Maamuzi magumu: Mume wangu hanijali kwa chochote, nataka kuachana naye

Maamuzi magumu: Mume wangu hanijali kwa chochote, nataka kuachana naye

Kuna mawili,unaweza kumuacha na usiolewe tena au unaweza kuvumilia na maisha unayoyategemea katika ndoto zako yasitimie;bado unanafasi kubwa ya kumbadilisha mumeo kwa sababu mwanaume ni kichwa cha familia na mke ni shingo ya familia inaweza kugeuza kichwa kiangalie kushoto,kulia n.k

Siyo wote mkuu!
Wangu niliongea ikafika mahali nikaacha kabisa

Hata achukue pesa zote apeleke kwao simuulizi.

Natafuta nacover pale ninapoweza akiona aibu anajisemesha anamalizia kilichobaki.
Kuna wanaume wanaoa lakini hawakuwa tayari kuwa mume!.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja

1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza?

2) Nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahari inarudi na faini juu, nafanyaje?

3) Jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?

Sababu za kumuacha
1) Sielewi nina roho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.Mume wangu hajali sana kuhusu mimi wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajali ndugu zake.

Before sijaishi nae nilikuwa nina kipharmacy changu ambacho kilikuwa kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfuate mkoa mwingine na duka kuajiri mtu ambapo huwa naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana.

Kinachoniuma nimemuomba sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfuata kutokana na fani yangu amekuwa mgumu sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekuwa mtu wa kukaa tu ndani sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia.

Nina mtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumizi nyumbani kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu.

3) Tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hospitali za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa madaktari bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika simu yake nimeumia sana kuona salary ya mwezi huu imeingia mil 2 .3

Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?

Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juzi nipo nyumbani nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurahi tu.

Kilichoniuma zaidi Leo, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajiri ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.

Yaani 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao.

Jamaa ni mhanisi TANESCO lkn ndani tunakalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajiri ya ndani hataki.

Binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu.

Naombeni ushauri namuachaje?
TANESCO Ni taasisi ya kiserikali na Ni lazma awe mwanachama wa NHIF.
Ina maana hajakukatia bima?
 
Siyo wote mkuu!
Wangu niliongea ikafika mahali nikaacha kabisa

Hata achukue pesa zote apeleke kwao simuulizi.

Natafuta nacover pale ninapoweza akiona aibu anajisemesha anamalizia kilichobaki.
Kuna wanaume wanaoa lakini hawakuwa tayari kuwa mume!.


Sent using Jamii Forums mobile app
nahis ww una ubora...!tena mkubwa..mie hapeleki kwao kiviiile maana kwao mambo safi tu..ila hela huioni..na vile mie sipendag makelele jamaa ababweteka balaa..yaan full kupenda miteremko...sasa hv anatoa jasho za meno..!kila anayemwona anasema ongeen na manengelo jaman siwez ishi bila yy..!mie ndo nishatoka
 
Hahahha hivi unafikili rahisi je yupo tayari kuachana nae? Na anayeamua kuachana na mumewe au mke hawezi kuleta thread anafanya maamuzi yake kimya kimya unafanya mchezo na kuachana.

Huyu mwanaume ni mbinafsi hii tabia hajaiona toka wapo wachumba mana tabia ya mtu haijifichi bwana

Kuna watu wapo vizuri sana katika kaficha vile vijitabia vibovu walivyo navyo, labda huyo kijana alificha hicho kijitabia chake cha ubinafsi pindi wako wachumba na alivyomuweka ndani akaanza kumuonyesha yeye yupoje.[emoji2368][emoji2368][emoji2368][emoji2368]
 
Hahahha hivi unafikili rahisi je yupo tayari kuachana nae? Na anayeamua kuachana na mumewe au mke hawezi kuleta thread anafanya maamuzi yake kimya kimya unafanya mchezo na kuachana.

Huyu mwanaume ni mbinafsi hii tabia hajaiona toka wapo wachumba mana tabia ya mtu haijifichi bwana

😂😂😂😂😂kwakweli hajaamua..jaman kuachana ni kaz ngumu sana sana

tena hiz ndoa za kikristo mnatengana tu..kibabe tena!yaan haya mambo inabid uchunguze kwa upana sana toka mkiwa wapenzk..mie wangu niliwah mpa ukwel nikamwambia mbona nakuona km ww mbinafsi??akasema y nikamwambia..akajitetea hana uwezo coz yupo shule...nikawqmbia mbn na mm nasoma..akaishia kununa..nikaishia kumbembeleza..stupid..!sie wanaeake tunafunikwa sana na mahaba..baadaye tunakuja umia
 
Kuna watu wapo vizuri sana katika kaficha vile vijitabia vibovu walivyo navyo, labda huyo kijana alificha hicho kijitabia chake cha ubinafsi pindi wako wachumba na alivyomuweka ndani akaanza kumuonyesha yeye yupoje.[emoji2368][emoji2368][emoji2368][emoji2368]
Mh sidhani mpenzi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwakweli hajaamua..jaman kuachana ni kaz ngumu sana sana

tena hiz ndoa za kikristo mnatengana tu..kibabe tena!yaan haya mambo inabid uchunguze kwa upana sana toka mkiwa wapenzk..mie wangu niliwah mpa ukwel nikamwambia mbona nakuona km ww mbinafsi??akasema y nikamwambia..akajitetea hana uwezo coz yupo shule...nikawqmbia mbn na mm nasoma..akaishia kununa..nikaishia kumbembeleza..stupid..!sie wanaeake tunafunikwa sana na mahaba..baadaye tunakuja umia
Hawezi muacha huyu eti unakuja kuanzisha thread kuomba ushauri woiiiii ukiamua unaamua tu na moyo wako
 
Hii ni one sided story at least tungemsikia na yeye ana yapi tukatoa maamuzi sahihi
Hivi na ma Counsellors huwa wanatakaga tu sides explanations

Lengo ni ushauri na si kutoa hukumu

Ingekuwa mahakamani tungeomba na maelezo ya upande wa pili, lakini hapa hapana

Dada jiongeze, you are not in his plans ......


