Mkuu ukiona unamtongoza mwanamke na hata wasiwasi hauna basi ujue haujampenda bado unamtamani tu.
usibishe, hii ni mada mpya.
Hakuna kitu cha kusumbua sana kama kuwapa watu ushauri wa mapenzi. Mizigo mingine watu wanatakiwa kubeba wenyewe.. kama wewe mwenyewe hujipigii debe huko stay out of it. Hatuwezi kuwakinga watu wote kufanya makosa na hatuwezi kuzuia watu wote - hata wale tunaowapenda kuumizwa.
...nimeulizwa swali ambalo natarajiwa nitoe ushauri ambao utamjengea "huyu" dada maisha yake au utambomolea kabisa matumaini kidogo aliyokuwa nayo!
ni hivi....;
maishani mwake amewashi kuwa kwenye mapenzi serious (namaanisha long term, sio chini ya miaka mitatu) na wanaume wawili, ila;
- alisitisha mahusiano na mwanaume wake wa kwanza sababu ya "abuses," physical na psychological...
- alisitisha mahusiano na mwanaume wake wa pili sababu ya "abuses," physical na psychological
- hivi sasa, yupo kwenye mahusiano yasiyozidi mwaka mmoja na partner mpya.. ambaye yupo ok,...sio angel wala devil...
tatizo alilonalo...wale spouses wa mwanzo kila mmoja kwa nafasi yake, wanafanya jitihada usiku na mchana kumshawishi huyu mdada awafikirie upya, kwani pamoja na kwamba hawaku move on kuoa wanawake wengine...pia waliamini time is a healer...ipo siku mwanadada atajichungua upya na kugundua naye alichangia kutokezea breakups hizo...
kwa ushauri wenu, mdada huyu anapaswa kui handle vipi situation hii?...
natamani kumwambia ajaribu wa tatu, lakini mapenzi ni sumu, hayaonjwi!
kwani namuogopea asijejipa matumaini sana kwa huyu watatu
halafu matokeo yake huko mbele ya safari abakie akiilaani bahati yake...
mind you, tafsiri ya abuses huenda inatofautiana baina ya mtu na mtu, au jamii na jamii....
mwenyewe ananisisitiza -" better the devil you know,...!"-
...halahala jamani, mbu mie nasubiriwa na jibu langu jumatatu asubuhi...khaaa!?
....lol.....klorokwini...halafu nilisahau kuwaambia...huyu mdada alionitaka ushauri alinambia ati
keshajisikilizia sana, ila her soul doesnt agree with her heart, and mind...yaani
kila partner ana nafasi yake mwilini mwake...mmoja yupo kwenye mind,
mwingine kwenye heart, na mwingine kwenye soul....she's possessed!
....ushawahi iona movie ya exorcists?....
Swahiba jenga haka kapicha. Kuna mdada umemuona na baada ya kufatilia steps zake ukagundua kwamba she is more than a type of girl you are looking for, unahisi ukimpata huyu basi maisha yako yamekamilika na yatakuwa na furaha milele na ukimkosa huyu basi you might have the torture within you for the rest of your life. Outcomes ni mbili tu na hakuna ya tatu, win or loose. Weka gauge yako ya confidence ujipime itakuwaje?I vowed to be out of this... but swahiba klorokwin!!! umenirudisha jamvini.... really???? i thought this was then tukiwa tunabalehe, when you hve never touched a woman, when you did even know what to say except a letter, boarding blues dance au birthday card??
MNh... haya mazee
Swahiba jenga haka kapicha. Kuna mdada umemuona na baada ya kufatilia steps zake ukagundua kwamba she is more than a type of girl you are looking for, unahisi ukimpata huyu basi maisha yako yamekamilika na yatakuwa na furaha milele na ukimkosa huyu basi you might have the torture within you for the rest of your life. Outcomes ni mbili tu na hakuna ya tatu, win or loose. Weka gauge yako ya confidence ujipime itakuwaje?
BTW: hivi umewahi jiuliza kwanini mechi za fainali zinakuwa boring kuliko mechi za group stage? zingatia, wale wanacheza kuleta heshima ya timu, wewe unataka kucheza kuleta heshima ya nafsi.
Kesi ni tofauti kama hauna hisia za kweli, you have nothing to loose, unamtokea mwajuma hehehe akileta za kuleta next day unamuibukia zubeda na yeye akileta uzembe unatafta kamcharuko kamoja ka JF unakaPM wala kamoyo hakakudundi kabisa yaani.
Swahiba... kuna ka-element kakubwa sana ka dact kwenye ujumbe wako.... yani balaa, ila sasa mie tatizo langu ni kwamba niligundua kimoja, kila mamaa niliyekua namfuata kwa presha (ile ya balehe) niliishia kumboa....
And the moment I realised kwamba kutongoza hakuna SOP wala job description nikafanikiwa kumpata niliyependa nikiwa darasa la tatu, you know what?? nikamuwowa!!!!
Actually mi nadhani hakuna mtu anaejua kutongoza kwani cha kwako utakijua tu..... and the woman you are bound to be in any kind of relationship pia anajijua.... its just forces governed by the universe that play!!!
our role is only to facilitate the environment
MIE KAKA'KO SIJUI KUTONGOZA, WE MWENZANGU UNAJUA UNIPE SIMBI?
Rais!What are y'all talking about up in here?
hahahaaaaaaaaaaaaaaa... basi kwenye hilo nimefeliklorokwin[COLOR=#ff0000 said:i;2732263]hehehe swahiba hii rule haiapply kwenye kutongoza tu hata kwenye kuishi pia unapoteza confidence[/COLOR] somehow kwa kumchukulia yule mwenza wako ndio everything (refer: misukule ya mapenzi , source Mbu), kuhusu suala la kutongoza kuko kwa namna nyingi swahiba na hii ni mada mpya, lakini njia nzuri ya kumtongoza ambae una hisia nae za ukweli ni "learn and impress" (hii inaficha kale kawoga tulikokazungumzia kidogo), kuliko ile ya "talk and get" (ambayo hii ndio nazani iko kibalehe zaidi)
hehehe hapo kwenye self evaluation hapo, kweli kuna vitu vinakufanya uwe exceptional, si ushawahi kuona king'ang'anizi anaondoka na bonge la mchumba bila mchumba kupenda kwasababu tu mchumba yuko weak kwenye suala la huruma? haya mambo swahiba yana ntu na ntu hapa tunaaply general rule tu. lolhahahaaaaaaaaaaaaaaa... basi kwenye hilo nimefeli
Mie hata mtihani mgumu niliojua napata kumi, nilikua na konfidensi ya ajabu hadi walimu walishangaa.... nadhani ni arrogance aisee
Rais!
mwajuma alikuulizia sana aisee!