Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Umeanza kushangilia ushindi mapema mno,mchezo wa mahusiano una trick nyingi mpk kuushinda.
Kila la kheri mkuu ni wachache sana wenye moyo waa ivyo Tanzania bara na visiwan
 
Umeanza kushangilia ushindi mapema mno,mchezo wa mahusiano una trick nyingi mpk kuushinda.
Kila la kheri mkuu ni wachache sana wenye moyo waa ivyo Tanzania bara na visiwan
Mkuu sishangilii ushindi, huu ni mwanzo wa mbio ndefu...nipe pumzi kwa ushauri mkuu
 
Mhh wew utakuwa fisad had viwanja unaenda kununulia unborn child , na wa kwako umewanunulia tayari

Swal la kumpa faraja ili asipatwe na sonona ni jambo jema tu ..ila hawa ndugu zetu hawatabiriki nakuambia cku utakuja kusikia ana mtu mwingine kisirsiri ndio akili itakah sawa mnk ata hcho kiwanja utamnyanganya ...brooo zaidia lkn acha shoboo ungekut hayo mawazo unamuwazia. Dad ako au mdgo ako mbna nzuri ..pengine umewatelekeza ndugu zako. Afu uko unaenda kununulia watu viwanja. ....
 
KAMA hujaoa hebu omba Mungu akupe kibali umuoe huyu dada. Atakupenda na kukuheshimu maisha yako yote. Ni mke mwema huyu. Ninamsifu kwa kuamua kulea mimba yake. Na watoto wa hivi huwa wanaofanikiwa sana kimaisha. Baraka za Mungu ziambatane nawe daima.
 
KAMA hujaoa hebu omba Mungu akupe kibali umuoe huyu dada. Atakupenda na kukuheshimu maisha yako yote. Ni mke mwema huyu. Ninamsifu kwa kuamua kulea mimba yake. Na watoto wa hivi huwa wanaofanikiwa sana kimaisha. Baraka za Mungu ziambatane nawe daima.
Hili limechelewa mkuu siwezi kubadili gia angani, asante
 
Yuda Isikariot aliwahi kumwambia Aliyemmiminia Yesu mafuta kuwa kwanini anachezea mafuta ya thamani badala ya kuuza awape masikini?

Yesu alijibu kuwa masikini mnao siku zote.

Mkuu wazazi nawasaidia siku zote lakini mtoto aliyekataliwa sinao siku zote.
Ninafahanya kama sadaka na sio kwa lolote lile.

Tatu mimi sio tajiri wala fisadi bali ni mpambani wa hali zote na Mungu hubariki kazi za mikono yangu
 
Hili limechelewa mkuu siwezi kubadili gia angani, asante
I understand that you had clear crystal about your relationships. So sad of her to have missed a potential husband. But you have a great heart. Be blessed
 
I understand that you had clear crystal about your relationships. So sad of her to have missed a potential husband. But you have a great heart. Be blessed
[emoji120]
 
Na kupitia hili la huyo mtoto mkataliwa utabarikiwa uingiapo na utokapo. Kifupi soma Kumb 28:1-13 kama wewe ni a believing Christian. Namba mumpatie jina zuri la kuashiria mafanikio/bahati/FURAHA.
 
Bahati mbaya ni kuwa mtoto akishazaliwa na kukua Mama anarudi kwa mzazi mwenzie na kubeba mimba nyingine.
Hawa viumbe sio wa kuwaonea huruma kiasi hicho.
Kama mlishakuwa na uhusiano alishindwa Nini kukutafuta alivyopata stress huko ng'ambo!?
Si angerudisha majeshi kwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…