Walk away

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana ila ka umechoka na mambo yake achana nae ondoka after two months atakuja kukuuulizia kwan ilikuaje ushasema kwao wana vitu flan vya Giza itakua walimuwahi ili aisahau familia awakumbuke wao wanaume kwa kawaida hua tunaikumbuka familia kuliko nyumbani kwa hapo nakushauri tu furaha ya moyo wako ni bora kuliko kitu chochote
 
Mi nasubiri nimsikie na yeye anavyo sema kuhusu wewe ndio nitakushauri au kuwashauri chakufanya, vinginevyo itakuwa ni hukumu isiyo na haki
 
𝗦𝗶𝘄𝗲𝘇𝗶 𝗸𝘂𝘂𝗱𝗮𝗻𝗴𝗮𝗻𝘆𝗮 𝗺𝗼𝘆𝗼 𝗻𝗱𝗼𝗮 𝗻𝘇𝘂𝗿𝗶 𝗻𝗶 𝗶𝗹𝗲 𝗮𝗺𝗯𝗮𝘆𝗼 𝗺𝘁𝗮𝗶𝘀𝗵𝗶 𝗸𝘄𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗵𝗮𝗿𝗮𝗳𝘂 𝗻𝗱𝗶𝗽𝗼 𝗺𝗮𝗸𝘂𝗯𝗮𝗹𝗶𝗮𝗻𝗼 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗮 𝗽𝗼𝘀𝗮 𝘆𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗲 𝗸𝘂𝗹𝗶𝗸𝗼 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗮 𝗽𝗼𝘀𝗮 𝗻𝗱𝗶𝗽𝗼 𝗺𝘂𝘂𝗶𝗻𝗴𝗶𝗲 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗻𝗱𝗼𝗮
 
Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja

1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza?

2) Nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahari inarudi na faini juu, nafanyaje?

3) Jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?

Sababu za kumuacha
1) Sielewi nina roho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.Mume wangu hajali sana kuhusu mimi wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajali ndugu zake.

Before sijaishi nae nilikuwa nina kipharmacy changu ambacho kilikuwa kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfuate mkoa mwingine na duka kuajiri mtu ambapo huwa naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana.

Kinachoniuma nimemuomba sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfuata kutokana na fani yangu amekuwa mgumu sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekuwa mtu wa kukaa tu ndani sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia.

Nina mtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumizi nyumbani kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu.

3) Tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hospitali za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa madaktari bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika simu yake nimeumia sana kuona salary ya mwezi huu imeingia mil 2 .3

Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?

Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juzi nipo nyumbani nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurahi tu.

Kilichoniuma zaidi Leo, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajiri ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.

Yaani 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao.

Jamaa ni mhanisi TANESCO lkn ndani tunakalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajiri ya ndani hataki.

Binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu.

Naombeni ushauri namuachaje?
You find a woman's weakness endearing, but a man's weakness disgusting.

That's why you find it more acceptable for a woman to cry. Or why you are more likely to help a woman.

All compassion and privilege directed towards women is PRECISELY because of their comparative weakness.
 
Daaah nimechelewa kutoa comments hapa jukwaani.

Cha kwanza kabisa niseme tu 1. una aina ya mwanaume ambaye hakujali, wala kukuheshimu.

2. Alafu una mwanaume ambaye mindset yake haijaelimika wala kustaarabika hata kama alisoma darasani hiyo haisaidii (hana elimu fikirishi ya kumkomboa kifikira, hana dini wala hofu ya mungu).

3. Mwanaume huyo ni mshamba na limbukeni.

4. Ana roho ya choyo ya ubinafsi ndiyo alivo lelewa kwao amini au usiamini.

5. Si mkweli, inawezekana vipi ana 2 milions anashindwa kukuweka bayana mfanye nini maisha yenu yabadilike, badala yake anakuficha.

Ushauri wangu ni huu:
Maisha yamebadilika sana na yanaenda kasi sana, ndoa siyo chochote wala lolote wewe dada achana naye kwa njia yoyote ile.

Sababu huyu mwanaume kwa tabia yake hata awe na billions dollars na apewe utajiri bado wewe utakuwa masikini tu na utaangamia kama mfamaji.

Wewe ulipo nikupe pole maana umerudi nyuma sana tu na amka ulipo rudi kwenye maisha yako upya mapema sana.
Asha kuchakaza ukikaa kidogo umeisha mama kimbia usiku umeingia.

Kwa maelezo uliyotoa kama ni kweli naandika toka moyoni hapa nasema kimbia huyo siyo binadamu aliyekamilika kuishi na mwenzake.

Mwisho nasema achana naye dada. Achana naye kama mtu ana pesa bado anakutesa hafai, nini maana ya pesa sasa??

Usije ukajipa tumaini au moyo eti nitapata kitu kwake, ndugu zake washakuchinjia baharini, tena ukisubiri kwa huyu mbwiga watakuchezea akili uwe chizi, hii ni dunia jali chako unachopata, wazazi wako wanakupenda, mtoto wako anakupenda anakutegemea. Shutuka sasa.
 
Back
Top Bottom