Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakula biriani pamoja ila sio mwali wangu mwenye shepu mchongoko kama mkorea hivi.Ila kizuri unakula na nduguzo.
[emoji849][emoji849][emoji849]
Nilikuwa nasubiri mawazo yako kwa hamu kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weeeee , Mimi nimechambwa sijui kusutwa juzi sina hamu Dada.
Bora upigwe[emoji23][emoji23][emoji23]
Hana upole wowote. Kwanza unanishangaza unavyosema unamuona ni mpole[emoji23][emoji23][emoji23]
Utamu ndio unawapa shape za visheti sasa.Mtori mtamu jamnai tuache utamu.
Nadhani pia na uzazi unachangia au malengo .Huwa napata ukakasi nikiwaza mtu kama Mengi RIP Mengi amekuwaje na watoto ambao hata hawajazi Noah.
Au Aliko Dangote utakuta ana vichwa viwili tu. Watoto ni raha sana hasa kuwa nao wengi jamani.
😂😂😂😂😂 hebu taften mbadala basiUmenikumbusha rafiki yangu wa kichaga maandalizi ya kujifungua ni mafuta ya kula lita 40 na vitu vingine[emoji134][emoji134]
Hadi ugali unawekwa mafuta, alitoka uzazi anatembea kama roboti.
Kwanini usikubaliane nae muishie hapo hapo?Mkuu hata mimi imenikuta now nina watoto wawili ingawa wapili bado anamiez 4, lakin mwenzangu hataki tuongeze mwingine mbeleni, nasubiri akinipa go ahead nikaongeze nje, mi bado nahitaji 1 au 2 zaid
Kule? Nina siku nyingi sijafungua kule kuchungulia jamani. Halafu huwa sipati notifications.Halafu nilikutafuta ukamute[emoji57][emoji57][emoji57]
Wenye pesa wengi huwa hawazai sana sijui kwanini? Njo kwetu wenzangu na mie sasa[emoji134][emoji134][emoji134]Huwa napata ukakasi nikiwaza mtu kama Mengi RIP Mengi amekuwaje na watoto ambao hata hawajazi Noah.
Au Aliko Dangote utakuta ana vichwa viwili tu. Watoto ni raha sana hasa kuwa nao wengi jamani.
Siyo mpole but he's smart!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijawahi kumfuma akimwaga cheche ujue. Nilianza kumfahamu kwenye zile nyuzi zake za rafiki yake alokuwa hataki kusafiri, nikamuona mpole, kumbe sio?[emoji134][emoji134][emoji134]
Uko sahihi kabisa idadi ya watoto watu wanayopata ni Mungu ndo anayeipanga maana kuna watu wanapanga kuzaa watoto wawili lakini katika tendo wanajikuta mimba nyingine zinaingia na hawawezi kutoa hivyo wanaendelea kuzaa tena pia kuna watu mimba nyingi wanazopata zinatoka wanajikuta katika mimba sita walizopata nne zimetoka na mbili ndo zimekubali kuzaliwaMungu mwenyewe
Shukrani pia kwa kongole zako...That's you.!!!
Asante sana. Mada ninaifungia hapa kwa Leo.
Nawezaje hayo magazeti mimi???Hahahhahahahha asante kwa kunisikiliza.
Lakini si ndiyo ujadili naye mada. Kwanini unamkwepa?[emoji23][emoji23][emoji23]
Unamkomoa au?