Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Huyo jamaa ipo siku ataibuka na kudai mtoto wake. Kama uliamua kumsaidia ungemsaidia tu lakini ubini atumie wa baba wa mtoto.
 
Hongera kwa kupima kina cha bahari kwa kutumia mguu mkuu!

Hapo utalea mimba kisha utatunukiwa penzi na mimba nyingine itajaa,kisha utakua baba kamili[emoji23]
 
Hongera kwa kupima kina cha bahari kwa kutumia mguu mkuu!

Hapo utalea mimba kisha utatunukiwa penzi na mimba nyingine itajaa,kisha utakua baba kamili[emoji23]
Asante kwa uzoefu huo
 
Sitamuumiza mkuu, tangu nimweleze nina mahusiano yangu, ameyaheshimu kwa kiwango cha juu siku zote.
Hivyo anafahamu fika mipaka ya mahusiano yetu mimi naye.
Pia sitamfanya kuwa karibu nami kivile
Hapa unajidanganya. Moto wa mtu no kiza kinene. Naona unatengeneza bomu taratibu
 
Hapa unajidanganya. Moto wa mtu no kiza kinene. Naona unatengeneza bomu taratibu
Mkuu yeyote ambaye atathubutu kuhatarisha mahusiano yangu hulia sana
 
Mkuu yeyote ambaye atathubutu kuhatarisha mahusiano yangu hulia sana
Kuwa tu makini. Maisha si kama unavyoweza kuyafikiria au kuyapanga wewe. Pia mfikirie huyo uliyenaye kwenye mahusiano sasa, don't be selfish. Kama umeamua kumsaidia mtoto basi usitake aitwe ubini wako. Unaweza kumwambia mama mtoto kwamba utasaidia pale itakapobidi. Ni mapema sana wewe kujicomit [emoji817] saivi hata mtoto hajazaliwa bado.
 
Na ndo tatizo lilipo hapo. Ingekuwa anamuoa dada wa watu sawa, vinginevyo atamtesa kihisia mdada wa watu na mambo yakaja kuishia vibaya.
 
In tears , nipo emotional sana sijui kwanini
Anyways baba barikiwa , Mungu akutie Nguvu na uzao wako uwe wenye kuzidishiwa
Kwa imani yako sema amin
 
kwanza nimegundua vitu vitatu

1. ww una wivu wa kimapenzi

2. unawaza kwa kutumia moyo sio akili

3. huwa uwezo wa kuunganishaa matukio why ( jamaa wa kwanza kamakataa, wapil kapiga mimba kakimbiaa watatu fal* ndo wewe sasa)


kaka shirikushaa familia yako kama watakushauri
 
Nasapotiii hio comment kama ni dini nyingine sawa ila kwa sisi waislam kubadili ubini wa MTU ni strongly prohibited!!


Nashaurii msaidie ila mtoto abaki na ubini wake
We kama unamsapoti msapoti lakini maswala ya mtoto kutumia ubini wako sio vizuri
 
hujatueleza wewe una maisha gani mpaka sasa umeoa hujaoa una plan gani maisha yako nk.

unapopanga kumlea,kumsomesha na kumjengea wewe upande wako maisha yakoje? umeoa au hujaoa ? umejenga au hujajenga, au upande wako vp ?

au unajipa kichwa tu kumsaidia mtoto wa mwanaume mwenzio tu ?
 
Umeuliza maswali muhimu sana lakini meishoni umemalizia vibaya.
Sio rahisi kwa mwenye njaa kukupa chakula.
Hilo linatosha
 
1. Moja ni kosa [emoji709] kubwa sana
 
Umeuliza maswali muhimu sana lakini meishoni umemalizia vibaya.
Sio rahisi kwa mwenye njaa kukupa chakula.
Hilo linatosha

kwa hio unamsaidia kulea ujauzito k'rafiki au kwa sababu unamnyandua mtoto wa kike ?

kwa lugha rahisi umejipatia mteremko ?
 
kwa hio unamsaidia kulea ujauzito k'rafiki au kwa sababu unamnyandua mtoto wa kike ?

kwa lugha rahisi umejipatia mteremko ?
Ninasikitika sana mmejaa mawazo ya ngono.
Kwa taarifa yako wapo wengi wanatamani niwabandue lakini hata muda sina, why nitamani mteremko tena kwa mjamzito?
 
Ninasikitika sana mmejaa mawazo ya ngono.
Kwa taarifa yako wapo wengi wanatamani niwabandue lakini hata muda sina, why nitamani mteremko tena kwa mjamzito?

kama nilivotangulia kusema sijui maisha yako kwa sasa na kama ungeeleza hapa ningekupa ushauri kulingana na upeo wangu ila kwa sasa ngoja nikubaliane na maamuzi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…