mvumilie.

It is bad to divorce, I hate that...Otherwise, divorce and contain all the risk that will arise thereafter.
 
Ni kama nakumbuka uzi wako mmoja uliohusu mmeo kununa kwa sababu ya yeye kukuhoji mapato ya duka lako la dawa na wewe ukahoji salary yake. I feel like you are really in stress.

My sister, tatizo la mmeo sio rahisi kulimaliza. He seems conservative and cntred to his own thinking. Otherwise, hamisha duka lako ili uwe nalo karibu ili uendelee kupambana mwenyewe AU mvumilie.

It is bad to divorce, I hate that...Otherwise, divorce and contain all the risk that will arise thereafter.
Hapana huo uzi uliotaja sio wa huyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kama nakumbuka uzi wako mmoja uliohusu mmeo kununa kwa sababu ya yeye kukuhoji mapato ya duka lako la dawa na wewe ukahoji salary yake. I feel like you are really in stress.

My sister, tatizo la mmeo sio rahisi kulimaliza. He seems conservative and cntred to his own thinking. Otherwise, hamisha duka lako ili uwe nalo karibu ili uendelee kupambana mwenyewe AU mvumilie.

It is bad to divorce, I hate that...Otherwise, divorce and contain all the risk that will arise thereafter.

yaan au watengane..wajiskilizie baadaye warudiane wakijikosoa
 
Sepa haraka sana wala usipoteze muda na hiyo faini wala isikuumize kichwa. Wanaume wengine wa ajabu sana! Duh! Kwanini unaamua kuoa? Si ubaki bachelor tu? 😳

Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja

1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza?

2) Nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahari inarudi na faini juu, nafanyaje?

3) Jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?

Sababu za kumuacha
1) Sielewi nina roho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.Mume wangu hajali sana kuhusu mimi wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajali ndugu zake.

Before sijaishi nae nilikuwa nina kipharmacy changu ambacho kilikuwa kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfuate mkoa mwingine na duka kuajiri mtu ambapo huwa naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana.

Kinachoniuma nimemuomba sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfuata kutokana na fani yangu amekuwa mgumu sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekuwa mtu wa kukaa tu ndani sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia.

Nina mtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumizi nyumbani kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu.

3) Tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hospitali za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa madaktari bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika simu yake nimeumia sana kuona salary ya mwezi huu imeingia mil 2 .3

Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?

Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juzi nipo nyumbani nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurahi tu.

Kilichoniuma zaidi Leo, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajiri ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.

Yaani 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao.

Jamaa ni mhanisi TANESCO lkn ndani tunakalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajiri ya ndani hataki.

Binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu.

Naombeni ushauri namuachaje?
 
Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja

1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza?

2) Nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahari inarudi na faini juu, nafanyaje?

3) Jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?

Sababu za kumuacha
1) Sielewi nina roho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.Mume wangu hajali sana kuhusu mimi wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajali ndugu zake.

Before sijaishi nae nilikuwa nina kipharmacy changu ambacho kilikuwa kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfuate mkoa mwingine na duka kuajiri mtu ambapo huwa naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana.

Kinachoniuma nimemuomba sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfuata kutokana na fani yangu amekuwa mgumu sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekuwa mtu wa kukaa tu ndani sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia.

Nina mtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumizi nyumbani kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu.

3) Tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hospitali za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa madaktari bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika simu yake nimeumia sana kuona salary ya mwezi huu imeingia mil 2 .3

Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?

Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juzi nipo nyumbani nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurahi tu.

Kilichoniuma zaidi Leo, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajiri ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.

Yaani 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao.

Jamaa ni mhanisi TANESCO lkn ndani tunakalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajiri ya ndani hataki.

Binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu.

Naombeni ushauri namuachaje?
Ndo umeamua kuja kunuanika huku?? Jiandae kichapo cha mbwa koko!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom