Maamuzi magumu: Mume wangu hanijali kwa chochote, nataka kuachana naye

Maamuzi magumu: Mume wangu hanijali kwa chochote, nataka kuachana naye

Pole dear ni vizuri ukaongea nae ukamweleza ukweli uone kama atabadilika au hatabadilika, ukiona habadiliki unaweza kuchukua maamuzi yako magumu.
 
Aisee mtoa uzi nikisema hajui anachohitaji sitakua mbali sana na ukweli, manake series yake ya matukio had alipofika with the same person doooh
IMG_20190115_123329_535~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka nifanye maamuzi magum ya kuachana na huyu. Mwanaume nahofia kitu kimoja
1) ukwen kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaan niwatu wa waganga Sana je watanibakiza???
2) nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahar inarudi na fain juu nafanyaje?
3) jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?
Sababu za kumuacha
1) sielew ninaroho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.. mme wangu hajal Sana kuhusu Mimi Wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajar ndugu zake
...before sijaishi nae nilikua Nina kipharmacy changu ambacho kilikua kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfate mkoa mwingine na duka kuajir mtu ambapo hua naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana
Kinachoniuma nimemuomba Sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfata kutokana na fan yangu amekua mgum Sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekua mtu wa kukaa tu ndani Sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia
Ninamtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumiz nyumban kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu

3) tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hosp za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa ma dr bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika cm yake nimeumia Sana kuona salary ya mwez huu imeingia mil 2 .3
Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?

Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juz nipo nyumban nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurah TU

...kilichoniuma zaidi Leo,,, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajir ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.....
yaan 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao ....
jamaa eng tanesco lkn ndan tukalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajir ya ndani hataki binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu....
Naomben ushaur namuachaje???
kabila gani huyoo?
 
Pole sana...

Ila tungesikia na upande wa jamaa yako ana kipi cha kulalamika kuhusu wewe, ungepata ushauri ulio bora kabisa...


Cc: mahondaw
 
Labda atakusikia lakini sometimes nahisi anaftahisha genge
Sion ushauri wa kumpa kwasababu hajui anaichohitaji angekua na dhamira ya dhati hata stage ya kutolewa mahari asingefika angeshamiza everything once & for all, sasa huku alikofika anapaswa afanye decisions mwenyewe for Her own consequences

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda atakusikia lakini sometimes nahisi anaftahisha genge
Watu watashindwa kukusaidia kwa tabia zako, kama anachosema ni kwel bas afanye maamuz thabiti ila kama anachangamsha genge kuna siku atakuja na issue serious na watu wata generalize kuwa ameleta chai as usual!![emoji46]
IMG_20190228_101725.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanawake wana magumu wanayopitia daaaaah we dada tulia kwa mumeo,kwanza wazazi wake wamemsomesha kwa shida ngoja angalau awawekee wazazi wake hata kaumeme ka REA .yaani ukiolewa na mume msomi au mwenye mafanikio chunguza kwanza familia yao halafu uchukue maamuzi,sasa aache kuweka mazingira vizuri kwao ajenge kwenu eeee,kazi bado anayo atakuwekea miradi mikubwa hadi uchoke,tatizo wanawake matung'ang'aniza tutekeleze majukumu yasiyo muhimu,mnatutekelezesha anasa,unakula?ndiyo,nguo za kuvaa zipo?ndiyo ,chakula kipo sasa tununue manguo then zimejaa tunaongeza kabati huu ni upuuzi!!!!!tujenge uwezo kwanza anasa baadae, mwanamke anang'ang'aniza vitu kama vile ndo'nimestaafu na ajira ndio basi,kina dada zetu acheni hizo tuhurumie wazazi wetu na ndugu zetu walipata shida kutusomesha hadi mmetuona wazuri na wasomi sasa mtulie angalau tulipe fadhila kidogo kwa wazazi na ndugu,mambo ya kukimbizia fashion tupa mbali au wewe uondoke zako siyo kutiana stress
 
Pole mwaya.

Achana nae tu mpendwa.
Hahahha hivi unafikili rahisi je yupo tayari kuachana nae? Na anayeamua kuachana na mumewe au mke hawezi kuleta thread anafanya maamuzi yake kimya kimya unafanya mchezo na kuachana.

Huyu mwanaume ni mbinafsi hii tabia hajaiona toka wapo wachumba mana tabia ya mtu haijifichi bwana
 
Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja

1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza?

2) Nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahari inarudi na faini juu, nafanyaje?

3) Jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?

Sababu za kumuacha
1) Sielewi nina roho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.Mume wangu hajali sana kuhusu mimi wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajali ndugu zake.

Before sijaishi nae nilikuwa nina kipharmacy changu ambacho kilikuwa kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfuate mkoa mwingine na duka kuajiri mtu ambapo huwa naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana.

Kinachoniuma nimemuomba sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfuata kutokana na fani yangu amekuwa mgumu sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekuwa mtu wa kukaa tu ndani sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia.

Nina mtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumizi nyumbani kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu.

3) Tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hospitali za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa madaktari bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika simu yake nimeumia sana kuona salary ya mwezi huu imeingia mil 2 .3

Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?

Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juzi nipo nyumbani nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurahi tu.

Kilichoniuma zaidi Leo, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajiri ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.

Yaani 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao.

Jamaa ni mhanisi TANESCO lkn ndani tunakalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajiri ya ndani hataki.

Binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu.

Naombeni ushauri namuachaje?
Umesema ni Kabila gan?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja

1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza?

2) Nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahari inarudi na faini juu, nafanyaje?

3) Jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?

Sababu za kumuacha
1) Sielewi nina roho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.Mume wangu hajali sana kuhusu mimi wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajali ndugu zake.

Before sijaishi nae nilikuwa nina kipharmacy changu ambacho kilikuwa kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfuate mkoa mwingine na duka kuajiri mtu ambapo huwa naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana.

Kinachoniuma nimemuomba sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfuata kutokana na fani yangu amekuwa mgumu sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekuwa mtu wa kukaa tu ndani sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia.

Nina mtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumizi nyumbani kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu.

3) Tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hospitali za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa madaktari bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika simu yake nimeumia sana kuona salary ya mwezi huu imeingia mil 2 .3

Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?

Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juzi nipo nyumbani nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurahi tu.

Kilichoniuma zaidi Leo, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajiri ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.

Yaani 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao.

Jamaa ni mhanisi TANESCO lkn ndani tunakalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajiri ya ndani hataki.

Binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu.

Naombeni ushauri namuachaje?

Usirudi nyuma dada achana nae tu. Hutuweza kuishi kwa amani kwake kabisa huyo.
 
Miaka 5 unalalamika kuhusu mume wako, na bado hujapata suluhisho. Mzazi mwenzaKo katangulia mbele za haki, Hii inamaanisha wewe ndio kila kitu kwa mwanao, meaning inabidi uwe na kipato kinachoeleweka ili mwanao asome na kupata maHitaji yake Muhimu. Sasa hata kumuhudumia mwanao huwezi, ukijua wazi kua wewe ndio kimbilio lakE baada ya kumbwaga kwa bibi, Mume hakuPi choChote, ila bado upo tu miaka nenda miaka rudi unalalAmika tu humu ndani. Nilichogundua kua wewe ni FALA, tena FALA asiejielewa.. Najua nimekukwaza ila bora nikukwaze labda ndio ubongo utaamka.. Nasema Tena wewe ni FALA, nimemaliza
 
Back
Top Bottom